Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 723
- 1,157
Kafanyaje tena kwani?Huyu mchawi kazingua tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafanyaje tena kwani?Huyu mchawi kazingua tena
bea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elim
Mkuu nenda kwenye mada hapa sio barUmbea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elimu yetu iko kaburini!
Sasa mbona wewe mwenye elimu ya kyupi umeshangia utumboUmbea looo! Ifungeni kanga hiyo midume. You don't sound like educated people. Chunguzeni uandishi wenu. Kama nyie ndiyo waalimi basi elimu yetu iko kaburini!
Walimu kwa majungu!!!Huyu ni mshenzi aliyeshindikana alishahamishiwa chemba akapanchi uhamisho Bado yupo anatamba
Fanya kazi wewe,majungu si mtaji...au VIPINDI havitoshi uongezewe,maana unaonekana huko busyMod tafadhari badili kichwa wawekwe WAZIRI wa tamisemi na WAZIRI wa elimu wa Sasa huyu Kuna skendo zake mpya nyingi baada ya kupanchi uhamisho
Kwahiyo wewe kufanya naye kazi kuna justify kuwa hawezi kufanya upuuzi??? Mshauri kama mnafahamiana aheshimu watumishi wenzake, kwani yeye still ni mwalimu japo amevalishwa koti la uafisa elimu ( wengi wao wakisha pewa cheo cha uafisa elimu) hawataki tena kuitwa walimu sujui tatizo ninini??Nimefanyanae kazi vizuri tu hapa Kongwa, na kaenda huko chamwino akitokea hapa.
Kwa ninavyomfahamu, hayuko hivyo anavyoandikwa!
Mkuu umemjibu VEMA Sana huyu chawa hawa bumbavu wanamtukuza mtu mjinga tu anawafanya walimu wenzie kama ma house boy& ma house girl Kuna mkasa nimeukuta sehemu ukisimulia unajiuliza hivi mamlaka za juu zinajua kama Kuna kiongozi katili kama ZAINABU kishegwe ambaye anaweza kumtukana mwalimu barabani kama mtoto aliye mzaa huyu dada anatia kinyaaKwahiyo wewe kufanya naye kazi kuna justify kuwa hawezi kufanya upuuzi??? Mshauri kama mnafahamiana aheshimu watumishi wenzake, kwani yeye still ni mwalimu japo amevalishwa koti la uafisa elimu ( wengi wao wakisha pewa cheo cha uafisa elimu) hawataki tena kuitwa walimu sujui tatizo ninini??
Picha yake na majina tafadhali
Na ndiyo ukweliKomenti nyingi hapo juu ni za kumlalamikia Tabia zake ,.
Ni meseji MOJA tu iliyomtetea.
Ni kweli alihamishiwa chemba 2021 akapiga madili akabaki mpaka leo ofisini kwani alituaga kabisa na Mimi nilisepa mwaka huo nafikiri yule bwana ake meya wa DODOMA mjini anamkono wake na kwa tetesi ule uhamisho ilikuwa wa adhabuHuyu ni mshenzi aliyeshindikana alishahamishiwa chemba akapanchi uhamisho Bado yupo anatamba
Huyo mjinga anaweza kuwa yeye au mpambe wake kuna wapambe wake anapiga nao dili za kupiga pesaKwahiyo wewe kufanya naye kazi kuna justify kuwa hawezi kufanya upuuzi??? Mshauri kama mnafahamiana aheshimu watumishi wenzake, kwani yeye still ni mwalimu japo amevalishwa koti la uafisa elimu ( wengi wao wakisha pewa cheo cha uafisa elimu) hawataki tena kuitwa walimu sujui tatizo ninini??
Mtoa post hili halimhusu Ndalichako maana uteuzi wa viongozi hawa unafanywa na TAMISEMI .Hao ndo wahusika waje hapa wakujibuNianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?
Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?
Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.
Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.
Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.