Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Hakuna matusi ..mmejenga viwanda vingapi , mlisema 2015 serikali itakuwa ya viwonder mbona haipo tena ....vipi kuhusu mil 50 kila kijiji ..yaani safari hii hats mkivaa bullet proof tunapiga vichwa vyenu.
Ujinga kama huu unaouliza ndio mtakuwa mnaunadi majukwani?
 
Akili ndogo ukichanganya na bangi. Unataka ujibiwe mara ngapi? Yaani hayo maendeleo yaliyofanyika ndani ya miaka minne huyaoni?


Bangi zinakujaje Jibu swali mmejenga viwonder vingapi ,,,pia wapi zilipo mil 50 kila kijiji.?

Ukinijibu haya mswalia kwa ufasaha naomba moderator wa Jf mnipige ban ya maisha.
 
Prof. Rwekaza S. Mukandala amehitimisha kuwa hajui hatima ya Magufuli na CCM Mpya yatakuwaje 2020 wananchi wakiamua.
Ameitendea vema taaluma yake ya Political Science.

Wakati wa Kikwete huyu mzee alitumiwa sana kuandaa Slogan mbalimbali za kisiasa kama ile ya
Tumeweza
Tumethubutu
Tunasonga mbele
 
hapana uwezi kudanganya na wakati mambo yapo wazi jamaa.
chadema ya wakati wa dr slaa ilikuwa na nguvu na mvuto. polisi walizuia na kupiga marufuku mikutano ya hadhara lkn wanachadema wakataa na wakaingia barabarani kuandamana mpaka dr na mke wake walipigwa.mwisho ikabidi waruhusiwe.
sasa mazingira ya kipindi kile ni kama ya sasa,isipo kuwa chadema ya kipindi kile ilikuwa na maamuzi magumu na dr slaa alikuwa anaingia front line mwenyewe.

chadema ya mbowe kwa sasa haiwezi ingia front line kushinikiza waruhusiwe mikutano ya hadhara kwa kuwa haina mvuto tena,wala haina nguvu imekwisha.
chadema ya sasa imebaki jf.tweeter,kigogo na mange kimavi.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja nikupe tofauti ya Chadema wakati wa Dr

Slaa na sasa. Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa Rais alikuwa Kikwete. Sio kwamba Kikwete alikuwa mzuri sana, ila kwakuwa alikuwa anasafiri kwenda nje, ilikuwa ngumu kwake kuendesha siasa za shuruti kama ilivyo wakati huu wa Magufuli. Kwa vyovyote iwapo Kikwete angekuwa anafanya siasa kama hizi za Magufuli angejikuta kwenye wakati mgumu, maana dunia ilishatoka kwenye siasa za kishenzi na mabavu ya dola.

Naona unataja maandamano kama sifa ya kukubalika, kumbuka hayo maandamano ndio yalitumika kama silaha ya kuichafua Chadema kuwa ni chama cha fujo, na kinachotaka kuharibu amani ya nchi. Slaa mnayemvika kilemba cha ukoka hivi leo baada ya kuhamia CCM, ndio aliyekuwa adui mkubwa wa CCM na alioga matusi yote kwasababu hiyo ya maandamano. Hata hivyo hayo maandamano unayoyataja leo kama sifa ya kukubalika hayakufanyika zaidi ya mara 5, fujo nyingine zote za kuihujumu Chadema zilizofanywa na vyombo vya dola, zilifanyikia kwenye mikutano ya Chadema.

Tuje kwenye Chadema hii baada ya Slaa kuondoka, mwanzoni kulikuwa na maandamano ya ukuta, ambayo huyo Mbowe aliyasitisha baada ya kufundishwa siasa za kikondoo na Lowassa, kwa kisingizio kuwa hizo ni siasa za harakati, na hazifai kwa Chadema. Pia kulikuwa na maandamano kwenye uchaguzi wa marudio hapa jimbo la Mtolea, baada ya Chadema kufanyiwa hujuma za kutoapishwa mawakala wao, maandamano yale yalipelekea kifo cha Akwilina, na viongozi wote wa Chadema walioshiriki maandamano yale walibambikiwa kesi. Wakati huo huo mkurugenzi aliyegoma kuwaapisha hao Chadema mpaka leo anadunda, maana ana backup ya mwenyekiti wa CCM. Je maandamano yote ya Chadema wakati wa Slaa walikuwa na hizi kesi?

Tuje kwenye hiyo kupoteza mvuto hivi sasa kwa Chadema. Kinachoendelea hivi sasa ni hujuma za wazi dhidi ya Chadema, na zote hizo zinafanywa kwa maagizo ya mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais, kisa ana nongwa na chuki ya wazi dhidi ya Chadema. Kwa hivi sasa CCM ni kama haipo, na Chadema inaonekana kupambana kisiasa na vyombo vya dola na taasisi za kimamlaka, kuliko kushindana na CCM kisiasa. Hii unayoita udhaifu wa Chadema sio udhaifu wa kisiasa, bali ni udhaifu wa kupambana na vyombo vya dola kwani Chadema haina silaha, na wala sio kikundi cha kigaidi, na haitakiwi kufanya siasa kwa uhuru na sheria za nchi, bali itegemee hisani ya mwenyekiti wa CCM aliye na chuki ya wazi dhidi ya Chadema.

Huu unaouita uimara wa CCM kwetu ni kiburi na jeuri ya madaraka ya mwenyekiti wa CCM. Uimara huu wa CCM na mwenyekiti wake, ni sawa na huo aliokuwa nao Gaddaf, Mugabe, Elbashir nk walipokuwa madarakani. Viongozi hao kwa ajili ya jeuri na matumizi mabaya ya madaraka, walijiona ni viongozi imara, na vyama vyao vilipata uimara bandia nyuma ya matumizi mabaya ya madaraka. Leo hii tuwekee mrejesho wa uimara wa viongozi hao na vyama vyao baada ya hatua dhidi yao kuchukuliwa.

Na waliokuwa wapambe wao kama ww katika kutetea uovu wao, wapi leo ili waimbe uimara wa watu walioamini ni imara? Uimara wa CCM unaousema ww ni huo wa kutoka na maboxi ya kura vituoni, wasimamizi wa uchaguzi kufunga ofisi ili wasipokee fomu za wapinzani ili CCM imara ipite bila kupingwa!? Uimara wa CCM ndio huo sasa hivi wanashinda uchaguzi wa nchi nzima bila kushindana. Je wakati wa Dr. Slaa hiyo Chadema ikiwa na mvuto uliwahi kusikia CCM ikishinda nchi nzima bila kushindana? Sasa hivi chini ya CCM hii imara, viongozi wanapitishwa kwa amri ya mwenyekiti wa CCM, kwakuwa ni Rais, basi yuko juu ya sheria. Uchaguzi umegeuka ni sehemu ya kupimia ujinga wa mtu mweusi anaposaka madaraka!
 
Ngoja nikupe tofauti ya Chadema wakati wa Dr

Slaa na sasa. Wakati wa Chadema ya Dr. Slaa Rais alikuwa Kikwete. Sio kwamba Kikwete alikuwa mzuri sana, ila kwakuwa alikuwa anasafiri kwenda nje, ilikuwa ngumu kwake kuendesha siasa za shuruti kama ilivyo wakati huu wa Magufuli. Kwa vyovyote iwapo Kikwete angekuwa anafanya siasa kama hizi za Magufuli angejikuta kwenye wakati mgumu, maana dunia ilishatoka kwenye siasa za kishenzi na mabavu ya dola.

Naona unataja maandamano kama sifa ya kukubalika, kumbuka hayo maandamano ndio yalitumika kama silaha ya kuichafua Chadema kuwa ni chama cha fujo, na kinachotaka kuharibu amani ya nchi. Slaa mnayemvika kilemba cha ukoka hivi leo baada ya kuhamia CCM, ndio aliyekuwa adui mkubwa wa CCM na alioga matusi yote kwasababu hiyo ya maandamano.

Hata hivyo hayo maandamano unayoyataja leo kama sifa ya kukubalika hayakufanyika zaidi ya mara 5, fujo nyingine zote za kuihujumu Chadema zilizofanywa na vyombo vya dola, zilifanyikia kwenye mikutano ya Chadema. Tuje kwenye Chadema hii baada ya Slaa kuondoka, mwanzoni kulikuwa na maandamano ya ukuta, ambayo huyo Mbowe aliyasitisha baada ya kufundishwa siasa za kikondoo na Lowassa, kwa kisingizio kuwa hizo ni siasa za harakati, na hazifai kwa Chadema.

Pia kulikuwa na maandamano kwenye uchaguzi wa marudio hapa jimbo la Mtolea, baada ya Chadema kufanyiwa hujuma za kutoapishwa mawakala wao, maandamano yale yalipelekea kifo cha Akwilina, na viongozi wote wa Chadema walioshiriki maandamano yale walibambikiwa kesi. Wakati huo huo mkurugenzi aliyegoma kuwaapisha hao Chadema mpaka leo anadunda, maana ana backup ya mwenyekiti wa CCM. Je maandamano yote ya Chadema wakati wa Slaa walikuwa na hizi kesi?

Tuje kwenye hiyo kupoteza mvuto hivi sasa kwa Chadema. Kinachoendelea hivi sasa ni hujuma za wazi dhidi ya Chadema, na zote hizo zinafanywa kwa maagizo ya mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais, kisa ana nongwa na chuki ya wazi dhidi ya Chadema.

Kwa hivi sasa CCM ni kama haipo, na Chadema inaonekana kupambana kisiasa na vyombo vya dola na taasisi za kimamlaka, kuliko kushindana na CCM kisiasa. Hii unayoita udhaifu wa Chadema sio udhaifu wa kisiasa, bali ni udhaifu wa kupambana na vyombo vya dola kwani Chadema haina silaha, na wala sio kikundi cha kigaidi, na haitakiwi kufanya siasa kwa uhuru na sheria za nchi, bali itegemee hisani ya mwenyekiti wa CCM aliye na chuki ya wazi dhidi ya Chadema.

Huu unaouita uimara wa CCM kwetu ni kiburi na jeuri ya madaraka ya mwenyekiti wa CCM. Uimara huu wa CCM na mwenyekiti wake, ni sawa na huo aliokuwa nao Gaddaf, Mugabe, Elbashir nk walipokuwa madarakani. Viongozi hao kwa ajili ya jeuri na matumizi mabaya ya madaraka, walijiona ni viongozi imara, na vyama vyao vilipata uimara bandia nyuma ya matumizi mabaya ya madaraka. Leo hii tuwekee mrejesho wa uimara wa viongozi hao na vyama vyao baada ya hatua dhidi yao kuchukuliwa.

Na waliokuwa wapambe wao kama ww katika kutetea uovu wao, wapi leo ili waimbe uimara wa watu walioamini ni imara? Uimara wa CCM unaousema ww ni huo wa kutoka na maboxi ya kura vituoni, wasimamizi wa uchaguzi kufunga ofisi ili wasipokee fomu za wapinzani ili CCM imara ipite bila kupingwa!? Uimara wa CCM ndio huo sasa hivi wanashinda uchaguzi wa nchi nzima bila kushindana. Je wakati wa Dr. Slaa hiyo Chadema ikiwa na mvuto uliwahi kusikia CCM ikishinda nchi nzima bila kushindana? Sasa hivi chini ya CCM hii imara, viongozi wanapitishwa kwa amri ya mwenyekiti wa CCM, kwakuwa ni Rais, basi yuko juu ya sheria. Uchaguzi umegeuka ni sehemu ya kupimia ujinga wa mtu mweusi anaposaka madaraka!
aisee siwezisoma takataka ndefu kiasi hiki.
andika point tu.maelezo mareefu bila point hayasaidii.

toa majibu ya short and clear.
kwa nini chadema chini ya mbowe imepoteza mvuto ?
kulikuwa na sababu gani mbowe kuwachangisha wabunge bilioni 8.5 na kisha kuziamishia uswiss ?
je kwa nini mbowe anaogopa kujibu tuhuma za unyanyasaji wa kingono ?
nipe sababu moja kuu kwa nini zaidi ya asilimia 75 ya wabunge,viongozi na wanachama wa chadema wanahama ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee siwezisoma takataka ndefu kiasi hiki.
andika point tu.maelezo mareefu bila point hayasaidii.

toa majibu ya short and clear.
kwa nini chadema chini ya mbowe imepoteza mvuto ?
kulikuwa na sababu gani mbowe kuwachangisha wabunge bilioni 8.5 na kisha kuziamishia uswiss ?
je kwa nini mbowe anaogopa kujibu tuhuma za unyanyasaji wa kingono ?
nipe sababu moja kuu kwa nini zaidi ya asilimia 75 ya wabunge,viongozi na wanachama wa chadema wanahama ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukija na marking scheme humu ndani utapata tabu sana. Huku ndani hakuna mke/mumeo/mtoto ambaye anaweza kujibu utakavyo ww. Hayo unayouliza kuhusu Mbowe, kamuulize mkewe, au msemaji wake. Mimi nimekujibu we kilaza bendera fuata upepo, ili uache kusumbua mabasha kwa kujifanya unajua siasa. Unazivaa propaganda kichwa kichwa kisha unataka upewe majibu anayoyataka Polepole, basi huku jf umebug men.
 
Ukija na marking scheme humu ndani utapata tabu sana. Huku ndani hakuna mke/mumeo/mtoto ambaye anaweza kujibu utakavyo ww. Hayo unayouliza kuhusu Mbowe, kamuulize mkewe, au msemaji wake. Mimi nimekujibu we kilaza bendera fuata upepo, ili uache kusumbua mabasha kwa kujifanya unajua siasa. Unazivaa propaganda kichwa kichwa kisha unataka upewe majibu anayoyataka Polepole, basi huku jf umebug men.
kwahiyo umekosa majibu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo umekosa majibu ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Narudia tena, hayo majibu unayoyataka nenda kwa mke wa Mbowe au msemaji wake. Hapa ninajadili siasa, sio mambo binafsi ya mwanasiasa, au tuhuma za watu wenye nongwa. Watu wa kujibu maswali unayoyataka nimeshakutajia, je una lingine kwa msaaada zaidi?
 
Back
Top Bottom