Ile nafasi ya Foreign Affairs ilipaswa aendelee nayo Mh.Augustine Mahiga kwa kuwa ndio Taaluma yake na pia ana uzoefu nao wa hali ya juu sana
Una laana ya Wazazi wako huwezi thubutu kutukana matusi kwa Kiongozi wako tena waziri
Kwa hiyo ukiwa maskini huna sauti ya kusema?
Ili iweje?Mnao pinga hata hili mnachuki binafsi.
Lakini tumuulize huyu Prof!!! Kwanini kuwe na vikwazo??? Asitufanye wote hapa Tz ni WagogoOctober 25, 2019
Dar es Salaam, Tanzania
Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Mataifa
Prof. Palamagamba Kabudi asema kuwa Vikwazo vinavyowekewa nchi za kiAfrika lazima vipitie kwanza Umoja wa Mataifa na kujadiliwa ktk Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA United Nations General Assembly) ili kupata baraka za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.
Prof. Kabudi anakosoa nchi mmoja au chache kubwa beberu kuamua kuweka vikwazo bila kushirikisha jumuiya ya kimataifa ni njia batili na haikubaliki. Amekosoa vikwazo kuamuliwa na nchi moja beberu maana huathiri kina mama, watoto na wananchi wanyonge zaidi
Vikwazo vinaenda kinyume na mila na desturi za uungwana kwa nchi moja kutangaza vikwazo bila kuhusisha Umoja wa Mataifa au Jumuiya za Kikanda kujadili pendekezo la vikwazo kabla havijatekelezwa.
Kama Marekani na Uingereza wangekuwa na hoja za msingi kuhusu Zimbabwe wangepeleka azimio kwenye Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa".Prof. Kabudi.
Source: ITV Tanzania
Pambavu usimtanie waziri shika adabu yako
Sure mkuu, inamaana US haiwezi kuamua mambo yake binafsi mpaka UN.. Inachofanya US in kuamua wao kwa maslahi yaoIle nafasi ya Foreign Affairs ilipaswa aendelee nayo Mh.Augustine Mahiga kwa kuwa ndio Taaluma yake na pia ana uzoefu nao wa hali ya juu sana
October 25, 2019
Dar es Salaam, Tanzania
Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Mataifa
Prof. Palamagamba Kabudi asema kuwa Vikwazo vinavyowekewa nchi za kiAfrika lazima vipitie kwanza Umoja wa Mataifa na kujadiliwa ktk Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA United Nations General Assembly) ili kupata baraka za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.
Prof. Kabudi anakosoa nchi mmoja au chache kubwa beberu kuamua kuweka vikwazo bila kushirikisha jumuiya ya kimataifa ni njia batili na haikubaliki. Amekosoa vikwazo kuamuliwa na nchi moja beberu maana huathiri kina mama, watoto na wananchi wanyonge zaidi
Vikwazo vinaenda kinyume na mila na desturi za uungwana kwa nchi moja kutangaza vikwazo bila kuhusisha Umoja wa Mataifa au Jumuiya za Kikanda kujadili pendekezo la vikwazo kabla havijatekelezwa.
Kama Marekani na Uingereza wangekuwa na hoja za msingi kuhusu Zimbabwe wangepeleka azimio kwenye Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa".Prof. Kabudi.
Source: ITV Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani hivi watanzania Mina Nini lakiniwe pigania kwa jirani huku kwako kunawaka moto
Sio yeye tu, na familia yake yote!
Acha kulamba miguu ya wanaume wenzioAcha tabia ya kudharau viongozi
Kuna kitu hujaelewaAcha tabia ya kudharau viongozi
Mimaacho imekutoka km wazir wakoPambavu usimtanie waziri shika adabu yako