Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
- Thread starter
- #41
Kama wewe ulivyo kibaraka wa tutashitakiwa MIGAHuyu niliwaji pendekeza anyang'anywe PhD na afutwe uprofesa baada ya kuyakana maandiko, machapisho na mafundisho yake ya muundo sahihi wa muungano wa serekali tatu.
Hata hivyo huyu ni kibaraka wa watawala kama kabudi
Mbona wakati ule alimsifu JK kwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya