Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 12,000
Does he still believe that Magulification of Africa is the right way to go?
Kwani umetajwa!
Kinachotakiwa ni kuliondoa jini ccmVipi kuhusu Act kuwa chama kikuu cha upinzani mgombea ni zitto!
Haki ya mungu ukabira ni kitu kibaya sana maishani.Wakisusa sie twala.
P
Kina Pascal bado wanamuaminiHuyo Lumumba ni mnafiki mkubwa nashangaa kama bado kuna watu wana muamini
he is already obsoletedWanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Watch Live.
Karibu.
Paskali.
Ina maana umeenda kwenye hilo tukio ukiwa hujui key speakers ni akina nani? Kwa ueledi wako unaniangusha mkuu wangu.
PLO kuwepo wala siyo breaking news kwani toka mwanzo ilijulikana atakuwepo.
View attachment 1256854
Unforgetable
Wanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Watch Live.
Karibu.
Paskali.
Sure,he is still in the same view
Methinks Prof. Lumumba made a serious academic mistake by not allowing himself enough time to study the new leadership in this country before glorifying it.
This is acedemical unacceptable and disobedience.
Why trying to put words on Professor Lumumba!
Unaota ndoto za mchana, amka ukafanye kazi.Kinachotakiwa ni kuliondoa jini ccm
Mkuu, tunakuomba useme chochote kuhuse uchaguzi wa serikali za mitaa. Tunaona umekuwa kimya sana kwenye jambo muhimu kama hili!Wanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Watch Live.
Karibu.
Paskali.
Tumeleweshwa na kasumba ya ukoloni mambo leo, kila Waafrika tukifanya jambo zuri, hatujiamini tunaona sifa kufanya mambo kama wazungu.
P
Mimi nipo ukoo wa paka!Naona wewe ndiye huyooo wa ukoo wa panya
Mimi nipo ukoo wa paka!
Mimi nafanya kazi za maana sana kuliko wewe unayeshinda hapo lumumba unaimba nyimbo za mapambio kumsifia jiwe.Unaota ndoto za mchana, amka ukafanye kazi.
Mmawia burudani kwelikweli 😂😂Mimi nafanya kazi za maana sana kuliko wewe unayeshinda hapo lumumba unaimba nyimbo za mapambio kumsifia jiwe.
Rudi kwenu Ngara ukalime maharagwe maana ndiyo msimu wake