TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

Inawezekana kama mlifundsha wote, then wewe ni mwalimu wangu. Prof Khan/Ndaalio/Kapuya etc etc ..Khan wa organc chemistry unamkumbuka?,
Wengine hapo wakubwa zangu. Prof. Ndaalio lecturer wangu physical chemistry (marehemu)
 
Kutuandikia kiarabu..kwani nani alimwambia humu kuna waarabu...vitu vingine upuuzi sana.

Anyway apumzike kwa amani prof.

#MaendeleoHayanaChama
Unaogopa kiarabu,kiarabu ni lugha kama lugha nyingine,acha kuogopa ogopa.
 
Wewe bwegee kiarabu ni lugha kama lugha nyengie na top ten lugha zenye watumiaji wengi haifiki no 5
Isitosha ukitaka usitake ww mjinga zaid ya 50% maneno ya kiswahili yametoholewa toka lugha ya kiarabu chukua mifano ifuatayo ww kifuu

1- SAHANI صحن
2- SAKAFU سقف
3- SIRI سر
4-KABURI قبر
5-، KALAMU قلم
6- DAFTARI دفثر
7- KITABU كتاب
8- SAMAKI سمك
9-MAITI ميت
10- RAIS راس
11- WAZIR وزير
12-ARDHI ارض
13-DHAMMB ذمب
14-MWALIMU معلم
15-AKARI اسكر
16-DHULMA ظلمة
17-KHOFU خوف
18- SHUJA شجاع
19- SIHA صحة
20-،MARADHI مرض
21-TIBA طب
Kiarabu ukishukuru usikitukane kengee weee
Umesema kweli tupu.
 
Mbona huyu jamaa jina kama la kwao na mwendazake? Mayunga??
 
Humu najitahidi kupunguza masihara, nilishangaa kuna jaji mstaafu humu na anapendelea mijadala ya siasa balaa. Siku moja wakati tunapiga stori ghafla tukajikita tunajadili jf na wote ni member[emoji1][emoji1]
Yaani hizi fake ID zinatudanganya sana,kweli jitahidi kuwa positive unapomkosoa mtu tumia maneno ya staha bila kumvunjia heshima
 
LiCCM eheee sura nzito kama pasi ya mkaa.
Siipendi MiCCM ikifa nafurahi sana.
 
Back
Top Bottom