Uchaguzi 2020 Prof. Rwekaza Sympho Mukandala: Hatma ya CCM 2020 bado haijulikani

28 July 2020
Dar es Salaam, Tanzania

UCHAGUZI 2020 TANZANIA : MAPOKEZI KABAMBE YA TUNDU LISSU DAR-ES-SALAAM 27.07.2020

TANZANIA 2020 ELECTIONS : DAR GIVES TUMULTOUS WELCOME TO OPPOSITION PRESIDENTIAL ASPIRANT TUNDU LISSU




Source: jenerali online
 
More info:

27 July 2020
Dar-es-Salaam, Tanzania

Tanzania opposition figure Tundu Lissu returns from exile


Lissu, who was shot 16 times in a 2017 attack, says he intends to contest October's presidential election.
21 hours ago


Lissu, a former politician with the Chadema main opposition party, was welcomed by hundreds of supporters


Tanzanian opposition politician and presidential hopeful Tundu Lissu has returned from exile in Belgium where he underwent treatment after he was shot multiple times three years ago.

Lissu, a former politician with the Chadema main opposition party, was welcomed by hundreds of supporters, who clamoured around his car as he waved from an open sunroof on Monday.

A critic of President John Magufuli, Lissu was shot 16 times in an attack by unknown gunmen in the administrative capital, Dodoma, in September 2017.

At the time, Magufuli condemned the shooting and ordered security forces to investigate, but no one has been arrested.

Lissu was arrested eight times in the year leading up to his attack and charged with incitement, among other alleged offences. His most recent arrest was in August 2017 - two weeks before he was shot.
READ MORE BELOW source : Tanzania opposition figure Tundu Lissu returns from exile
 
28 Julai 2020
Columbia, South Carolina na Washington DC
United States of America

Mafuriko ya Kumpokea Tundu Lissu yajadiliwa

Dr. Patrick Nhigula mhadhiri wa chuo Kikuu cha University of South Carolina (USC) Columbia Marekani akikazia katika fani ya sayansi ya utawala anaangazia shauku ya diaspora ktk kufuatilia tukio la ujio wa Tundu Lissu


HOTUBA NZIMA YA TUNDU LISSU
Hotuba nzima ya Mwanasheria na mwanasiasa mashuhuri wa kambi ya upinzani nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu azungumza na wanachama wa Chadema baada ya kuwasili nchini Tanzania Julai 27, 2020 .

Source: Swahili Villa
 
28 Julai 2020

Shauku ya Diaspora ya Tanzania kuhusu hali ya kisiasa Tanzania

Aliyekuwa Meya wa Ubungo jijini Dar es Salaam Boniface Jacob (CHADEMA) akisimulia maana ya ujio wa Tundu Lissu na hasahasa watu kujitokeza kwa wingi bila hofu kuonesha ushiriki wao katika siasa za Tanzania bila kujali vyama. Na pia hali ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2020 na masuala mengi yanayowagusa waTanzania bila kujali vyama , itikadi za kisiasa na makubwa mazuri yaliyofanywa ktk utawala wa awamu ya tano ....


Source : Swahili Villa
 
Maendeleo ya vitu uleta umasikini Mkubwa sana kwa watu, umasikini uleta chuki na mtawala aletae umasikini katu huwa apendwi only kwa wanufaika kina aongezewe mda.
 
28 July 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Tanzanian opposition leader returns from exile


Tundu Lissu, Tanzania's opposition leader and potential presidential candidate, arrived home on Monday having left the country three years following a gun attack.
Source : Reuters
 
30 Julai 2020
Ikwiriri, Rufiji
Tanzania

" Kuna matatizo makubwa katika kutatua changamoto za wananchi " - Mh. Magufuli

Hayo yalibainika wakati wananchi walipomuambia Mh. Rais John Pombe Magufuli wakati akiwa njiani Ikwiriri akirejea Dar es Salaam kwa njia ya barabara kutoka katika mazishi ya hayati Rais wa Awamu ya Tatu marehemu Benjamin William Mkapa huko kijijini Lupaso wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kusini mwa Tanzania.


Waziri Mkuu Mh Majaliwa na waziri wa ardhi William Lukuvi wameagizwa kwenda mkoani Pwani kutatua migogoro ya muda mrefu baina ya wakulima na wafugaji, ambayo Mh. John Magufuli amesema makundi hayo ya kijamii ya watanzania wote wanahitaji kufanya shughuli zao za ufugaji na kilimo bila bugudha au mapigano.

Wananchi wamedai kuwa mifugo inayokula mazao ya wakulima ni mali ya watu wanaosemekana ni wakubwa na hivyo wameamua kufikisha kilio chao kwa mkubwa kabisa yaani Mh. Rais.

Mkurugenzi wa wilaya amekiri hakuna maeneo maalum yaliyotengwa kwa wafugaji na wakulima katika wilaya ya Ikwiriri bonde la Rufiji na suala hilo lipo Mahakamani baada ya makundi hayo yote mawili kuwasilisha kesi ya madai ya haki za kuwepo maeneo hayo.

Huduma ya maji Ikwiriri ingawa wana mto karibu lakini hawayapati na wanatumia maji ya kutoboa ya visima. Mradi mkubwa wa maji una changamoto kwani motor ya kuvuta maji katika mradi huo wa maji wenye gharama ya milioni 91 iliharibiwa na mafuriko makubwa yaliyoikumba sehemu hiyo ya Ikwiriri.

Mh. Rais ameshangaa DC, DED, Mamlaka ya Maji Safi na Taka Rufij kukubali mabomba na mitambo kuharibiwa na mafuriko huku mpaka sasa hawajaweza kutatua tatizo na kurejesha huduma ya maji safi na salama kwa wananchi. Pia ahadi ya barabara ya lami iliyoahidiwa ktk ilani ya CCM ya mwaka 2015 imeshindikana maana serikali haijaanza Ujenzi wa kipande chochote cha barabara ya lami huko Utete.

Huduma za afya Ikwiriri kama X-Ray na vifaa-tiba muhimu hakuna, watoto hutozwa gharama za matibabu pia gari la kubeba wagonjwa kwa Ambulance aina la Land Cruiser limesimama kutokana na kuwepo gereji huko Utete kwa muda mrefu.

Hivyo mh. Rais akaagiza gari la mkurugezi wa wilaya kuanza mara moja kutoa huduma ya kubeba wagonjwa kama ambulance mpaka hapo gari maalum la ambulance litakapofanyiwa matengenezo ili liliweze kurejea kutoa huduma. Hivyo mkurugenzi wa wilaya ametakiwa kutafuta usafiri mwingine au kutembea kwa miguu ili kwenda kutekeleza kazi zake.

Rais Magufuli aamrisha wananchi kwenda kujisaidia kwa mkurugenzi na DC

Rais Magufuli awataka wananchi kutolipa ushuru wa soko maana hakuna huduma muhimu za usafi kama huduma za choo na maji, badala yake wakatumie vyoo vya mkurugezi wa wilaya DED na DC mpaka choo cha umma kwa ajili ya wananchi kitapojengwa.

 
Kiukweli bila kupepesa macho maendeleo ya watu sifuri kabisa maendeleo ya vitu kidoogo tunaenda sie watu wa chini tunahitaji sana maendeleo yetu km watu yaan uhakika wa milo 3,niweze kumudu garama za matibabu niwe na makazi ya uhakika nk but asa ivi balaa hali ngumu mno kuliko wakati wowote nilioshuhudia kwa umri wangu,..,HAKUNA POLITICIAN MSAFI..KIAMA KIKIFIKA FIRST KUINGIA JEHANAM NI IBILISI MWENYEWE na WA PILI NI MWANASIASA hakika
 
sasa ulitaka watu wajae mifukoni vipi ila heavy investments? are you ok mentally
 

thats not the government work, uwe maskini uwe tajiri haihusiani na serikali bali jitihada zako katika kutumia miundo mbinu iliowekwa
 

Pamoja na makada wa CCM Mpya kujazwa kila mkoa ktk ngazi zote kuanzia Mkuu wa Mkoa- RC, Mkuu wa Wilaya -DC, Mkurugenzi wa wilaya -DED, Mwenyekiti wa Halmashauri, Makatibu / Wenyeviti wa Mikoa wa CCM, viongozi wa serikali za vijiji na Mitaa lakini kuna matatizo makubwa ya kiuongozi kwa CCM Mpya upande wa Maendeleo ya Watu.

Fedha za Halmashauri zinakusanywa na kupelekea kwanza makao makuu ya Serikali Kuu idara ya Hazina Dar es Salaam au Dodoma halafu hazirudi kwa wakati maeneo husika na hivyo kukwamisha Maendeleo ya Watu ktk maeneo husika kufuatana na mahitaji yao au vipaumbele vya maeneo ya wananchi wanapoishi.

Hela yote kwanza inapelekwa ktk miradi ya Maendeleo ya Vitu madaraja ya baharini, flyovers DSM, Stendi za Mabasi mithili ya airport, bombardier Dreamliner n.k ambavyo hayawagusi wakazi wa Ikwiriri, Masasi , Kasulu , Songwe au Momba na sehemu nyingi za nchi hii kubwa ya Tanzania.
 
31 Julai 2020

BAADA YA SIMU YA MAGUFULI, JAFO ATINGA MAENEO YENYE KERO


Selemani Jafo waziri wa Ofisi ya Rais - Serikali ya Mitaa na Tawala za Mikoa TAMISEMI mara baada ya swala ya Eid ul Adha ( ya kuadimisha sikukuu Idd el Haj ya mwezi kumi toka mwandamo wa mwezi , aenda moja kwa moja kazini

afika kukagua miradi ambayo wananchi walibaini ni yenye kero na kumuambia Mh. Rais John Magufuli. Miradi hiyo ipo maeneo ya Vikindu, Kisiju, Mkamba, Mkuranga, Ikwiriri Utete, Nangulukuru, Kilwa Masoko..

Source : Huwa TV
 
Julai 2020
Utete, Rufiji

Wananchi wa Utete walia kuhusu Mradi wa Mwalimu Nyerere
Walioajiriwa wengi ni watu wa kutoka kanda ya Ziwa, watu wa Human Resources HR wote ni kanda ya Ziwa kinyume na ilani ya CCM Mpya kuwa watu wanaoishi ktk maeneo ya miradi nao wafaidike na uwepo wa miradi hiyo
Matangazo ya kazi, fursa na interview yamefanyika Rufiji ofisi ya DC lakini wanaopata kazi ni watu wasioishi karibu na mradi wa Umeme wa Stiegler's Gorge amebainisha mwana CCM wa Utete Rufiji.
Source : Ngwenje TV
 
CCM itashinda kwa kishindo hilo halina mjadala!
Uko sahihi kabisa kwa nguvu za vyombo vya dola na HOJA YA NGUVU, lakini kama ni kupitia majukwaa ya siasa na ushawishi na NGUVU YA HOJA, mmhh sina uhakika sana na kauli yako!
 
Hoja yako hapo Mimi niliokuelewa ni kwamba masikini wamezoea shida.na huo ndio mtaji wenu
 
tume ii ya uchaguzi ndo imewatangaza wabunge zaidi ya 40 wa upinzani walipo shinda uchaguzi 2015.
ni tume huru na wala aingiliwi wala aipangiwi.anaeshinda anatangazwa.
kwaiyo acheni kujihami kwa uongo na uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia majimbo ya upinzani utakuta walitangazwa baada ya kutokea fujo,au wapinzani kutolala masaa24 kuhofia wizi wa kura,angalia majimbo kama tanga mjini,kibamba,
Majimbo kama kigamboni ccm hawakushinda walitumia ujanja kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…