mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Mayunga ni watu wa Mara, kanda ya Ziwa ni kubwa sana ina mikoa mingi na watu wengi sana too bad wote wanaitwa wasukuma, mikoa yote hii Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga, Mara, Kagera hawa wote ni kanda ya ziwa, hapo bado Tabora ambayo si kanda ya ziwa ila watu wake wana uhusiano wa karibu sana wa kiutamaduni na kiuchumi na kanda ya ziwa.Mbona huyu jamaa jina kama la kwao na mwendazake? Mayunga??
Matusi na kejele za wanasiasa hasa hasa CDM dhidi ya kanda ya Ziwa ni hatari kwa taifa na hatari hata kwa mustakabala wao, kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa kanda ya ziwa wakaungana na kupiga kura za maruhani ( hasira) dhidi ya hizi kejeli mnazofanya.