Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #21
Tumeleweshwa na kasumba ya ukoloni mambo leo, kila Waafrika tukifanya jambo zuri, hatujiamini tunaona sifa kufanya mambo kama wazungu.
P
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof. Lumumba, ameanza kwa kibwagizo cha "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Baada ya hapo amekuwa akihudumia kwa lugha ya Kizungu, nimeambulia kusikia neno "The Great Mwalimu Nyerere.
Huyu jamaa anaonekana amezisoma sana speeches za Mwalimu Nyerere, kila akiongea maneno mawili matatu, atamtaja Mwalimu Nyerere.
P
steti ajenti unafikiri kichwa ni cha KUFUGIA NYWELE!😂😂😃😃Mkuu p kajagusia manyumbu kutia mpira kwapani nakukimbia nao Kenya kupitia MTO Mara
State agent.
Hahahhaa hii ligi haihitaji hasira tulia ndgKipofu ni wewe na ukoo wenu wote wa mapanya
Yeah ni rahisi tu akiwa zimbabwe atamtaja Mugabe ni kusoma mazingira!Prof. Lumumba, ameanza kwa kibwagizo cha "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Baada ya hapo amekuwa akihudumia kwa lugha ya Kizungu, nimeambulia kusikia neno "The Great Mwalimu Nyerere.
Huyu jamaa anaonekana amezisoma sana speeches za Mwalimu Nyerere, kila akiongea maneno mawili matatu, atamtaja Mwalimu Nyerere.
P
Habari ya mujini kwa sasa ni chama cha ukweli cha upinzani Tanzania [emoji1241] kuususia uchaguzi wa serikali za mitaa
Kipofu ni wewe na ukoo wenu wote wa mapanya
No Prof. PLO Lumumba is pro Nyerere and not pro Magufuli but he is independent.Lumumba ni Pro…Magufuli
Ahah
Wakisusa sie twala.Habari ya mujini kwa sasa ni chama cha ukweli cha upinzani Tanzania [emoji1241] kuususia uchaguzi wa serikali za mitaa
Inasikitisha kuwa bado kuna watanzania wachahe hawajaelewa falsafa ya "Magufulification of Africa" wakati Africa na dunia ime embrace hiyo philosophy...karibu Prof kufumbua macho baadhi ya vipofu!
Prof. Lumumba, ameanza kwa kibwagizo cha "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Baada ya hapo amekuwa akihudumia kwa lugha ya Kizungu, nimeambulia kusikia neno "The Great Mwalimu Nyerere.
Huyu jamaa anaonekana amezisoma sana speeches za Mwalimu Nyerere, kila akiongea maneno mawili matatu, atamtaja Mwalimu Nyerere.
P
Babu usiniambie lugha ya malkia bado inakusumbua 😀😀, Nilibahatika kupitia hiki kitabu cha Africa's liberation the legacy of Nyerere wakina Prof. Issa G. Shivji wameelezea harakati za Mwalimu katika ukombozi wa Nchi za afrika pia maono yake, Hakika Hayati Mwl. J.K. Nyerere alikuwa zaidi ya binadamu.Prof. Lumumba, ameanza kwa kibwagizo cha "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Baada ya hapo amekuwa akihudumia kwa lugha ya Kizungu, nimeambulia kusikia neno "The Great Mwalimu Nyerere.
Huyu jamaa anaonekana amezisoma sana speeches za Mwalimu Nyerere, kila akiongea maneno mawili matatu, atamtaja Mwalimu Nyerere.
P
Jiwe lishakupata hilo. Pole jombaaKipofu ni wewe na ukoo wenu wote wa mapanya
Yeah ni rahisi tu akiwa zimbabwe atamtaja Mugabe ni kusoma mazingira!
Tumeleweshwa na kasumba ya ukoloni mambo leo, kila Waafrika tukifanya jambo zuri, hatujiamini tunaona sifa kufanya mambo kama wazungu.
P
Magufuli anavunja katiba left right and center.Inasikitisha kuwa bado kuna watanzania wachahe hawajaelewa falsafa ya "Magufulification of Africa" wakati Africa na dunia ime embrace hiyo philosophy...karibu Prof kufumbua macho baadhi ya vipofu!
Asante ila pia nilitaka kukasirika uliponiita Babu, kwasababu hatupendi kuzeeka, ila nilipokumbuka, my 1st born has a kid, my 2nd born has a kid and my 3rd born ni mama kijacho ndipo nika realize I'am indeed a Babu.Babu usiniambie lugha ya malkia bado inakusumbua 😀😀, Nilibahatika kupitia hiki kitabu cha Africa's liberation the legacy of Nyerere wakina Prof. Issa G. Shivji wameelezea harakati za Mwalimu katika ukombozi wa Nchi za afrika pia maono yake, Hakika Hayati Mwl. J.K. Nyerere alikuwa zaidi ya binadamu.
Waweza kipakua hapa babu Pascal Mayalla ukapitisha macho kidogo Mkuu