Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine hapo wakubwa zangu. Prof. Ndaalio lecturer wangu physical chemistry (marehemu)Inawezekana kama mlifundsha wote, then wewe ni mwalimu wangu. Prof Khan/Ndaalio/Kapuya etc etc ..Khan wa organc chemistry unamkumbuka?,
Shikamoo mkuunilikuwa o'level...75 namaliza
Sawa kabisapole! amenifundisha, he was good at chemistry.. physical chem kama sikosei
Huku kuna watu tunawavunjia heshima, kumbe ni wazazi au wakubwa zetu sanaHe was your college mate 1972?[emoji3064] shikamoo mkuu
Mayunga..ni wa Mwanza?Mimi ni jirani yangu huko kijijini kwake so sad.
ShikamooDuh!!!
RIP my college mate UDSM July 1972 - March 1975.
Yes, he a real gentleman.
Unaogopa kiarabu,kiarabu ni lugha kama lugha nyingine,acha kuogopa ogopa.Kutuandikia kiarabu..kwani nani alimwambia humu kuna waarabu...vitu vingine upuuzi sana.
Anyway apumzike kwa amani prof.
#MaendeleoHayanaChama
Ni mtu wa TaboraMayunga..ni wa Mwanza?
Unamwita dogo sijui nini kumbe dingi yakoHuku kuna watu tunawavujia heshima, kumbe ni wazazi au wakubwa zetu sana
Umesema kweli tupu.Wewe bwegee kiarabu ni lugha kama lugha nyengie na top ten lugha zenye watumiaji wengi haifiki no 5
Isitosha ukitaka usitake ww mjinga zaid ya 50% maneno ya kiswahili yametoholewa toka lugha ya kiarabu chukua mifano ifuatayo ww kifuu
1- SAHANI صحن
2- SAKAFU سقف
3- SIRI سر
4-KABURI قبر
5-، KALAMU قلم
6- DAFTARI دفثر
7- KITABU كتاب
8- SAMAKI سمك
9-MAITI ميت
10- RAIS راس
11- WAZIR وزير
12-ARDHI ارض
13-DHAMMB ذمب
14-MWALIMU معلم
15-AKARI اسكر
16-DHULMA ظلمة
17-KHOFU خوف
18- SHUJA شجاع
19- SIHA صحة
20-،MARADHI مرض
21-TIBA طب
Kiarabu ukishukuru usikitukane kengee weee
Humu najitahidi kupunguza masihara, nilishangaa kuna jaji mstaafu humu na anapendelea mijadala ya siasa balaa. Siku moja wakati tunapiga stori ghafla tukajikita tunajadili jf na wote ni member[emoji1][emoji1]Unamwita dogo sijui nini kumbe dingi yako
Very sad.Mimi ni jirani yangu huko kijijini kwake so sad.
Early fifties!Mmmhhh...umri wako??
Asante GlennHuku kuna watu tunawavujia heshima, kumbe ni wazazi au wakubwa zetu sana
Yaani hizi fake ID zinatudanganya sana,kweli jitahidi kuwa positive unapomkosoa mtu tumia maneno ya staha bila kumvunjia heshimaHumu najitahidi kupunguza masihara, nilishangaa kuna jaji mstaafu humu na anapendelea mijadala ya siasa balaa. Siku moja wakati tunapiga stori ghafla tukajikita tunajadili jf na wote ni member[emoji1][emoji1]
Kweli mkuuYaani hizi fake ID zinatudanganya sana,kweli jitahidi kuwa positive unapomkosoa mtu tumia maneno ya staha bila kumvunjia heshima