Acha matusi jibu hoja!Unapata faraja au fahari gani kwa kujipaka kinyesi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha matusi jibu hoja!Unapata faraja au fahari gani kwa kujipaka kinyesi?
Neno " DHAIFU " kuondolewa rasmiAiseeeee ripoti ijayo itakuwa nzuri sana.
Hasa nyie masikini ndio mtanyooka zaidiMtanyooka tu!
C A G mstaafu anafanana na mzee PETER ODOCHIEView attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno , acheni Ku Mungufy watuHuyu Mzee ni Kati ya Watu Wenye Hekima Kubwa.
Wenye Hekima Wanaridhika na Mazingira Yoyote, na Kamwe Hawababaishwi na MALI, CHEO au SIFA.
Tajiri ungekuwa unahangaika kwenye JF humu muda wote??!!Hasa nyie masikini ndio mtanyooka zaidi
Professor roho yake nyeupeee!!!!View attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Mtanyooka tu!