EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
wekeni picha yake hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✍️🤣🤣🤣🤣NI YEYE!!!!
Mkuu sijalaumu, ila nashauri mjadala ungekuwa bora kama ungejikita katika utendaji wa HM husika, kuliko kupoint out watu wa kafara.Mkuu, kama unaujua ukweli eleza basi, siyo kulalama tuu
Teh, Tulizoea na nani?Mlizoea kufanya kazi kwa mazoea na nafasi zenu za vyupi awamu hii ya jmp mtaenda kuuza bar,watabaki wenye nafasi zao.
Huyo Mdada akiwa mwelewa ajikite na kazi zake tu, aachane na hizi takataka zinazotumiwa na Miungu watu wao kumchafua.Majungu majungu
KWA nini Sasa ,mwl mkuu nae mpole angemcharaza makofi ndo kesi ianzie hapo ,nakumbuka dada mmoja 2012 wilaya moja alikua ananyanyaswa mwenye kituo Cha kazi,kila akipeleka malalamiko KWA mkuu wa idara yake ,hasikilizwi,akienda KWA mahafisa utumishi hamna kitu, siku akapanda KWA mkurugenzi,nae alikua jeuri kweli Sasa katika kumuekea sijui mkurugenzi alimjibu nini, humo humo akamkwida mkurugenzi, na bahada ya pale akakimbia kituo Cha police, huku amechana blauzi akafungua kesi ya kutaka kubakwa na mkurugenzi, yaliisha, lakini sidhani Kama huyu mgurugenzi atakuja sahau ,na sijui Kama huyu mwanamama bado yupoNamfahamu vema huyu Dada nilihama wilaya ya Chamwino kwa ajili yake,nakumbuka kuna siku kulikuwa na kikao nafikiri cha walimu wakuu kuna mwalimu alitoka kilometa zaidi ya 120 ilipo shule yake alimfukuza kama mbwa na alichelewa dakika 20 tu na changàmoto za Barbara za vijijini zinajulikana.
Hivi tutaendelea kumsubiri JPM afanye kila kitu ? We need systems to get rid of this shitDada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.
Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.
Awamu hii Katiba ya nchi haina nguvuKasome ibara ya 77 ya katiba ya nchi
Tafuta kuna kifungu kitakutoa tongotongo.
Ha ha hahaa.. bibie akaamua kubambikizia kesi kabisa!!!KWA nini Sasa ,mwl mkuu nae mpole angemcharaza makofi ndo kesi ianzie hapo ,nakumbuka dada mmoja 2012 wilaya moja alikua ananyanyaswa mwenye kituo Cha kazi,kila akipeleka malalamiko KWA mkuu wa idara yake ,hasikilizwi,akienda KWA mahafisa utumishi hamna kitu, siku akapanda KWA mkurugenzi,nae alikua jeuri kweli Sasa katika kumuekea sijui mkurugenzi alimjibu nini, humo humo akamkwida mkurugenzi, na bahada ya pale akakimbia kituo Cha police, huku amechana blauzi akafungua kesi ya kutaka kubakwa na mkurugenzi, yaliisha, lakini sidhani Kama huyu mgurugenzi atakuja sahau ,na sijui Kama huyu mwanamama bado yupo