Yes, ndiyo maana JF naonaga kuna chekechea wengi tu na maandishi yao unaona kabisa kuwa hawa ni wa Jalalani enzi za Kabudiππππππππ³π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³
Mnatutisha wenzenu inamaana ww umesoma chuo zamani sana.
So sad. On 20/12/2020 my classmate at Old Moshi sec 1970/71 form iv/vi passed away - Prof. Bakari Lembariti - MUHAS.May his soul rest in heavenly peace
Mm nitafika tu, mpaka 2150 nitakua nitakuwepo.
Marahaba, we kijana wangu...Vipi bro, shikamoo!!
Usiogope, kila mtu ana mpango wake. mimi amenifundisha chemistry UDSM....So sad. On 20/12/2020 my classmate at Old Moshi sec 1970/71 form iv/vi passed away - Prof. Bakari Lembariti - MUHAS.
Leo college mate UDSM Prof. Mayunga Nkunya 1972 - 1975 tuliyekuwa naye hapo mlimani.
So sad. Najiandaa kuagana nanyi wana jf. Hii ndiyo reality.
Kama huyu ni mwalimu wako, unajikuza bure,Poleni wafiwa, Poleni wana taaluma...academicians/scholars alinifundisha Chemistry miaka hiyo.......99% ya vijana wa humu JF hamjazaliwa
Hii ni hasara sana bora angekufa prfs nani hii hana faida.
Lakini ni kazi yake mola mola ailaze roho ya marehemu panakostaili
Hivi huwa wanafanyaje hata kuumwa hawaumwiMh yale makatili hayafi ngo!
Kitu gani hicho?Duu hii kitu sio
hapana, miaka imeenda, late 60'sKama huyu ni mwalimu wako, unajikuza bure,
Kuna mdau hapo juu kasoma naye chuoni 72-75
nilikuwa o'level...75 namalizachuoni 72-75
Siyo kijana wako sema mdogo wako!Marahaba, we kijana wangu...
He was your college mate 1972?π₯Ί shikamoo mkuuDuh!!!
RIP my college mate UDSM July 1972 - March 1975.
Yes, he a real gentleman.
Ni mimi. Leo baada ya kupata taarifa hii ya tanzia nimekosa amani kabisa...Kama huyu ni mwalimu wako, unajikuza bure,
Kuna mdau hapo juu kasoma naye chuoni 72-75
Inawezekana kama mlifundsha wote, then wewe ni mwalimu wangu. Prof Khan/Ndaalio/Kapuya etc etc ..Khan wa organc chemistry unamkumbuka?,Asante. Tulikuwa naye kwenye lecture theater somo kemia na kwenye maabara - practicals. Yeye chemistry na biology mimi chemistry na statistics.
Thanks kijana wangu.
Mmmhhh...umri wako??Siyo kijana wako sema mdogo wako!
pole! amenifundisha, he was good at chemistry.. physical chem kama sikoseiNi mimi. Leo baada ya kupata taarifa hii ya tanzia nimekosa amani kabisa...
Pole sana mkuuNi mimi. Leo baada ya kupata taarifa hii ya tanzia nimekosa amani kabisa...
Mimi ni jirani yangu huko kijijini kwake so sad.Ni mimi. Leo baada ya kupata taarifa hii ya tanzia nimekosa amani kabisa...