Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
exactlyNi kwasababu rufaa inakatwa kwa huyo huyo aliyesahihisha mwanzo si kwa Mamlaka nyingine na kiuhalisia hata kuiita ile kuwa ni rufaa nao ni usanii mwingine tena.
Lumpen argumentHii nchi ya watu walalamishi hii..huna ushahidi, hisia tu ushalalamika
Sio kweli mkuu kakuingiza Chaka.Nimeongea na msahihishaji mmoja, ambaye namuamini, akaniambia nilichokiandika hapo.
Hata mimi hii imeniuma sana"aliikuwa ni zero brain kabisa ila cha kushangaza eti kapata division two"
Yani had shule za marian girl's zilikuwaga zinakuwa na paper mwaka wetu tulipata ma possible kutoka kwao ya mitihani kabisaWakati huo huo hawasemi shule za private znazonunua mitihan ya Necta kuna mdogo wangu kasoma school moja kubwa sana kanda ya pwan huko alinambia mwenyew pepa walikuwa nalo wanafunzi wote wa fom 4....kwa advance gvt school kufaulu n halali kabisa
Jamaa una roho ya kwanini!!Binafsi niliwahi hisi huenda shule za Serikali zinabebwa sana miaka hii.
2020 mdogo wangu alihitimu kidato cha nne shule ya Serikali na alikuwa ni zero brain kabisa ila cha kushangaza eti kapata division two, ukweli niliumia sana na kujiuliza ni wapi kuna tatizo.
Alisema waliwapunguzia alama za ufaulu wa shule binafsi?Nimeongea na msahihishaji mmoj akaniambia nilichokiandika hapo.
Yote yanafanyika, tafuta unayemuamini aliyewahi sahihisha akueleze.Alisema waliwapunguzia alama za ufaulu wa shule binafsi?
Au
Waliwaongezea ifaulu wa shule za serikali?
Siyo mtu wa kunidanganya. Linafanyka kuwainua kata schools!Labda kama wanafanya baada ya kusahishisha lakini wakati wa kusahishisha hapana si kweli.
Mwalimu wa kiwango cha diploma kwa sekondari ndio mwalimu. Degree kiuhalisia ni mbwembwe tu hana ualimu kihivyo labda awe alipitia diploma course....!Sidhani shule za serikali zinaxofanya vizuri ziko vizuri hasa hivi unategemea shule kama Tabora boys na Girls na kibaha na Mzumbe wadhindwe kutoa ufaulu mkubwa kitaifa? Kuna shule za serikali hata private wanaziogopa na Sasa hivi wamebuni mbinu ya kutoa scholarship kusomesha vipanga wanaofaulu shule za serikali na kwenda kwao
wengine wanaesomesha bure wakiwa na uhakika watazipaisha shule zao
Pili tatizo la walimu shule nyingi za serikali kimetatuliwa asilimia kubwa Sasa ya walimu wa secondary O level Ni degree holders sio wale wa Diploma ufundishaji vizuri umeongezeka
Wakati private wengine walimu wanaofundisha Ni kidato Cha sita!!
Wananunua toka wapi? Necta ndio watunzi, publisher na distributors wa hiyo mitihani. Je inatokaje ? Unataka kusema baraza linauza paper????Wakati huo huo hawasemi shule za private znazonunua mitihan ya Necta kuna mdogo wangu kasoma school moja kubwa sana kanda ya pwan huko alinambia mwenyew pepa walikuwa nalo wanafunzi wote wa fom 4....kwa advance gvt school kufaulu n halali kabisa
Walishurutishwa na marehemu kufanya hayo mageuzi ili wazazi mkimbilie kupeleka watoto shule za kataMh. Prof Ndalichako,
1. Kuna taarifa kuwa Serikali imekuwa kwa makusudi ikijitahidi kuziinua shule za Serikali/kata katika mitihani at the detrimwent of shule za binafsi hasa zinazofanya vizuri.
2. Kwa makusudi kabisa inasemekana shule za binafsi zinazofanya vizuri/zenye historia ya kufanya vizuri watahiniwa wanapunguziwa marks ili shule za serikali/Kata zionekane zinafanya vizuri.
3. Najua si rahisi kulikubali kuwa hilo linatendeka, lakini habari za ndani kabisa zinasema ni hivyo. Kumbuka kuwa wasahihishaji wanatoka kwenye jamii tunayokaa hivyo kunawez kukawa na kaukweli ka aina fulani.
4. Vijana kutoka shule binafsi wanalalamika kuwa haiwezekani wakafeli hivyo kama ilivyoonekana kwenye mitihani ya juzi kidato cha sita na wanachelea kuomba remarking/rufani maana hawana imani tena na usahihishaji.
5. Mh. Prof, unalisemeaje hili?
6. Naamini hili kama linafanyika lazima liwe na Baraka za wakubwa na LABDA wewe ukiwa mmoja wapo? (inawezekana pia hujui), lakini common sense inaniongoza kufikiri kuwa haliwezi kufanyika bila wewe kujua.
KWA NIA NJEMA NALILETA KWAKO
Halafu baada ya rufaa wataenda kusahishia nje ya nchi?Mh. Prof Ndalichako,
1. Kuna taarifa kuwa Serikali imekuwa kwa makusudi ikijitahidi kuziinua shule za Serikali/kata katika mitihani at the detrimwent of shule za binafsi hasa zinazofanya vizuri.
2. Kwa makusudi kabisa inasemekana shule za binafsi zinazofanya vizuri/zenye historia ya kufanya vizuri watahiniwa wanapunguziwa marks ili shule za serikali/Kata zionekane zinafanya vizuri.
3. Najua si rahisi kulikubali kuwa hilo linatendeka, lakini habari za ndani kabisa zinasema ni hivyo. Kumbuka kuwa wasahihishaji wanatoka kwenye jamii tunayokaa hivyo kunawez kukawa na kaukweli ka aina fulani.
4. Vijana kutoka shule binafsi wanalalamika kuwa haiwezekani wakafeli hivyo kama ilivyoonekana kwenye mitihani ya juzi kidato cha sita na wanachelea kuomba remarking/rufani maana hawana imani tena na usahihishaji.
5. Mh. Prof, unalisemeaje hili?
6. Naamini hili kama linafanyika lazima liwe na Baraka za wakubwa na LABDA wewe ukiwa mmoja wapo? (inawezekana pia hujui), lakini common sense inaniongoza kufikiri kuwa haliwezi kufanyika bila wewe kujua.
KWA NIA NJEMA NALILETA KWAKO