Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Option iliyopo si kuleta zetu tu. Kuna utafiti huru au hata wa kutumia wataalamu wengine.

W A S I L I S H A huo utafiti wako,, hadi sasa report zipo mbili... na zote inaonekana zina ukakasi...
 
Mkuu una uhakika na uchoongea ?, Kumbuka hao wanaongea forage (yaani nutritious forage yenye) na hio kwa wewe unayewalisha its to your advantage kuwapa as less as possible...

Sasa kama wanakula makapi (garbage in garbage out) huenda ikahitajika content nyinzi zaidi ya makapi ili kupata nutrient ile ile...., Sasa tukija kwenye how much kgs can an average cow excrete ?, Ngoja ni-contact google kama ulivyofanya...., na hapo utaona figure iliyotolewa sio ya ajabu...,



Kwamba nina uhakika?

Utakuwa umeshindwa kunielewa mkuu.

Iko hivi kwamba ripoti ya profesa imekuwa na ukakasi kwa wengi? Mbona ni jambo la kawaida kwani yeye ni mwana muziki?

IMG_20220321_144950_804.jpg


Si ndiyo msingi wa kuitisha wabobevu wengine kama inavyosomeka hapo juu ili kujiridhisha?

Kwamba hata tuna uhakika sisi kama sisi dhidi ya profesa mwenye resources lukuki at his disposal kama tulivyozitambua?

IMG_20220321_145925_887.jpg


Kwani wewe unaona kuna taabu kuhitaji ufafanuzi wake, wa wengine au uchunguzi huru ikiwezekana?

Hii nchi si ni yetu sote?

Gombe nililoliongelea miye lina 450kg sijui la kwako lina kilo ngapi au kwa wastani magombe ya kitanzania yana kilo ngapi?

Huoni huku ulikoelekea hadi kunitaka kuthibitisha uhakika wangu ki hivi, ni kuwa tunapotea njia labda kama wewe ni mdau muhimu kwenye ripoti hii?

Bila kusahau hawa ng'ombe wa profesa wanajisaidia mtoni tu?

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
 
W A S I L I S H A huo utafiti wako,, hadi sasa report zipo mbili... na zote inaonekana zina ukakasi...

Mkuu hutaki hata ufafanuzi wa profesa Manyele, wabobevu wengine wala uchunguzi ulio huru kujiridhisha bali niweke wangu mezani tu, hata kama mimi ni boda boda?

Kwa ubaya gani huo mkuu wangu?

Chini ni comments zangu mbili zenye mapendekezo kama ikikupendeza:

IMG_20220321_144950_804.jpg


IMG_20220321_145925_887.jpg
 
Hii ripoti hata Mimi wa darasa la 3B naiona imechangamshwa yaani ng'ombe anye mpaka maji yageuke sumu yaue samaki[emoji3][emoji3] acha waendelee kuwabeba wawekezaji kwa uongo kwenye maisha ya watu
Na mi kila mara najiuliza ina maana hao ng'ombe walikuwa milioni ngapi au laki ngapi. Wanye na kukojoa kilo gram billion zile zote?

Profesa at work
 
Na mi kila mara najiuliza ina maana hao ng'ombe walikuwa milioni ngapi au laki ngapi. Wanye na kukojoa kilo gram billion zile zote?

Profesa at work

Tena kwenye mto mkubwa unaotembea. Kina 9 - 12m upana 80 - 100m.
 
Hao wao wanaweka kinyesi kiasi gani lorry zima kwenye ukubwa wa Bwawa la Wastani ?

Kumbuka samaki wanachokula ni algae, kinyesi ni mbolea ya hao algae..., ukiweka kingi kupita kiasi na algae waka-bloom kuliko consumption wakati hakuna photosynthesis na algae wana-consume oxygen hivyo kinachopelekea ni less dissolved oxygen hapo ukiamka asubuhi unakuta samaki wote matumbo juu Also Known As Belly - Up, AKA Dead....

Usisahau pia mto Mara si bwawa. Bali mto mkubwa unaotembea. Kina 9 - 12m upana 80 - 100m.

Zingatia pia hatuna kwenye historia na mto mwingine nchini kwa kadhia hii na ng'ombe wanajua na kujisaidia humo.
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Atakuwa angalipo kwenye hiyo department kwenye ambayo sasa ni shule ya Uhandisi Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Hatari sana
Screenshot_20220321-163652_Facebook.jpg
 
Hao wao wanaweka kinyesi kiasi gani lorry zima kwenye ukubwa wa Bwawa la Wastani ?

Kumbuka samaki wanachokula ni algae, kinyesi ni mbolea ya hao algae..., ukiweka kingi kupita kiasi na algae waka-bloom kuliko consumption wakati hakuna photosynthesis na algae wana-consume oxygen hivyo kinachopelekea ni less dissolved oxygen hapo ukiamka asubuhi unakuta samaki wote matumbo juu Also Known As Belly - Up, AKA Dead....
Umezungumza kisayansi na hivo ni muhimu watu wakaeleweshwa kisayansi inavyotokea. Hapa umesema wingi wa kinyesi kulinganisha na eneo. Still kuna facts ambazo zinatakiwa kujibiwa. Why has it happened so abruptly? Pengine wanyama waliongezeka kwa ghafla au kunaweza kukawa na sumu nyingine. Hivi ndivo wadau wanajaribu tu kudodosa maana hapo awali palikuwa na ripoti ya maprofesa kuhusu makenikia ambayo hadi sasa inatia shaka. Only that.
Kuhusu ufugaji wa samaki ni kweli maana kinyesi huwekwa kwenye viroba na kutumbukizwa bwawani kisha inapooza ndipo huzalisha wadudu ambao ni chakula cha samaki.
 
Umezungumza kisayansi na hivo ni muhimu watu wakaeleweshwa kisayansi inavyotokea. Hapa umesema wingi wa kinyesi kulinganisha na eneo. Still kuna facts ambazo zinatakiwa kujibiwa. Why has it happened so abruptly?
Kabla hatujafika mbali kumbuka mimi sikubaliani na matokeo ya hio report
Tangia mwanzo naweka sawa mambo yafuatayo (kwamba ni kweli ngombe anaweza kutoa hicho kinyesi na pili accumulation ya mbolea kwenye maji ni tatizo) siongelei specific Mara bali naongelea uwezekano; Kwahio Prof apingwe kwa uchunguzi wake sehemu husika na sio kupinga facts ambazo zinaweza kutokea ingawa huenda hazikutokea sehemu husika
Pengine wanyama waliongezeka kwa ghafla au kunaweza kukawa na sumu nyingine.
Naam na mimi hii report ilivyokuja ndio swali nililouliza ila watu wakaanza kupinga sijui iweje kinyesi kikawa sumu n.k. Hapo ndio maana nikasema tukiachana na Professor accumulation ya Mbolea ni Uchafuzi wa mazingira na sio kwenye maji tu bali hata global warming
Hivi ndivo wadau wanajaribu tu kudodosa maana hapo awali palikuwa na ripoti ya maprofesa kuhusu makenikia ambayo hadi sasa inatia shaka. Only that.
Naam na mimi nina shaka na hii report ukizingatia tabia ya watu kula kwa urefu wa kamba zao
Kuhusu ufugaji wa samaki ni kweli maana kinyesi huwekwa kwenye viroba na kutumbukizwa bwawani kisha inapooza ndipo huzalisha wadudu ambao ni chakula cha samaki.
Naam ufugaji wanaweka kiasi kidogo ili algae wazaane kwa kiwango ambacho samaki (tilapia / sato) aweze kula hence

Tena a step above ni kutumia aquaculture unaweza ukatumia maji yale machafu ya samaki ukapelekea kwenye mimea ili kutumia ile mbolea Nitrogen hapo utakuwa umefanya kazi nzuri sana kwa kuokoa mazingira kuliko kuacha hizo mbolea ziendelee ku-accumulate
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Atakuwa angalipo kwenye hiyo department kwenye ambayo sasa ni shule ya Uhandisi Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Mkuu inategemea bei, ukifika bei basi kila.kitu tz kinawezekana
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Atakuwa angalipo kwenye hiyo department kwenye ambayo sasa ni shule ya Uhandisi Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Refer Musukuma bungeni ndipo utajua maprof. wetu wakoje
 
Hata huyu waziri jafo ambaye amepata PhD alikuwa anaongea bungeni jana naye awajibike.

Yes, jafo aliisoma ripoti kabla haijasambaa, mbona asiwarudishe mapema.

Sasa wanaunda tume nyingine, hizo ni hela wanazotukata na kodi zetu.

Huku mtanzania akinunua mafuta ya kupikia shilingi mia nane kijiko kimoja.

Naona sasa jeshi likamate inji, potelea mbali liwalo na liwe.
 
Back
Top Bottom