Prof. Ndalichako ni kweli Serikali inazifaulisha makusudi shule za Serikali dhidi ya shule Binafsi?

Huyo sio msahihishaji ni mbabaishaji huwa wanakula kiapo hawawezi bwatuka ovyo nenda urudi tena
Stupud thinking, kwani majenerali wanapo pindua serikali huwa hawajala viapo na miiko? akili zako ndogo! Majaji si wanakula viapo mbona wanakatazwa kuamua kesi za ndugu zao/marafiki.
 
Halafu baada ya rufaa wataenda kusahishia nje ya nchi?
Kwahiyo hakuna rufaa?

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
Matokeo ya Usahihishaji wa Rufaa za Watahiniwa wa Mtihani wa
KIDATO CHA SITA (ACSEE) JUNI 2020 - AWAMU YA I
Na. Somo Jina la Somo Gredi ya Awali Gredi ya Sasa
S.L.P 8718, MOSHI
P0134-0553
Kumb. CAC.18/142/02/100 Tarehe ya Rufaa: 17-Sep-2020
Maoni
131 PHYSICS F F Haijabadilika
132 CHEMISTRY F F Haijabadilika
142 ADVANCED MATHEMATICS F F Haijabadilika
Na. Somo Jina la Somo Gredi ya Awali Gredi ya Sasa
0713334790
P0135-0504
Kumb. CAC.18/142/02/96 Tarehe ya Rufaa: 17-Sep-2020
Maoni
112 HISTORY E E Haijabadilika
122 ENGLISH LANGUAGE E E Haijabadilika
Na. Somo Jina la Somo Gredi ya Awali Gredi ya Sasa
0767344773
P0135-0552
Kumb. CAC.18/142/02/97 Tarehe ya Rufaa: 17-Sep-2020
Maoni
111 GENERAL STUDIES F F Haijabadilika
113 GEOGRAPHY E E Haijabadilika
Na. Somo Jina la Somo Gredi ya Awali Gredi ya Sasa
S.L.P 547, NJOMBE
P0143-0515
Kumb. CAC.18/142/02/82 Tarehe ya Rufaa: 04-Sep-2020
Maoni
112 HISTORY E E Haijabadilika
121 KISWAHILI S S Haijabadilika
Na. Somo Jina la Somo Gredi ya Awali Gredi ya Sasa
0679-918951
P0147-0508
Kumb. CAC.18/142/18/72 Tarehe ya Rufaa: 04-Sep-2020
Maoni
113 GEOGRAPHY S S Haijabadilika
132 CHEMISTRY F F Haijabadilika
133 BIOLOGY F F Haijaba
 
Nadhani umeelewa sasa
 
Huyu Prof. Ndalichalo yupo kama hayupo

Hasikiki akizungumzia mambo ya msingi yeye kama Waziri wa elimu, sijui ana shida gani
 
Serikali inabeba cream yote kwenda kidato cha sita.Private za Advanced level zinachukua vilaza.
 
Na mwambie hua Ni SoMo moja kituo kimoja Hapo utajuaje Kama Wamefaulu kisa huyo mtu wake kasahihisha Chinese Baobab. cc Retired
 
Mimi pia ni muda mrefu nilikuwa nafikiri hivyo. Hii kitu iliongezeka kasi hasa kipindi cha jiwe.
 
Kwa kweli inatia shaka sana!

Yote hayo ni kutaka kumfurahisha Kayafa sasa yamekuwa mazoea?!

Ionekane wana-perform well kumbe mmnh?!

Ni sawa na takwimu za kupika tu ?!
 
Mtoa mada fanya tafiti hii utagundua mawazo yako sio sahihi:
1. Matokeo ya O- level hakuna hata shule ya serikali moja top ten kwa miaka zaidi ya 7 sasa.
Kwanini?

2. Matokeo ya A-level shule za serikali zinazoingia Top ten ni zipo 6-7 zile zile miaka yote (kisimiri, kibaha, mzumbe, tabora boys&girls, kilakala na sasa anaibuka Dareda)

3. Angalia selection ya wanafunzi wanaoenda hizo shule A level ni Division one point 7-12 mara nyingi.

4. Unapata picha gani hapo.
A- level serikali inachukua watoto wazuri tena wengi wametoka private school.
O-level huku wote tukasome sukuma twende. Mwenye marks 100-250 wote wanapata shule ndio maana kamwe huwezi kuona shule ya serikali Top ten O-level.
 
Ni juhudi za wanafunzi ktk mitihani na jitihada za walimu ktk ufundishaji
 
Kwa kweli inatia shaka sana!

Yote hayo ni kutaka kumfurahisha Kayafa sasa yamekuwa mazoea?!

Ionekane wana-perform well kumbe mmnh?!

Ni sawa na takwimu za kupika tu ?!
Unajua shule za serikali za A level zinazoingia Top Ten zinachukua watoto wenye division gani kutoka O-level.
Fanya utafiti kidogo?
 
Mimi ni shuhuda wa namna private schools zinavyofaulisha wanafunzi wak kwa wizi, msimamizi, walinzi, waalimu, etc yaani acha tu. Kula kulana kufa kufaana, kula uliwe, dekeza udekezwe, nuna ununuliwe
 
Mkuu unaweza kuchukia mafanikio ya mdogo wako kweli?behave bas mkuu
 
Wa Tz bn,hamkosagi vijimaneno,raha yenu ni kuona shule za serikali zinadorora mzinange,zikiongoza mnaumia,khaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…