imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Itatuletea Viongozi waadilifu waliochaguliwa kihalali na WananchiTume huru ni nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itatuletea Viongozi waadilifu waliochaguliwa kihalali na WananchiTume huru ni nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.
nyie ni mbuzi tu nani kawaambia kila mtu anataka hiyo mikalatasi ya katiba ? usitusemee wote kila mtu anamaoni yake sema wewe pekeyako unataka siyo kila mtu umsemee punda weweMatakwa ya watu yanawezaje kuheshimiwa ikiwa takwa la katiba mpya hamliheshimu? Hivi nyinyi mataga mbona huwa akili zenu mnapenda kushikiwa?
Wewe machaga, matakwa ya watu huwa yanaheshimiwa kwa shinikizo la watu kwa umoja wao.
Marekani wana katiba bora sana, mbona kuna mambo kufanyika mpaka waandamane. South Afruca ni vile vile na Kenya.
Hivi mnafikiri katiba inashika bunduki na kutishia watu wafuate matakwa ya watu?
Haya COVID-19 wako bungeni kinyume na katiba hii hii mbovu, mmefanya nini ?
Kila mtu anataka vitu vizuri akiwa amekaa amekunja nne, anakunywa wine.
Hata hiyo katiba ikiwa unavyotaka, ikivunjwa makusudi mtafanyaje ?
Andamana kama huwezi usidhani wataacha kuiba.Yaani waheshimu kwa kuiba kura na kutangaza ambao hawakuchaguliwa na wananchi?
Huyu niliwahi pendekeza anyang'anywe PhD na afutwe uprofesa baada ya kuyakana maandiko, machapisho na mafundisho yake ya muundo sahihi wa muungano wa serekali tatu.Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
hmana mvuto kwa watu nanani awachague sasa kazi yenu ni matusi mnatuona na sisi niwajinga wenzenu siyo?Itatuletea Viongozi waadilifu waliochaguliwa kihalali na Wananchi
uchu wa madarakaNatamani CDM waelewe hili. Tatizo hawatoelewa kwa sababu wana sababu zao mbali za kukomalia hoja hii
Kwamba itazuia kuvunjwa ?Itatuletea Viongozi waadilifu waliochaguliwa kihalali na Wananchi
Hawa Chadema agenda yao imegundulika.Prof Yuko sahihi katiba haiwezi kumaliza umaskini simply kwa kuwa tu na katiba, wanasiasa wanaililia kisa madaraka Yao.
1. Kwa upande wangu, Katiba Mpya (hasa ile iliyopendekezwa na tume ya Warioba) ni msingi wa kuyatafutia ufumbuzi matatizo ya Watanzania kwa sababu imeweka misingi mizuri na thabiti ya uongozi wa nchi na uwajibikaji wa viongozi wengine wa umma kwa wananchi. mfano, mbunge asipoweza ku'perform' wananchi wana haki na nguvu ya kumwondoa na kumchagua mwingine anaye'perform'.Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania.
Prof Shivji amesema wanapenda madaraka na siyo siasa safi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Msomi angetoa takwimu. Kuwa katiba mpya ituondolea matatizo na changamoto kwa % kama 75, 80....Katiba Mpya itatupa Tume HURU ya Uchaguzi japokuwa sio Mwarobaini wa matatizo yetu ila itayapunguza kwa kiasi kikibwa.
Sasa mbona Musukuma pia mnamtukana??? Nyinyi ni kutukana tu kama wehu vileKatiba siyo lazima iwe mwarobaini ambao inasemekana unatibu magonjwa arobaini.
Katiba hata ikiwa panadol inatosha kabisa kutuondolea headache!
Professa amechemsha. Wasomi wetu hovyo sana. Wao ndiyo chanzo cha matatizo tuliyonayo kama Taifa. Hawana msaada zaidi ya maji gambol na Matumbo yao tuu.
Huo ndio ukweli ambao wapuuzi wamebishana sana juzi kati! Ishu ni kwamba jamaa wanataka uchochoro wa kuingilia ikulu ila wakipata hio chance mna uhakika gani hawatabadili katiba na kujiwekea vifungu vya upendeleo ili wabaki kuchuma mali kupitia madaraka!Prof Yuko sahihi katiba haiwezi kumaliza umaskini simply kwa kuwa tu na katiba, wanasiasa wanaililia kisa madaraka Yao.
Tume huru itatuletea watawala wapya......Tume huru nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.