Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

Narudia tena, hayo majibu unayoyataka nenda kwa mke wa Mbowe au msemaji wake. Hapa ninajadili siasa, sio mambo binafsi ya mwanasiasa, au tuhuma za watu wenye nongwa. Watu wa kujibu maswali unayoyataka nimeshakutajia, je una lingine kwa msaaada zaidi?
sasa unajitoaje kimasomaso kumtetea fisadi na mzinzi kama mbowe haliyakuwa hunauwezo wa kumtetea ?
kwanza ni sababu ipi iliyomfanya mbowe ahamishie fedha kwenye akaunti yake ya uswiss tsh bilioni 8.5 ?

naomba uwe mwepesi kujibu watu wanafatilia jf wangependa kujua mustakbal wa fedha za chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unajitoaje kimasomaso kumtetea fisadi na mzinzi kama mbowe haliyakuwa hunauwezo wa kumtetea ?
kwanza ni sababu ipi iliyomfanya mbowe ahamishie fedha kwenye akaunti yake ya uswiss tsh bilioni 8.5 ?

naomba uwe mwepesi kujibu watu wanafatilia jf wangependa kujua mustakbal wa fedha za chama

Sent using Jamii Forums mobile app

Sihamishwi kwenye hoja za msingi na kilaza kama ww. Mimi sio mwepesi unavyofikiria wa kunitoa kwenye hoja za msingi unipeleke kujadili majungu. Tafuta popote ninapomtetea Mbowe, ukipapata uje uendelee na mjadala. Niko makini kuliko unavyodhani. Kamuulize Bashiru Ally Tindo wa jf ni nani?
 
Sihamishwi kwenye hoja za msingi na kilaza kama ww. Mimi sio mwepesi unavyofikiria wa kunitoa kwenye hoja za msingi unipeleke kujadili majungu. Tafuta popote ninapomtetea Mbowe, ukipapata uje uendelee na mjadala. Niko makini kuliko unavyodhani. Kamuulize Bashiru Ally Tindo wa jf ni nani?
acha mbwembwe.lakini nimegundua wewe ni mkorofi alafu unarukaruka saana.
muheshimiwa dr bashiru ally rais ajae aache kuendelea kupokea wanachama wa chadema wanaoamia ccm arumbane na wewe mlinzi wa ofisi ya chadema mtaa wa ufipa ?

kama umeshindwa kujibu fedha alizoiba mbowe bilioni 8.5 na akaziamishia kwenye akauntiyake ya uswiss.
na pia umeshindwa kujibu ni kwa nini mbowe hakanushi unyanyasaji wa kingono kwa wabunge wa viti maalum,ndo utaweza simama na dr bashiru ally wewe kiazi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha mbwembwe.lakini nimegundua wewe ni mkorofi alafu unarukaruka saana.
muheshimiwa dr bashiru ally rais ajae aache kuendelea kupokea wanachama wa chadema wanaoamia ccm arumbane na wewe mlinzi wa ofisi ya chadema mtaa wa ufipa ?

kama umeshindwa kujibu fedha alizoiba mbowe bilioni 8.5 na akaziamishia kwenye akauntiyake ya uswiss.
na pia umeshindwa kujibu ni kwa nini mbowe hakanushi unyanyasaji wa kingono kwa wabunge wa viti maalum,ndo utaweza simama na dr bashiru ally wewe kiazi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushabiki mwingi kuliko analysis.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha mbwembwe.lakini nimegundua wewe ni mkorofi alafu unarukaruka saana.
muheshimiwa dr bashiru ally rais ajae aache kuendelea kupokea wanachama wa chadema wanaoamia ccm arumbane na wewe mlinzi wa ofisi ya chadema mtaa wa ufipa ?

kama umeshindwa kujibu fedha alizoiba mbowe bilioni 8.5 na akaziamishia kwenye akauntiyake ya uswiss.
na pia umeshindwa kujibu ni kwa nini mbowe hakanushi unyanyasaji wa kingono kwa wabunge wa viti maalum,ndo utaweza simama na dr bashiru ally wewe kiazi ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Niko vizuri upande wa siasa, katika sehemu ambayo sina shaka nayo ni upande huu wa siasa. Sina shaka na uwezo wangu wa kujenga hoja, na sio hoja tu bali ni hoja zipi na nizijibu vipi. Ninapokuambia huyo Dr. Bashiru sikosei ninachokisema. Ukitaka kujua mimi ni mtu makini, angalia uandishi wangu, kuanzia matumizi ya nukta, koma na herufi kubwa. Halafu jiangalie ww kwenye uandishi wako. Mimi nina consistency ya uandishi katika post zote ninazoandika hapa jukwaani, na hiyo ni toka 2011 nilipojiunga hapa jf.
 
CCM itashinda kwa kishindo hilo halina mjadala!
Sema CCM itatangazwa mshindi. Usiseme itashinda kwakuwa huwa haishindi. Inatangazwa mshindi na refa ambaye ni mtoto wa nyumbani. Huwezi ukwa na mechi halafu referee, camisioner na linesmen wote Ni wakwako halafu unasema mchezo ulikuwa huru na matokeo no halali. Hilo tinalifahamu lakini hatuna mtetezi.
Kwanini mnakataa time huru na katiba mpya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko vizuri upande wa siasa, katika sehemu ambayo sina shaka nayo ni upande huu wa siasa. Sina shaka na uwezo wangu wa kujenga hoja, na sio hoja tu bali ni hoja zipi na nizijibu vipi. Ninapokuambia huyo Dr. Bashiru sikosei ninachokisema. Ukitaka kujua mimi ni mtu makini, angalia uandishi wangu, kuanzia matumizi ya nukta, koma na herufi kubwa. Halafu jiangalie ww kwenye uandishi wako. Mimi nina consistency ya uandishi katika post zote ninazoandika hapa jukwaani, na hiyo ni toka 2011 nilipojiunga hapa jf.
Sasa kama wewe ni hodari wa kisiasa unashindwaje kujua sababu ya mwanasiasa mbowe kuiba bilioni 8.5 na kuziamishia kwenye akaunti yake ya uswiss ?

Unashindwaje kujua sababu za mwanasiasa mzinzi mbowe kuogopa kujibu tuhuma za ngono?

Unashindwaje kujua sababu ya viongozi,wabunge na wanachama wa chadema kuhama chama kipindi hiki cha utawala wa mbowe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama wewe ni hodari wa kisiasa unashindwaje kujua sababu ya mwanasiasa mbowe kuiba bilioni 8.5 na kuziamishia kwenye akaunti yake ya uswiss ?
unashindwaje kujua sababu za mwanasiasa mzinzi mbowe kuogopa kujibu tuhuma za ngono ?
unashindwaje kujua sababu ya viongozi,wabunge na wanachama wa chadema kuhama chama kipindi hiki cha utawala wa mbowe ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ninapokuambia ww ni bendera fuata upepo sikosei. Umeletwa humu jukwaani kama parcel na umekabidhiwa propaganda ya Mbowe ukitarajia utatutoa watu makini kwenye hoja za msingi, kisha tuishie kujadili upuuzi. Kuijua siasa kuna uhusiano gani na masuala ya kiuchunguzi? Isitoshe mimi sio Auditor niweze kudhibitisha hizo tuhuma za siasa majitaka.

Mimi ni mwanaume tena rijali haswa, siwezi hata siku moja kukaa kujadili mienendo ya mwanaume mwenzangu kuhusu mambo ya ngono, ww kama ww unaweza, ili Mbowe akiwakosa hao wanawake umpe ww hiyo huduma. Kwangu nikiona wanaume kabisa mnajadili mambo binafsi ya ngono, nawaona ni wambea iwapo ni wanawake, na kama ni wanaume, basi ni mashoga. Watu makini hizi sio hoja bali ni upuuzi wa kuwango cha juu.

Viongozi wa cdm wanahama kwa sababu zaidi ya moja, kwanza ni usalama wao dhidi ya kundi la watu wasiojulikana, wenye uhusiano wa moja kwa moja na ccm na utawala uliopo. Kwao siasa na hasa vyeo ni sehemu ya ajira, hivyo wanaona fika jinsi chaguzi zinavyonajisiwa hawana uhakika wa kupata tena vyeo huku waliko. Hivyo wanachofanya ni kumsujudia shetani na mambo yake yote, ili wapate fahari za dunia hii. Na masharti wanayopewa na huyo shetani, ni kukikashifu chama chao kwa faida ya kisiasa ya chama cha shetani.
 
Ninapokuambia ww ni bendera fuata upepo sikosei. Umeletwa humu jukwaani kama parcel na umekabidhiwa propaganda ya Mbowe ukitarajia utatutoa watu makini kwenye hoja za msingi, kisha tuishie kujadili upuuzi. Kuijua siasa kuna uhusiano gani na masuala ya kiuchunguzi? Isitoshe mimi sio Auditor niweze kudhibitisha hizo tuhuma za siasa majitaka.

Mimi ni mwanaume tena rijali haswa, siwezi hata siku moja kukaa kujadili mienendo ya mwanaume mwenzangu kuhusu mambo ya ngono, ww kama ww unaweza, ili Mbowe akiwakosa hao wanawake umpe ww hiyo huduma. Kwangu nikiona wanaume kabisa mnajadili mambo binafsi ya ngono, nawaona ni wambea iwapo ni wanawake, na kama ni wanaume, basi ni mashoga. Watu makini hizi sio hoja bali ni upuuzi wa kuwango cha juu.

Viongozi wa cdm wanahama kwa sababu zaidi ya moja, kwanza ni usalama wao dhidi ya kundi la watu wasiojulikana, wenye uhusiano wa moja kwa moja na ccm na utawala uliopo. Kwao siasa na hasa vyeo ni sehemu ya ajira, hivyo wanaona fika jinsi chaguzi zinavyonajisiwa hawana uhakika wa kupata tena vyeo huku waliko. Hivyo wanachofanya ni kumsujudia shetani na mambo yake yote, ili wapate fahari za dunia hii. Na masharti wanayopewa na huyo shetani, ni kukikashifu chama chao kwa faida ya kisiasa ya chama cha shetani.
Nishakwambia acha kuandika risala.sina muda wa kupoteza kusoma matapishi.
naitaji majibu short & clear.
Ni kwa nini mbowe kahamishia fedha za chama bilioni 8.5 kwenye akaunti yake ya uswiss ?
Ni kwa nini mbowe anaona aibu kujibu tuhuma za ngono ?
Ni kwa nini chadema chini ya mbowe viongozi,wabunge na wanachama zaidi ya 75% wamehama chama ?
Kama auna majibu kesho nije ufipa niwaulize walinzi wenzio wa ofisini kwenu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nishakwambia acha kuandika risala.sina muda wa kupoteza kusoma matapishi.
naitaji majibu short & clear.
ni kwa nini mbowe kahamishia fedha za chama bilioni 8.5 kwenye akaunti yake ya uswiss ?
ni kwa nini mbowe anaona aibu kujibu tuhuma za ngono ?
ni kwa nini chadema chini ya mbowe viongozi,wabunge na wanachama zaidi ya 75% wamehama chama ?
kama auna majibu kesho nije ufipa niwaulize walinzi wenzio wa ofisini kwenu ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayo majibu unayotaka yako ndani ya hiyo risala. Labda kama ubongo wako ni MB 100, wakati mimi nakupa majibu ya 1terrabyte, hivyo unakuwa out of memory. Unalazimisha mabasha kinguvu humu jukwaani, kisha mabasha wakikujia unaficha bikira.
 
Hayo majibu unayotaka yako ndani ya hiyo risala. Labda kama ubongo wako ni MB 100, wakati mimi nakupa majibu ya 1terrabyte, hivyo unakuwa out of memory. Unalazimisha mabasha kinguvu humu jukwaani, kisha mabasha wakikujia unaficha bikira.
Kesho saa ngapi nitawakuta walinzi wenzio wa Ufipa labda wanaweza nipatia majibu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM itashinda kwa kishindo hilo halina mjadala!
Mkuu hilo halina mjadala, unakumbuka mkulu akiwa Igunga kuna raia anaejitambua alimwomba aachie pesa kisha akasema nakupongeza wewe na chama chako kwa ushindi wa kishindo wa serikali za mitaa!
 
Ni ushindi tu mkuu,uwe wa kidemokrasia au kulazimisha kwa nguvu,wote ni ushindi.
Itashinda kwa kishindo au itatangazwa kushinda kwa kishindo? Unashinda iwapo unashindana, sasa kama hushindani bali unaagiza utangazwe mshindi inakuwaje hapo?
 
Ni ushindi tu mkuu,uwe wa kidemokrasia au kulazimisha kwa nguvu,wote ni ushindi.

So hata siku jeshi likiingia madarakani kwa kupindua nchi itakuwa ni ushindi tu?
 
Back
Top Bottom