Prof Shivji: Katiba mpya siyo mwarobaini wa matatizo ya watanzania

Prof Shivji: Katiba mpya siyo mwarobaini wa matatizo ya watanzania

Kinuju

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
2,386
Reaction score
5,325
Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.

Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.

20210703_120414.jpg
 
Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania.
Prof Shivji amesema wanapenda madaraka na siyo siasa safi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690

nadhan kimeeleweka!
 
Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania.
Prof Shivji amesema wanapenda madaraka na siyo siasa safi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690


Asante professor
 
Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania.
Prof Shivji amesema wanapenda madaraka na siyo siasa safi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690

chadema wataelewa tu sasa maana kila mtu waliyemtegemea atawageuka wanaonekana hawana subira

Asante professor
Hayo ni maoni yake (mtazamo wake) haina maana kuwa ndio ukweli. Halafu sijajua ameshauri badala ya kudai katiba mpya tufanye nini.

Mleta mada nadhani hiyo habari imeandikuwa kiundani zaidi hebu ilete hapa yote tusome mapendekezo yake labda tunaweza kumjua huyu ni professor au propessor.
 
Hayo ni maoni yake (mtazamo wake) haina maana kuwa ndio ukweli. Halafu sijajua ameshauri badala ya kudai katiba mpya tufanye nini.

Mleta mada nadhani hiyo habari imeandikuwa kiundani zaidi hebu ilete hapa yote tusome mapendekezo yake labda tunaweza kumjua huyu ni professor au propessor.


Na hayo hapo ni maoni yako na mtazamo wako binafsi pia...... kama ilivyo kwa Shivji na wengine
 
Matakwa ya watu yanawezaje kuheshimiwa ikiwa takwa la katiba mpya hamliheshimu? Hivi nyinyi mataga mbona huwa akili zenu mnapenda kushikiwa?
Wewe machaga, matakwa ya watu huwa yanaheshimiwa kwa shinikizo la watu kwa umoja wao.

Marekani wana katiba bora sana, mbona kuna mambo kufanyika mpaka waandamane. South Afruca ni vile vile na Kenya.

Hivi mnafikiri katiba inashika bunduki na kutishia watu wafuate matakwa ya watu?

Haya COVID-19 wako bungeni kinyume na katiba hii hii mbovu, mmefanya nini ?

Kila mtu anataka vitu vizuri akiwa amekaa amekunja nne, anakunywa wine.

Haya, Hata hiyo katiba mpya ikiwa unavyotaka, ikivunjwa makusudi mtafanyaje ?
 
Back
Top Bottom