Gia kubwa
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 470
- 495
Mkandala namfahamu vizuri alinifundisha siasa Mlimani miaka mitatu nikawa nashangaa Professa anakuja lecture na tshirt na shingoni kavaa cheni na alikuwa anapenda sana sifa na kujidai!! nami leo napingana nae bila uoga!
1. Magu ni mtani wake na jirani yake kikabila hawezi mkubali hata mumuue!! yeye huona wahaya ni wasomi kuliko kabila lolote nchini na wanajua kila kitu zaidi kuliko mtu yoyote
2.Dhana yake Mkandala ni ile ile ya kati ya kuku na yai nini kilianza?? yaani anajifanya hajui kwa nchi maskini zenye income kiduchu Rais hubaki njiapanda kuchagua watu wawe na hela ila kusiwe na miundombinu au kinyume chake sababu lazima uchague kimoja pesa haitoshi kufanya yote mawili , je tujiulize kipi huendeleza kingine? welfare or infrastructure? ukiendeleza watu hakuna SGR wala Stiegler wanabaki maskini na maisha ya tabu na mahangaiko milele, ukijenga reli barabara vituo vya umeme vivuko kununua meli na ndege unatumia kodi yote na kuondoa mzunguko wa pesa mitaani watu wanakufa njaa je kipi cha kufanya?
3. Mukandala anakazia hoja ya Nape alipoongea bungeni huku akifurahiwa na Mr February pembeni kuwa Ilani ya uchaguzi ya kijani haisemi Rais apambane na miundombinu pekee bali inataka pia hali za maisha ya raia ziboreshwe na kuwa wanavyomaanisha miaka yote mitano Rais amefeli kwa kutofuata ilani ya chama! yaani amepuuza kuhudumia watu!!Mh Nape alisema wanamsubiri Rais kwenye kikao chama kumhoji kila kipengele cha ilani yao alikitekelezaje!!!
my take!
Mkandala ni debe tupu, litavuma siku zote hadi siku akipewa uteuzi! namsihi amuache Rais ajenge nchi sisi raia ni sugu tushazoea shida amuache Rais afanye yake tuumie sasa ili baadae tuishi kwa raha na wajukuu zetu wafurahie nchi yao!
Rais yuko sahihi hakuna muda sahihi wala shuruti katika ilani ya chama ya kujenga miundombinu na watangulizi wake hawakutoa kipaumbele sana katika miundombinu ambayo inapokamilika huleta neema na kurudisha furaha ya watu!!
Watu maskini wamezoea shida anawapigania ila wala hawako nae na hawajui maana ya furaha ni nini na wala hawajali Rais anawatesa na maisha magumu , furaha anaijua yeye na usomi wake!
Samahani sana my teacher Mkandala we are now equal , we now think differently na huwezi kunitishia kunipiga sup wala kunidisco tuko level moja kwenye elimu mitaani dot com!!
1. Magu ni mtani wake na jirani yake kikabila hawezi mkubali hata mumuue!! yeye huona wahaya ni wasomi kuliko kabila lolote nchini na wanajua kila kitu zaidi kuliko mtu yoyote
2.Dhana yake Mkandala ni ile ile ya kati ya kuku na yai nini kilianza?? yaani anajifanya hajui kwa nchi maskini zenye income kiduchu Rais hubaki njiapanda kuchagua watu wawe na hela ila kusiwe na miundombinu au kinyume chake sababu lazima uchague kimoja pesa haitoshi kufanya yote mawili , je tujiulize kipi huendeleza kingine? welfare or infrastructure? ukiendeleza watu hakuna SGR wala Stiegler wanabaki maskini na maisha ya tabu na mahangaiko milele, ukijenga reli barabara vituo vya umeme vivuko kununua meli na ndege unatumia kodi yote na kuondoa mzunguko wa pesa mitaani watu wanakufa njaa je kipi cha kufanya?
3. Mukandala anakazia hoja ya Nape alipoongea bungeni huku akifurahiwa na Mr February pembeni kuwa Ilani ya uchaguzi ya kijani haisemi Rais apambane na miundombinu pekee bali inataka pia hali za maisha ya raia ziboreshwe na kuwa wanavyomaanisha miaka yote mitano Rais amefeli kwa kutofuata ilani ya chama! yaani amepuuza kuhudumia watu!!Mh Nape alisema wanamsubiri Rais kwenye kikao chama kumhoji kila kipengele cha ilani yao alikitekelezaje!!!
my take!
Mkandala ni debe tupu, litavuma siku zote hadi siku akipewa uteuzi! namsihi amuache Rais ajenge nchi sisi raia ni sugu tushazoea shida amuache Rais afanye yake tuumie sasa ili baadae tuishi kwa raha na wajukuu zetu wafurahie nchi yao!
Rais yuko sahihi hakuna muda sahihi wala shuruti katika ilani ya chama ya kujenga miundombinu na watangulizi wake hawakutoa kipaumbele sana katika miundombinu ambayo inapokamilika huleta neema na kurudisha furaha ya watu!!
Watu maskini wamezoea shida anawapigania ila wala hawako nae na hawajui maana ya furaha ni nini na wala hawajali Rais anawatesa na maisha magumu , furaha anaijua yeye na usomi wake!
Samahani sana my teacher Mkandala we are now equal , we now think differently na huwezi kunitishia kunipiga sup wala kunidisco tuko level moja kwenye elimu mitaani dot com!!