hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
She is coming !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa viongozi wenye ngozi nyeusi hilo aliweza rais wa awamu ya pili Tz na Chongolo tu😄😄Aache porojo
Angejiuzulu kama mtaalam😂
Hajapinga Bali kaomba ushahidi Naongeza uwe ushahidi admissible and relevant.Kashasema alikataa, wewe unaesema hakukataa ndio uthibitishe kwamba hakukataa ila yeye mwenyewe amesema alikataa.
Mwenzio ni mtaalam wa uchumi mipango miji Iko huko na alihudumu kama mkurugenzi wa UN habitatMtaalam wa mipango miji ####£&
Mipango miji gani mmeshafanya
Kuhusu jangwani hilo eneo lote
Linafamika kama hazardous area
Kwanini wataalam sijui wasomi walienda jenga hapo?
Kwanini serikali iliwachilia pia watu wajenge maeneo hayo?
Nchi hii ngumu sana
Ova
Mi hua naamini kabisa nchi inaweza kwenda bila rais pale juu mfano ni awamu ya nneWote tunajua, Kikwete akiwa rais akitoa sahihi ujenji wa barabara Morocco alisema anashangaa udart wamejenga Jangwani. Kama rais mwenye mamlaka anasema anashangaa unategemea Nini.
Kuna umuhimu wa kuwafungulia mashtaka viongozi wote wanaokiri kufanya makosa yanayoligharimu taifa. Kama maamuzi yalikuwa ya Rais kwa nini aliyekuwa Rais awamu ya nne na Serekali yake na viongozi wakuu wa chama chake wasifikishwe mahakamani?Prof. Anna Tibaijuka amesema wakati akiwa Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hakutoa Kibali cha Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi katika eneo hilo lakini ulifanyika kwa maamuzi yasiyo sahihi
Tibaijuka amesema "Jangwani haina kibali changu kuwa pale. Mimi nilikataa lakini sikuwa na madaraka kuzuia na hivyo pakajengwa, nilikataa kabisa Serikali yote inajua. Nilisema mimi kama mtaalamu wa Mipango Miji hamuwezi kuweka Kituo cha Mabasi kwenye eneo la Bwawa. Pale panajulikana ni Bwawa patafurika"
Ameongeza kuwa suala Upangaji Miji ni uamuzi wa Rais si Utaalamu, ujenzi wa eneo la Jangwani ulikuwa na mvutano kwasababu hakukuwa na Utashi wa Kisiasa (Political Will) ambapo kama pangetolewa uamuzi wa juu pasingejengwa Kituo cha Mabasi.
Lakini wewe mama, huwa una tatizo kama si dalili ya roho mbaya. Jiangalie sanaLete evidence kwamba ulikataa
Hawa rais wa Tz ni majanga!Prof. Anna Tibaijuka amesema wakati akiwa Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, hakutoa Kibali cha Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Yaendayo Kasi katika eneo hilo lakini ulifanyika kwa maamuzi yasiyo sahihi
Tibaijuka amesema "Jangwani haina kibali changu kuwa pale. Mimi nilikataa lakini sikuwa na madaraka kuzuia na hivyo pakajengwa, nilikataa kabisa Serikali yote inajua. Nilisema mimi kama mtaalamu wa Mipango Miji hamuwezi kuweka Kituo cha Mabasi kwenye eneo la Bwawa. Pale panajulikana ni Bwawa patafurika"
Ameongeza kuwa suala Upangaji Miji ni uamuzi wa Rais si Utaalamu, ujenzi wa eneo la Jangwani ulikuwa na mvutano kwasababu hakukuwa na Utashi wa Kisiasa (Political Will) ambapo kama pangetolewa uamuzi wa juu pasingejengwa Kituo cha Mabasi.
Alivyo kigeugeu huyo, hata kama alitoa amri kwenye vikao vya ndani, hadharani atashangaa. Rais asiyejua kwa nini nchi ni masikini! Mchakato wa katiba je, hakuuridhia, akautolea pesa na mwishoni anamruka hadi Mwenyekiti aliyemteua mwenyewe, kuwa ana kwenda kinyume(na nini)?Wote tunajua, Kikwete akiwa rais akitoa sahihi ujenji wa barabara Morocco alisema anashangaa udart wamejenga Jangwani. Kama rais mwenye mamlaka anasema anashangaa unategemea Nini.
Kikwete alitengewa ngapi? Atapewa waziri, rais aachwe?!