Unafiki na unaa,hauna manufaa kwa taifa letuUnaweza kukuta kajitu kamefaidika na ufisadi, kamesomeshwa na hela za ufisadi, kanalala kwenye nyumba ya baba yake inayotokana na ......na vitenda vya mzee kuuzia jeshi viatu akiwa waziri wa ulinzi.
Mwambie baba azirudishe, Lakairo hotel pale mwanza mwambie baba auze arudishe hela ya umma, hapo utakuwa safi kufanya ukosoaji
Lameck Airo ni alikuwa mbunge wa Rorya, makampuni yake familia ya Maria wana hisa kubwa, na ilikuwa tenda moja tu ya viatu vya jeshi
Mi ninavyojua Lameck airo alikuwa mvuvi, na alikuwa na kundi lake likipola samaki na nyavu ndani ya ziwa Victoria. hivyo utajiri wa Lameck airo umetokana na uvuvi, sio Kama mleta mada unavyotaka kutuaminisha!! Kina airo na akina Kitana, hawa ni wazee wa gwasuma ndani ya Victoria.Unaweza kukuta kajitu kamefaidika na ufisadi, kamesomeshwa na hela za ufisadi, kanalala kwenye nyumba ya baba yake inayotokana na ......na vitenda vya mzee kuuzia jeshi viatu akiwa waziri wa ulinzi.
Mwambie baba azirudishe, Lakairo hotel pale mwanza mwambie baba auze arudishe hela ya umma, hapo utakuwa safi kufanya ukosoaji
Lameck Airo ni alikuwa mbunge wa Rorya, makampuni yake familia ya Maria wana hisa kubwa, na ilikuwa tenda moja tu ya viatu vya jeshi
Pumbavu mkubwa wewe laiyoniMaria Sarungi ana matatizo ya saikolojia ya akili. Furaha yake ni kuona vita.
Ndio maana akiona hakuna cha maana serikalini, yuko tayari kuingilia vita hata ya PANZI ilimradi afurahi.
Yuko tayari kuitafuta vita hata huko Nigeria ilimradi aenjoi tu.