TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Mnatutisha wenzenu inamaana ww umesoma chuo zamani sana.
Yes, ndiyo maana JF naonaga kuna chekechea wengi tu na maandishi yao unaona kabisa kuwa hawa ni wa Jalalani enzi za KabudiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
So sad. On 20/12/2020 my classmate at Old Moshi sec 1970/71 form iv/vi passed away - Prof. Bakari Lembariti - MUHAS.

Leo college mate UDSM Prof. Mayunga Nkunya 1972 - 1975 tuliyekuwa naye hapo mlimani.

So sad. Najiandaa kuagana nanyi wana jf. Hii ndiyo reality.
Usiogope, kila mtu ana mpango wake. mimi amenifundisha chemistry UDSM....
 
Back
Top Bottom