Prof. Patrick Lumumba: Tanzania chama cha siasa ni CCM tu hivyo vingine ni vikundi vya wanaharakati visivyo na Filosofia wala Falsafa

Aliweka ukada mbele na sio mizania wakati wa uchambuzi
 
Hapa kamchongea msajiri wa vyama vya siasa.kwa hali hiyo anatakiwa avifute kibaki kimoja tu CCM
 
Huyo mbwa akawashauri wakenya wenzake mambo yetu atuachie wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…