Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Huo ni ukweli mchungu hata Ben hayupo!
 
Amejuaje kwamba kafariki?Mimi ni mwana CCM,naipenda nchi yangu na serikali ya awamu ya tano,lakini haya mambo siyapendi kabisa.Yanaleta ukakasi na yanakichafua chama na serikali sana.Tatizo ni kwamba wema huwa hauvumi,ubaya ndio unaovuma.
 
Wasio julikanawatajitambulisha tu wenyewe.
Kumbe wanajua kuwa alisha kufa lakini wanatuambia hawajui aliko. Damu ya mtu mbaya sana haijawahi acha mtu salama. Watajitaja wote bila wao kujitambua kuwa wanatajana.
 
Hakika!
 
Palamagamba kaonyeshe wapi mlitupa mwili wa Azory
Huu muziki utaucheza kwa visigino
Mmezoea kuona WaTz mabwege leo ulimi umeteleza
Hahahhh reshuffle inakuja waziri
Mmetoboa siri
 
Utakua na wewe ni wale waliookotwa jalalani, wapumbavu wenye kujipendekeza.
 
Umesikia hivyo tu?
Itendee haki nafsi yako ndugu mtanzania, upotoshaji hautosaidia taifa hili bali kujaza chuki zisizo sababu..
Ukisha jilisha upepo Wa aina hii kisha unarejeshaje maisha ya hao watu waliopotea na kufa mkiru?
Nimesikia akitoa maelezo mengi kuhusu kuuawa kwa watu wengi akiwemo Azory Gwanda.

Una swali lingine ?
 
Umepata wasaa wa kusikiliza mahojiano yake na Zuhura Yunus kwa lugha ya kiswahili ?
 
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
maneno hayo hayawezi kutoka kwa mtu makini na guru la sheria Tanzania kwa sababu anajua kabisa yatamhukumu. Jaribu upotoshaji mwingine
Hii ndiyo statement ya Kabudi mwenyewe:
IN THE RUFIJI AREA, IT IS NOT ONLY AZORY RWANDA, AAAHHH, AZORY, WHO HAS DISSAPEARED AND DIED
kama angekuwa kasema WHO HAS DISSAPEARED OR DIED au kama angesema tu WHO HAS DISSAPEARED. Hapo mbona kusingekuwa na shida? hiyo DISSAPEARED AND DIED, hapo anaongelea wale ambao wamepotea na kuthibitishwa kwamba wamekufa, na ni katika kundi hilo Palamagamba anamuweka Azory.
Hapo Kabudi alitakiwa kuomba radhi kwa kuteleza ulimi, lakini siyo kutoa visingizio. alichoongea kina maana hiyo kwamba Azory kapotea na amethibitishwa kuwa amekufa. sasa wewe ndio hujui lugha ila UNA MAHABA YANAYOKUTIA UKIZIWI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…