johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Prof Issa Shivji anesema hana Imani na vyama vya Upinzani Kwa sababu siyo mbadala wa CCM na havina Uwezo wala morali wa kuitoa CCM Madarakani
Naye Generali Ulimwengu amemuunga mkono Kwa kusema Chadema Wenyewe Mfumo wa uumbwaji Wao ni kama rafiki zao wa RENAMO n Conservative Cha UK
Chanzo: Chanzo tv
Ngoja nitafiti RENAMO iliasisiwa na nani na Kwa malengo gani 😄
Naye Generali Ulimwengu amemuunga mkono Kwa kusema Chadema Wenyewe Mfumo wa uumbwaji Wao ni kama rafiki zao wa RENAMO n Conservative Cha UK
Chanzo: Chanzo tv
Ngoja nitafiti RENAMO iliasisiwa na nani na Kwa malengo gani 😄

