SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hapa ndipo mnapoipa ahueni CCM mnaingia kwenye kanuni ya divide n rule. Tutaacha kujadili hoja iliyopo mezani tuingie kwenye udini.Toa muslim bandika garatia. 80% garatia tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo mnapoipa ahueni CCM mnaingia kwenye kanuni ya divide n rule. Tutaacha kujadili hoja iliyopo mezani tuingie kwenye udini.Toa muslim bandika garatia. 80% garatia tupu
Atakuwaje mzima wakati ni no rinda?we utakuwa sio mzima
Hakika huko CCM wengi mko hiviTulijua lazima akabidhi kwani ofisi yake hiyo? Kama anapenda akajiunge na wanasiasa uchwara kina Zitto and others!
CAG mstaafu, Prof Assad ni mtu muungwana sana hajata longolongo na ameachia ofisi kwa moyo mmoja. Mkuu amemstishia mkataba ila moyoni anaumia sana.Ukiwa na moyo mweupe na mikono safi... Hata ukiamshwa alfajiri hutahitaji maandalizi wala sababu....
Punguza jazba za kike.Erythrocyte
Tulijua lazima akabidhi kwani ofisi yake hiyo? Kama anapenda akajiunge na wanasiasa uchwara kina Zitto and others!
Tangu juzi anapost huo uharo. Anakera sana.
Tofauti na wale wa kuokotwa majalalani.Prof Assad ni moja ya maprof wachache sana walioitendea haki elimu yao.
Wewe punguza jazba za kiume mkuu!Punguza jazba za kike.
Prof anayejielew huyoView attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Weka hapa bandiko lenye matamshi ya kisiasa aliyowahi kufanya Prof Assad na ukifanya hivyo nitakuzawadia vitenge doti 50.Huyu bwana mkubwa ameendekeza siasa za Kaka Zitto Kabwe na ndizo zimempoteza, kiburi kwa watu ambao unapaswa kuwasikiliza kwani ndio wadau wa kazi yako huwa hakina maana yoyote ile. Yeye sio mhimili ni sehemu ya hiyo mihimili mitatu.
Tena mwambie inawahusu wenye akili kuweza kuchanganua mambo sio yeye bwege anayedandia kwa uropokaji.Kawe Alumni
Mada hii inahusu kukabidhi ofisi tu mkuu .
Mtanyooka tu! Leo amekabidhi ofisi sasa mpeni kazi hapo kwenye Saccos yenu!Tofauti na wale wa kuokotwa majalalani.
Nyeupe kama ya LowassaProfessor roho yake nyeupeee!!!!
Hapo kwenye kumungufy utakuwa unamzungumzia Pombe bila shaka maana ndiyo hata akipiga chafya tu mataga mnapiga makofi.Jifunzeni kuweka akiba ya maneno , acheni Ku Mungufy watu
Mnakumbuka kilichotokea baada ya kumuita lowassa mtakatifu aliye shushwa na Mungu?
Pole Prof, ila pole kubwa ije kwetu watanzania - Kapumzike umesimamia unachokiani so your free....(upo huru) .... kuwaambia ukweli na kufuata maadili ya kazi yako wanakwambia eti unajenga ka babeli kako... ha ha ha Kweli dunia ina mambo.View attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Hiyo comment kila uzi anaicopy na kupaste!!..jamaa ni mpunmbavu sana aisee sijawahi onaKawe Alumni
Mada hii inahusu kukabidhi ofisi tu mkuu .