TANZIA Prof. Nkunya wa TCU afariki dunia

Mbona huyu jamaa jina kama la kwao na mwendazake? Mayunga??
Mayunga ni watu wa Mara, kanda ya Ziwa ni kubwa sana ina mikoa mingi na watu wengi sana too bad wote wanaitwa wasukuma, mikoa yote hii Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga, Mara, Kagera hawa wote ni kanda ya ziwa, hapo bado Tabora ambayo si kanda ya ziwa ila watu wake wana uhusiano wa karibu sana wa kiutamaduni na kiuchumi na kanda ya ziwa.

Matusi na kejele za wanasiasa hasa hasa CDM dhidi ya kanda ya Ziwa ni hatari kwa taifa na hatari hata kwa mustakabala wao, kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa kanda ya ziwa wakaungana na kupiga kura za maruhani ( hasira) dhidi ya hizi kejeli mnazofanya.
 
unataka kuleta siasa za kipuuzi kwenye uzi wa tanzia.

Kama unataka kuongelea siasa si uanzishe uzi wako ?

Shenzi.
 
JF Huwa najitahidi sana nisimjibu mtu vibaya maana kwa ufahamu wangu mdogo tu Kuna watu wazito humu na wanatumia fake ID.

Sasa vijana wanaoporomosha matusi humu unaweza Kuta unamtukana Boss wako kabisa bila kujua.
Nami nitajitahidi kuzizuia hisia zangu
 
No. Hujanikwaza technically ... majadiliano ya mitandaoni nayafuatilia siku zote na naendelea kuwa uptodate ... naomba tuwe pamoja kwenye issues kama hizi za misiba.
Utaenda kumzika Classmate wako ?
 
R.I.P
 
Hahahaha kweli wewe hamnazo,kipindi kile Kayafa na chawa wake wakina Herri James, Bashite wakihubiri chuki,udini,ukabila na ukanda ulikuwa kiziwi au kipofu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lembariti alikuwa mwalimu wangu MUHAS. Usiage mkuu. Mungu ndiye anajua siku ya mtu. Mzee wetu Mwinyi yupo anaikimbilia 100 lakini wajukuu wake wanaondoka. Ni Mungu tu.
 
RIP Prof...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…