Prof Shivji: Katiba mpya siyo mwarobaini wa matatizo ya watanzania

Prof Shivji: Katiba mpya siyo mwarobaini wa matatizo ya watanzania

Professorial rubbish.

Kwa hiyo jirani yako akimeza dawa kisha zikashindwa kumsaidia akafa,wewe unaacha kumeza dawa hizo ukiugua?


SA na Kenya ni nchi tofauti kabisa na Tanzania.
 
Katiba Mpya itatupa Tume HURU ya Uchaguzi japokuwa sio Mwarobaini wa matatizo yetu ila itayapunguza kwa kiasi kikibwa.

Kama unataka tume huru tu wala hakuna haja ya katiba mpya hii hii tunabadili vifungu vichache
 
Nimekuuliza maswali unaniletea ngonjera. Eti nirudi kwenye rasimu, what is rasimu?? Si ni mikaratasi tu!

Taja hizo nchi zenye katiba nzuri na zinafanya vizuri
Umeshaamua kutoelewa na hata ukielezwa huwezi kuelewa.
 
Back
Top Bottom