Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Jamani kuna mtu kaiweka hii kweny moja ya thread yangu naona imewakwa kama new issue. Duu
 
Jenerali Ulimwengu: Kinachoendelea serikalini ni "Andrew The Lawgiver", Tumerudi nyuma miaka 50 kwenye demokrasia



Jenerali Ulimwengu akiwa kwenye kongamano la kigoda cha mwalimu Nyerere chuo kikuu cha Dar es Salaam, amesema pamoja na hatua nzuri anazochukua Rais wa sasa, Mheshimiwa John Magufuli ambazo zimepongezwa lakini ukiangalia picha kubwa ni kwamba tumerudi nyuma kama miaka 50 kwenye demokrasia.

Jenerali Ulimwengu amesema ni kutokana na kufinya uhuru wa kujieleza na hususan kwa kufinya uhuru wa wawakilishi wa wananchi ndani ya bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ulimwengu kasema katika hili hamna kifimbo cha uchawi cha kujinasua isipokuwa mchakato wa katiba ambao ulichukua fedha nyingi kisha ukaachwa njiani na Mheshimiwa Kikwete.

Source : JamiiForums / ITV Tanzania
 
Bwashee ushindi ni ushindi haijalishi ni wa matuta au dakika 90!
Aisee! Hizi ndio akili kubwa za JF siku hizi! Inaonekana wewe hata ukikwama kiuchumi utakuwa tayari kugongwa kwa kigezo cha "kazi Ni kazi , bora mkono uende kinywani"
 
Jenerali Ulimwengu: Kinachoendelea serikalini ni "Andrew The Lawgiver", Tumerudi nyuma miaka 50 kwenye demokrasia



Jenerali Ulimwengu akiwa kwenye kongamano la kigoda cha mwalimu Nyerere chuo kikuu cha Dar es Salaam, amesema pamoja na hatua nzuri anazochukua Rais wa sasa, Mheshimiwa John Magufuli ambazo zimepongezwa lakini ukiangalia picha kubwa ni kwamba tumerudi nyuma kama miaka 50 kwenye demokrasia...


Uko vizuri sana kwenye masuala ya video. Naona ndiyo kitengo chako.

Vipi ile hotuba ya Nyerere kule Eritrea uliweza kuitafuta?
 
Itashinda kwa kishindo au itatangazwa kushinda kwa kishindo? Unashinda iwapo unashindana, sasa kama hushindani bali unaagiza utangazwe mshindi inakuwaje hapo?
tume ii ya uchaguzi ndo imewatangaza wabunge zaidi ya 40 wa upinzani walipo shinda uchaguzi 2015.
ni tume huru na wala aingiliwi wala aipangiwi.anaeshinda anatangazwa.
kwaiyo acheni kujihami kwa uongo na uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tume ii ya uchaguzi ndo imewatangaza wabunge zaidi ya 40 wa upinzani walipo shinda uchaguzi 2015.
ni tume huru na wala aingiliwi wala aipangiwi.anaeshinda anatangazwa.
kwaiyo acheni kujihami kwa uongo na uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hatukosei tunachosema, hiyo tume hata hiyo 2015 haikuwa huru, bali wakati huo wangalau kulikuwa na soni, chini ya awamu hii tume hiyo kutokuwa huru imekuwa wazi zaidi. Yote yaliyofanywa na hiyo tume baada ya Magufuli kuingia madarakani tumeyaona na tunayajua vizuri.

NB: halafu una matatizo ya herufi H, sio aingiliwi bali ni haiingiliwi, sio aipangiwi, bali ni haipangiwi.
 
Hatukosei tunachosema, hiyo tume hata hiyo 2015 haikuwa huru, bali wakati huo wangalau kulikuwa na soni, chini ya awamu hii tume hiyo kutokuwa huru imekuwa wazi zaidi. Yote yaliyofanywa na hiyo tume baada ya Magufuli kuingia madarakani tumeyaona na tunayajua vizuri.

NB: halafu una matatizo ya herufi H, sio aingiliwi bali ni haiingiliwi, sio aipangiwi,bali ni haipangiwi.
mwaka huu ni mwaka utakao kuwa na uchaguzi huru na wa haki kuliko miaka yote, kwanza mifumo ya ki elecrronics itaboreshwa zaidi ili kuweka uhuru na uwazi wa kura.
pili waangalizi wa kimataifa watasogezwa kwenye kiini cha mahesabu ya kura ili kuwapa uhakika na kinachoendelea kwenye majumuisho ya kura.

kwenye ku type key za simu uwa ni kawaida kukosea kwa sababu mara nyingine mtu unaandika kwa speed sana.

NB:alafu na wewe unamatatizo ya herufi.
wangalau = ni angalau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwaka huu ni mwaka utakao kuwa na uchaguzi huru na wa haki kuliko miaka yote, kwanza mifumo ya ki elecrronics itaboreshwa zaidi ili kuweka uhuru na uwazi wa kura.

pili waangalizi wa kimataifa watasogezwa kwenye kiini cha mahesabu ya kura ili kuwapa uhakika na kinachoendelea kwenye majumuisho ya kura.

kwenye ku type key za simu uwa ni kawaida kukosea kwa sababu mara nyingine mtu unaandika kwa speed sana...

Ni hivi hakuna uchaguzi huru chini ya awamu hii na hatuna imani na tume iliyopo. Kwa taarifa yako bila tume huru ya uchaguzi wapiga kura tunaojitambua hatutashiriki huo upuuzi. Hao waangalizi wa kimataifa labda kutoka ulaya ndio husema kweli na sio hawa toka Afrika.

Suala la makosa yako kwenye kuandika sio typing error, bali ni matatizo ya herufi kwenye neno husika. Ukitaka kujua ww ni kilaza umenirekebisha kwenye nini hapo chini, na mimi nimeandika nini?
 
Ni hivi hakuna uchaguzi huru chini ya awamu hii na hatuna imani na tume iliyopo. Kwa taarifa yako bila tume huru ya uchaguzi wapiga kura tunaojitambua hatutashiriki huo upuuzi. Hao waangalizi wa kimataifa labda kutoka ulaya ndio husema kweli na sio hawa toka Afrika.

Suala la makosa yako kwenye kuandika sio typing error, bali ni matatizo ya herufi kwenye neno husika. Ukitaka kujua ww ni kilaza umenirekebisha kwenye nini hapo chini, na mimi nimeandika nini?
acheni visingizio kilichopo sasa ni chadema kupoteza mvuto kwa watanzania. sasa mnatafuta sababu ili msishiriki uchaguzi mfiche madhaifu yenu.

kwenye andiko lako embu pitia uone makosa yako ya herufi ndo ujijue kama wewe ni utopolo. umeandika hivi:hatukosei tunachosema,hiyo tume hata hiyo 2015 haikuwa huru,bali wakati huo( wangalau) kulikuwa na soni.

Sio wangalau ni angalau.
Rejea kusoma utaona makosa yako ya herufi wewe kiazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom