Yanaishiaaa humuhumu ifMkuu kumbe wewe ni mhenga ila unaleta mambo ya kidwanzi kabisa hapa JF? Kuanzia leo itabidi nikupe heshima kwa umri wako hata kama utaongea mambo yako ya ushabiki wa kipuuzi.
Dah! Majonzi tele.
Wakongwe wa ile idara wanapukutika.
Nadhani waliobaki kwa sasa ni Josephat Mbwiliza, Isaria Kimambo, Nestor Luanda, na Frederick Kaijage.
Mishambi, Tambila, Mlahagwa, na sasa Wamba...wote ni marehemu!
Pumzika kwa amani jirani!
Ahahahaaaa 🤣🤣🤣hadi TBH fchghdgbjMPWA LAZIMA WAPUNGUE AJIRAZIONGEZEKEEEEEEEEEEUSAAABYBAAAAAAA UPO
Kumbe ww jamaa mkubwa sanaa.. sema ccm wameharibu ubongo wako.R.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
R.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Hapana, soma history utafaidi! Amen, sasa nifikeje tena umri wako wakati nimeshaupita?Hakuna shida ,ndo maisha.Hata wewe Mungu akikulinda utafika tu umri wangu.Maana unaweza kufa na ngoma au corona na usifikie umri wangu.Mimi huwa sisikilizi Radio ujeruman maana wameandika humu kuwa huko ndo alikuwa anafanyia kazi.
Ulidhani mko vijana tu. Prof Ken Eswards mjamaika aliyehamia Tanzania. Amenifundisha. B comm 1985
Hongera,hivi kwani menopause ina ubaya gani?Kama nikifika menopause nikiwa na afya njema nafanya shughuli zangu,nasomesha wanangu,I cant even wait mwanangu wa wa mwisho aanze la kwanza na wa kwanza aende secondary,yaani natamani muda ukimbie .Naucheka wakati ujao..........Hapana, soma history utafaidi! Amen, sasa nifikeje tena umri wako wakati nimeshaupita?
No, rafiki you got me wrong! Sikua na maana mbaya! My apology kama ulinisoma vibayaHongera,hivi kwani menopause ina ubaya gani?Kama nikifika menopause nikiwa na afya njema nafanya shughuli zangu,nasomesha wanangu,I cant even wait mwanangu wa wa mwisho aanze la kwanza na wa kwanza aende secondary,yaani natamani muda ukimbie .Naucheka wakati ujao..........
R.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Upuuzi mtupu. Funga mdomo wako.Ungesema R.I.P tu kwa Profesa ingetosha sana na siyo kutupa hizi ' Hadithi ' na ' Mbwembwe ' zako zingine ambazo hazina ' Tija ' kwa hivi sasa.
Upuuzi mtupu. Funga mdomo wako.
Pumbavu.Dozi ' imeshapenya ' tayari. Acha ' Ushamba / Umbwiga ' tafadhali.
MUNGU ANAKUONA KHA MPAKA NIMEOATA MKOJO W AGAFLAAAAKumbe ww jamaa mkubwa sanaa.. sema ccm wameharibu ubongo wako.