Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Mod pls rekebisha kichwa hicho weka waziri wa Sasa au mh rais mama samia
 
Umbea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elimu yetu iko kaburini!
 
bea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elim

Umbea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elimu yetu iko kaburini!
Mkuu nenda kwenye mada hapa sio bar
 
Umbea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elimu yetu iko kaburini!
Sasa mbona wewe mwenye elimu ya kyupi umeshangia utumbo
 
Komenti nyingi hapo juu ni za kumlalamikia Tabia zake ,.

Ni meseji MOJA tu iliyomtetea.
Huyu ni mshenzi aliyeshindikana alishahamishiwa chemba akapanchi uhamisho Bado yupo anatamba
 
Mod tafadhari badili kichwa wawekwe WAZIRI wa tamisemi na WAZIRI wa elimu wa Sasa huyu Kuna skendo zake mpya nyingi baada ya kupanchi uhamisho
 
Mod tafadhari badili kichwa wawekwe WAZIRI wa tamisemi na WAZIRI wa elimu wa Sasa huyu Kuna skendo zake mpya nyingi baada ya kupanchi uhamisho
Fanya kazi wewe,majungu si mtaji...au VIPINDI havitoshi uongezewe,maana unaonekana huko busy
 
Chonde chonde mod badilisha kichwa hapo juu
 
Nimefanyanae kazi vizuri tu hapa Kongwa, na kaenda huko chamwino akitokea hapa.
Kwa ninavyomfahamu, hayuko hivyo anavyoandikwa!
Kwahiyo wewe kufanya naye kazi kuna justify kuwa hawezi kufanya upuuzi??? Mshauri kama mnafahamiana aheshimu watumishi wenzake, kwani yeye still ni mwalimu japo amevalishwa koti la uafisa elimu ( wengi wao wakisha pewa cheo cha uafisa elimu) hawataki tena kuitwa walimu sujui tatizo ninini??
 
Mkuu umemjibu VEMA Sana huyu chawa hawa bumbavu wanamtukuza mtu mjinga tu anawafanya walimu wenzie kama ma house boy& ma house girl Kuna mkasa nimeukuta sehemu ukisimulia unajiuliza hivi mamlaka za juu zinajua kama Kuna kiongozi katili kama ZAINABU kishegwe ambaye anaweza kumtukana mwalimu barabani kama mtoto aliye mzaa huyu dada anatia kinyaa
 
Huyu ni mshenzi aliyeshindikana alishahamishiwa chemba akapanchi uhamisho Bado yupo anatamba
Ni kweli alihamishiwa chemba 2021 akapiga madili akabaki mpaka leo ofisini kwani alituaga kabisa na Mimi nilisepa mwaka huo nafikiri yule bwana ake meya wa DODOMA mjini anamkono wake na kwa tetesi ule uhamisho ilikuwa wa adhabu
 
Huyo mjinga anaweza kuwa yeye au mpambe wake kuna wapambe wake anapiga nao dili za kupiga pesa
 
Mtoa post hili halimhusu Ndalichako maana uteuzi wa viongozi hawa unafanywa na TAMISEMI .Hao ndo wahusika waje hapa wakujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…