BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Gwiji wa Chemiatry pale UD...mungu ampe pumziko jema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwiji wa Chemiatry pale UD...mungu ampe pumziko jemaView attachment 1861063
Marhaba kijana wangushkamoo baba
Asante. Tulikuwa naye kwenye lecture theater somo kemia na kwenye maabara - practicals. Yeye chemistry na biology mimi chemistry na statistics.Poleni wafiwa, Poleni wana taaluma...academicians/scholars
alinifundisha Chemistry miaka hiyo.......99% ya vijana wa humu JF hamjazaliwa
Muhimbili nao wana Uhaba wa Oxygen?Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), Prof. Mayunga Habibu Hemedi Nkunya amefariki dunia leo Julai 20, 2021 katika Hosp ya Taifa, Muhimbili.
RIP
View attachment 1860993
Gwiji wa Chemiatry pale UD...mungu ampe pumziko jemaView attachment 1861063
May his soul rest in heavenly peaceDuh!!!
RIP my college mate UDSM July 1972 - March 1975.
Yes, he a real gentleman.
Wanawaua watu wa karibu na MaguHe was also Magufulis lecturer.
Ameen.May his soul rest in heavenly peace
Wewe bwegee kiarabu ni lugha kama lugha nyengie na top ten lugha zenye watumiaji wengi haifiki no 5Kutuandikia kiarabu..kwani nani alimwambia humu kuna waarabu...vitu vingine upuuzi sana.
Anyway apumzike kwa amani prof.
#MaendeleoHayanaChama
Vipi bro, shikamoo!!Duh!!!
RIP my college mate UDSM July 1972 - March 1975.
Yes, he a real gentleman.
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳Poleni wafiwa, Poleni wana taaluma...academicians/scholars alinifundisha Chemistry miaka hiyo.......99% ya vijana wa humu JF hamjazaliwa
😳😳😳😳😳😳😳😳😳Aise kweli watu mmekula chumvi.Pol na wewe. He was my chemistry teacher 1980s
Hii ni hasara sana bora angekufa prfs nani hii hana faida.Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), Prof. Mayunga Habibu Hemedi Nkunya amefariki dunia leo Julai 20, 2021 katika Hosp ya Taifa, Muhimbili.
RIP
😳😳😳😳😳😳😳😳😳Aise kweli watu mmekula chumvi.
Mm nitafika tu, mpaka 2150 nitakua nitakuwepo.Basi Mungu atakujalia usifike huko