Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?


It may define the legacy of this time...tuendelee kuushabikia wakati kelele zinavuma kila siku
 
"" Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".
By Jeff's O'Brien.
 
Samia ana kiburi kuliko Magufuli.

Halafu watu hawajajua bado.
 
Samia ana kiburi kuliko Magufuli.

Halafu watu hawajajua bado.
Mkuu umekwenda mbali sana. Magufuli hana mfano wake kwa kiburi. Naamini Samia atabadili baadhi ya vipengele kwa kushauriana na watu wa Dubai.

Kinyume cha hapo naye akitoka madarakani, watu watapindua maamuzi yake kama yeye alivyopindua ya mwendazake
 
njia ni moja tu kama Prof wa ukweli wa sheria alivyosema , tuwashinikize wabunge wetu warudi ku revoke huo mkataba wa kilaghai.
Bunge wameahirisha jana hadi August 21, je tutawashinikiza vipi?
 
Ujitoe na Nani we boya. Wananchi kupitia Bunge tumeridhia kila sentensi kwenye mkataba. Asanteni Waheshimiwa Wabunge Kwa umoja wenu
Boya ni mama yako malaya aliyekuzaa bila kujuwa baba yako halisi. Ukaishia kukariri matusi tu maana ndiyo lugha anayoongea malaya
 
Hivi hii mikataba Huwa inaandaliwa na mwekezaji then mbinafsishaji ndio anapewa ausome akubaliane nao au akatae au Huwa inaandaliwa na pande zote mbili kwa pamoja au mbinafsishaji ndiye Huwa anaandaa mkataba then mwekezaji anapewa ausome then akubaliane nao au akatae? Tuanzie hapa kwanza
 
Tuliza mshono. Kila kitu tayari hizo kelele zako kapigie chooni
 
Boya ni mama yako malaya aliyekuzaa bila kujuwa baba yako halisi. Ukaishia kukariri matusi tu maana ndiyo lugha anayoongea malaya
Kila kitu tayari haya maandamano yenu uchwara yamefikia wapi?
 
kikwete ni jizi, fisadi, dalali wa rasilimali zetu, mtu asiefaa kwa lolote!

alianza akiwa waziri wa madini
Ah, ngoja tuwapuuze tu maana hayo matatizo yenu ya makalio mliyonayo dhidi ya jk yanatuchosha sasa!
 
Tena alisema apewe tuu Bandari
 
Mkuu umekwenda mbali sana. Magufuli hana mfano wake kwa kiburi. Naamini Samia atabadili baadhi ya vipengele kwa kushauriana na watu wa Dubai.

Kinyume cha hapo naye akitoka madarakani, watu watapindua maamuzi yake kama yeye alivyopindua ya mwendazake
Unathibitisha maneno yangu kwamba "halafu watu hawajajua bado".
 
Kumbe nchi hii ina watu wenye akili kiasi na hawapo kwenye mfumo!!!

Cha ajabu watampuza
 
Yaani unawaita washauri wa Rais kuwa ni chawa ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]

Umevuka mipaka.....

#SiempreJMT[emoji120]
Kama waliona akina mwijaku,kitenge,na wengine ndio wana ushawishi basi wamemfelisha pakubwa sana
 
Hilo swali hata mimi nimejiuliza.
 
Ufanisi mbovu ni zao la kukosa uwajibikaji na kiongozi mkuu wa nchi hana nia ya kuwawajibisha wale wanao kiuka.
 
Ukuwadi ni mbaya sana hasa ukiwa kuwadi wa maliasili za taifa lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…