Prof. Tibaijuka: Mimi nilikataa Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi kujengwa Jangwani, Sikuwa na Madaraka ya Kuzuia

Mwenzio ni mtaalam wa uchumi mipango miji Iko huko na alihudumu kama mkurugenzi wa UN habitat
 
Kuna umuhimu wa kuwafungulia mashtaka viongozi wote wanaokiri kufanya makosa yanayoligharimu taifa. Kama maamuzi yalikuwa ya Rais kwa nini aliyekuwa Rais awamu ya nne na Serekali yake na viongozi wakuu wa chama chake wasifikishwe mahakamani?
 
Hawa rais wa Tz ni majanga!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Wote tunajua, Kikwete akiwa rais akitoa sahihi ujenji wa barabara Morocco alisema anashangaa udart wamejenga Jangwani. Kama rais mwenye mamlaka anasema anashangaa unategemea Nini.
Alivyo kigeugeu huyo, hata kama alitoa amri kwenye vikao vya ndani, hadharani atashangaa. Rais asiyejua kwa nini nchi ni masikini! Mchakato wa katiba je, hakuuridhia, akautolea pesa na mwishoni anamruka hadi Mwenyekiti aliyemteua mwenyewe, kuwa ana kwenda kinyume(na nini)?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…