Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

WaTanzania wenye uelewa kama huyu wapo; lakini sauti zao hazisikiki, sijui wanasubiri hadi tutumbukie kwenye janga ambalo litatudidimiza kwa muda mrefu ndio wasikike!

Hata hivyo nampongeza kwa kuyafunua haya hapa.

Bahati mbaya tuliyonayo yanaishia JF, wananchi hayawafikii, sasa watafunguka mawazo vipi?

Kinachoshangaza pia ni hivi vyama vya siasa, hasa CHADEMA na ACT-Wazalendo, kushindwa hata kunakiri tu na kuwatumia wananchi wajisomee wenyewe huko mitaani kwao na vijijini.

Wananchi wengi wanajua kusoma na kuandika, hata kama uelewa wao unaweza kuwa mdogo hawawezi wakashindwa kuunganisha wanayoyasoma na matendo yanayofanywa na viongozi wa CCM.

Hivi vyama vimekazania tu watu wa mitandaoni, ambao wengi wao wanayajua haya, na hata kura hawapigi, wakishiriki ni kutafuta ulaji CCM au kwenye hivyo vyama vya siasa.
 
Hizi ni fikra huru,Kama yupo kwenye utumishi huyu asahau kuhusu teuzi.
Nilitaka kukumbushia hilo, naona nawe ulikuwa ukiliwaza.

Yule mwenye jina linalokariniana na lako 'Bunsen Bana' ni balozi wa nchi gani sijui!
 
CCM itashinda kwa kishindo hilo halina mjadala!
Swali Je unafuraha ya utashi wako mwenyewe???

... au unalazimisha kufurahi kwa kuambiwa fungulia mziki, shusha vioo vya gari piga mziki zunguruka mjini nenda shopping na uende bar ...

Furaha hailazimishwi mkuu, watu tunalazimishwa kuridhika na miundombinu hatari Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bagamoyo,
Katika uwasilishaji wake, Prof. Alimlinganisha baba wa Taifa Mwl nyerere Rais wa kwanza wa Tz ndani ya miaka 23 ya uongozi wake na uongozi wa kipindi cha miaka mitatu(3) ya Rais wa Sasa Mh Magufuri.

Falsafa zao ,maono Yao,hisia zao na utashi wao katika kuwaongoza Watz( makabwela,wakulima na wafanyakazi,wanyonge walalahoi) machinga kufikia matarajio na maisha Bora.

Kwa kiwango cha kutosha, Prof amempa mh Magufuli sifa kubwa za kuliongoza Taifa.
 
Niko upande wa prof ....jamaa Akili kubwa ....ukiachana na ahadi hewa za kujenga viwonder na mil 50 kila kijiji.

Ana Akili Kubwa kwakuwa tu ameisema CCM ambayo huipendi au ana Akili Kubwa kwakuwa unadhani amewasaidia Wapinzani Kuulamu Utawala.
 
acheni visingizio kilichopo sasa ni chadema kupoteza mvuto kwa watanzania.
sasa mnatafuta sababu ili msishiriki uchaguzi mfiche madhaifu yenu.

kwenye andiko lako embu pitia uone makosa yako ya herufi ndo ujijue kama wewe ni utopolo.
umeandika hivi:hatukosei tunachosema,hiyo tume hata hiyo 2015 haikuwa huru,bali wakati huo( wangalau) kulikuwa na soni.
sio wangalau ni angalau.
rejea kusoma utaona makosa yako ya herufi wewe kiazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Chadema kimepoteza mvuto au hayo ndio matamanio ya ccm kuwa cdm ipoteze mvuto? Hakuna siasa, na kwenye chaguzi tunaona uhayawani wa wazi, hapo unapimaje chama kupoteza mvuto? Hatuna muda wa kushiriki uchaguzi ambao tunaona wazi kwa macho yetu, ushezi na ukatili wa wazi ili ccm watangazwe washindi. Udhaifu sio kuacha kushiriki uchaguzi, bali udhaifu ni kushiriki uchaguzi ambao unaona kabisa ushenzi wa wazi ili ccm watangazwe washindi.

Hapo kwenye hayo marekebisho bora ukae kimya tu.
 
Katika uwasilishaji wake, Prof. Alimlinganisha baba wa Taifa Mwl nyerere Rais wa kwanza wa Tz ndani ya miaka 23 ya uongozi wake na uongozi wa kipindi cha miaka mitatu(3) ya Rais wa Sasa Mh Magufuri.
Falsafa zao ,maono Yao,hisia zao na utashi wao katika kuwaongoza Watz( makabwela,wakulima na wafanyakazi,wanyonge walalahoi) machinga kufikia matarajio na maisha Bora.
Kwa kiwango cha kutosha, Prof amempa mh Magufuli sifa kubwa za kuliongoza Taifa.

Duuu, kwahiyo Nyerere ndio alilinganishwa na Magufuli? Kwahiyo Nyerere ndio SI unit ya ubora wa kiuchumi? Mbona watu walipanga mstari kununua sukari na kuvaa viraka?
 
Cdm kimepoteza mvuto au hayo ndio matamanio ya ccm kuwa cdm ipoteze mvuto? Hakuna siasa, na kwenye chaguzi tunaona uhayawani wa wazi, hapo unapimaje chama kupoteza mvuto? Hatuna muda wa kushiriki uchaguzi ambao tunaona wazi kwa macho yetu, ushezi na ukatili wa wazi ili ccm watangazwe washindi. Udhaifu sio kuacha kushiriki uchaguzi, bali udhaifu ni kushiriki uchaguzi ambao unaona kabisa ushenzi wa wazi ili ccm watangazwe washindi.

Hapo kwenye hayo marekebisho bora ukae kimya tu.
Huwezi linganisha chadema ya sasa na ya dr Slaa na ya Lowasa ya sasa imepoteza sana mvuto wamebaki wahuni tu.

Ndio maana wenye busara wanahama au wanakaa kimya kama akina Prof. Safari na Prof. Baregu.

Kuhusu kukurekebisha umeshaelewa wapi ulipokosea herufi. Huwa unatokea mtu kukosea. Lazima ukubali sio aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa speed walito anza nayo kupambana na chadema, mwenyewe nilidhani 2020 chadema itakua mfu.

Maana ole miereka, virungu, potea potea enzi za mwigulu, mitama, risasi, madiwani business etc..

Kumbe chadema imejengwa kwenye fikra,
Prof. Mukandala muhadhara wake aliangalia mbele mpaka 2020 kuona kama utawala huu wa CCM utaweza kujirekebisha 2018, 2019 na ghafla tupo 2020.

Body language ya vigogo wateule ktk muhadhara huo ulionesha kuna mapungufu kibao lakini ndiyo hivyo Mwenyekiti CCM na Katibu wa CCM waliona 2020 ni mbali pamoja ya Prof. kuwapa angalizo hajui hatima ya CCM Mpya 2020 kutokana na mapungufu mengi ktk tathmini.

Muda ni mchache na Vitu vingi utawala wa CCM umeshindwa kuvirekebisha au kufanya vizuri.
 
Niko upande wa prof ....jamaa Akili kubwa ....ukiachana na ahadi hewa za kujenga viwonder na mil 50 kila kijiji.
Usiwe mtu mwenye mawazo mgando. Kama zimejengwa hospital 67 za wilaya, vituo vya afya 467 na zahanati zaidi ya mia nne usiulizie masuala madogo kama mil 50.

Halafu serikali ina dhamira ya kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji kujenga viwanda sio kama wewe unavyofikiria. Tatizo ni uelewa mdogo.
 
huwezi linganisha chadema ya sasa na ya dr slaa na ya lowasa.ya sasa imepoteza sana mvuto.wamebaki wahuni tu.
ndo maana wenye busara wanahama au wanakaa kimya kama akina prof. safari na prof.baregu.

kuhusu kukurekebisha umeshaelewa wapi ulipokosea herufi.huwa unatokea mtu kukosea.lazima ukubali sio aibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujui siasa, wewe ni bendera fuata upepo. Chadema chini ya Dr. Slaa mazingira ya kisiasa yalikuwa tofauti na sasa. Wakati wa Dr. Slaa siasa za ushindani ziliruhusiwa, sasa hivi chini ya Magufuli kuna siasa za shuruti za kuikubali ccm, na hakuna ruhusa ya kufanya siasa za ushindani. Usimtaje Lowassa maana Lowassa hajawahi kuwa mwanacdm wala kufanya siasa ndani ya chadema, bali alinunua nafasi ya kugombea urais ndani ya chadema. Hao wanaohama sio wenye busara, bali ni watu wasioweza ushindani wa kweli, hivyo wanaenda sehemu watakazopata nafasi za mbeleko. Professor Baregu au Safari sijawahi kuwaona kwenye siasa za majukwaani, sasa unaposema wako kimya sijui unamaanisha nini?

Hapo kwenye kukosea narudia tena ni bora ukakaa kimya.
 
Hujui siasa, ww ni bendera fuata upepo. Cdm chini ya Dr. Slaa mazingira ya kisiasa yalikuwa tofauti na sasa. Wakati wa Dr. Slaa siasa za ushindani ziliruhusiwa, sasa hivi chini ya Magufuli kuna siasa za shuruti za kuikubali ccm, na hakuna ruhusa ya kufanya siasa za ushindani. Usimtaje Lowassa maana Lowassa hajawahi kuwa mwanacdm wala kufanya siasa ndani ya cdm, bali alinunua nafasi ya kugombea urais ndani ya cdm. Hao wanaohama sio wenye busara, bali ni watu wasioweza ushindani wa kweli, hivyo wanaenda sehemu watakazopata nafasi za mbeleko. Professor Baregu au Safari sijawahi kuwaona kwenye siasa za majukwaani, sasa unaposema wako kimya sijui unamaanisha nini?

Hapo kwenye kukosea narudia tena ni bora ukakaa kimya.
hapana uwezi kudanganya na wakati mambo yapo wazi jamaa.
chadema ya wakati wa dr slaa ilikuwa na nguvu na mvuto. polisi walizuia na kupiga marufuku mikutano ya hadhara lkn wanachadema wakataa na wakaingia barabarani kuandamana mpaka dr na mke wake walipigwa.mwisho ikabidi waruhusiwe.
sasa mazingira ya kipindi kile ni kama ya sasa,isipo kuwa chadema ya kipindi kile ilikuwa na maamuzi magumu na dr slaa alikuwa anaingia front line mwenyewe.

chadema ya mbowe kwa sasa haiwezi ingia front line kushinikiza waruhusiwe mikutano ya hadhara kwa kuwa haina mvuto tena,wala haina nguvu imekwisha.
chadema ya sasa imebaki jf.tweeter,kigogo na mange kimavi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlichobakiza ni matusi na upuuzi. Watu wanashukuru serikali kwa kufanya makubwa unaleta upuuzi wa kuhoji mil 50!


Hakuna matusi ..mmejenga viwanda vingapi , mlisema 2015 serikali itakuwa ya viwonder mbona haipo tena ....vipi kuhusu mil 50 kila kijiji ..yaani safari hii hats mkivaa bullet proof tunapiga vichwa vyenu.
 
Back
Top Bottom