Wewe machaga, matakwa ya watu huwa yanaheshimiwa kwa shinikizo la watu kwa umoja wao.
Marekani wana katiba bora sana, mbona kuna mambo kufanyika mpaka waandamane. South Afruca ni vile vile na Kenya.
Hivi mnafikiri katiba inashika bunduki na kutishia watu wafuate matakwa ya watu?
Haya COVID-19 wako bungeni kinyume na katiba hii hii mbovu, mmefanya nini ?
Kila mtu anataka vitu vizuri akiwa amekaa amekunja nne, anakunywa wine.
Haya, Hata hiyo katiba mpya ikiwa unavyotaka, ikivunjwa makusudi mtafanyaje ?