Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Sasa hayo matakwa ya watu yanapatikana wapi?Tume huru nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hayo matakwa ya watu yanapatikana wapi?Tume huru nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.
“HAPO NDIPO TUNAPOTAKA WOTE...” wote na nani?KILA KITAFUTWACHO KINA FAIDA. ANAYEKIPATA AWE NA SIFA NA IWE NI HALALI NA HAKI. KILA CHAMA CHA SIASA LENGO NI MADARAKA HATA CCM. SASA KWA KUWA WOTE HUTAKA NA WANAHAKI SAWA. APATAYE KWA KUWASHINDA WENGINE IWE NI KWA UHALALI NA HAKI INAYOONEKANA. WASHINDWAWO WAMSHIKE MKONO NA KUMPONGEZA ALIYESHINDA. HAPO NDIPO TUNAPOTAKA WOTE. NA NJIA NI KUPATA KATIBA MPYA AU KUREKEBISHA KATIBA ILIYOPO
Katiba na uwoga wapi na wapiMsomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Ni mwarobaini usiwasikilize Lumumba buku saba wanapotosha wajinga South au Kenye tunaweza kufafikia kwa loloteKatiba Mpya itatupa Tume HURU ya Uchaguzi japokuwa sio Mwarobaini wa matatizo yetu ila itayapunguza kwa kiasi kikibwa.
Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Kaongea mtaalamu nilikuwa nashinnda library kusoma kitabu chake kinaitwa Constitutional and legal system of Tanzania,respect kwa Prof. Shivj. Pia hiyo Saccos ikumbuke uhuru wa kutoa maoni una mipaka yake kupitia kipengele namba 30 cha katiba yetu tunawaangalia tu wanavyowachokoza wahusika.
Wewe machaga, matakwa ya watu huwa yanaheshimiwa kwa shinikizo la watu kwa umoja wao.
Marekani wana katiba bora sana, mbona kuna mambo kufanyika mpaka waandamane. South Afruca ni vile vile na Kenya.
Hivi mnafikiri katiba inashika bunduki na kutishia watu wafuate matakwa ya watu?
Haya COVID-19 wako bungeni kinyume na katiba hii hii mbovu, mmefanya nini ?
Kila mtu anataka vitu vizuri akiwa amekaa amekunja nne, anakunywa wine.
Haya, Hata hiyo katiba mpya ikiwa unavyotaka, ikivunjwa makusudi mtafanyaje ?
Machadema yataanza kumchukia Shivji ingawa yalikuwa yanamsifia kabla, ha ha ha. Haya majitu hayajielewi.
Na hayo hapo ni maoni yako na mtazamo wako binafsi pia...... kama ilivyo kwa Shivji na wengine
Prof Yuko sahihi katiba haiwezi kumaliza umaskini simply kwa kuwa tu na katiba, wanasiasa wanaililia kisa madaraka Yao.
Mahakama ikiwa huru hutaona huo utpolo inamaana kesi zitaamukiwa kwa hakiTume huru ni nini na inatatuaje matatizo ya watanzania?
Muhimu watawala waheshimu matakwa ya watu.
Hakuna katiba ya nchi yoyote duniani ambayo ni mwarobaini wa matatizo yote katika nchi. Yaani katiba iwe mwarobaini wa matatizo ya ndoa, ulevi, wanaume kulala nje ya ndoa, ukabaji, ajali za barabarani na majini nk. Tunataka katiba ambayo itaweka misingi ya kutatua matatizo makubwa, kuwajibisha wanaokiuka wajibu wao nk.Msomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Kwa hiyo, unataka kusema nchi ikiwa na katiba mbaya ndiyo inayofanya vizuri? Soma Katiba Inayopendekezwa (na Tume ya Warioba) utaona imetoa mwongozo gani kwa wabunge wasio 'perform'.Ni kipimo gani kitakachotumika kujua kama mbunge ana-perform au laa?? Ni nani atakuwa mpimaji wa hiyo performance?
Hebu taja wewe nchi hizo zenye katiba nzuri na zinafanya vizuri tuzione
UchawaMsomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Hivi hiki kigazeti cha kishoga bado kipo? Bila ruzuku kingejifia maana hakuna mwenye akili timamu anaweza kununua huo ushuzi. Kodi zetu zinatumika kiboya sanaMsomi nguli wa Tanzania Prof Issa Shivji amelichambua dai la katiba mpya na kusema halina tija wala si mwarobaini wa matatizo yanayowakumba watanzania kwa sasa.
Prof Shivji amesema wanasiasa wanapenda madaraka na siyo siasa safi na kuwatumikia wananchi, ametolea mfano kwa vita ya madaraka inayoendelea nchini Kenya na Afrika Kusini licha ya kubadili katiba mara kwa mara.View attachment 1838690
Halafu haya ni maelezo ya mleta thread. Nina uhakika profesa alizungumzia hili jambo kwa muktadha mwingine lakini hawa wakageuza. Hawa wengi wao ni wachumia tumbo wanaonufaika na mfumo huu wa kubebana na wanajua mambo yakibadilika hawawezi kupata tena vya bure.Source ya habari ni jamvi la habari!
Ndio, tena sana tu....Una akili wewe kweli?