Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

Prof Assad kaenda kukabidhi ofisi katinga Kanzu, nje kuna IST ya kumrejesha shamba alipo lima vitalu vya bamia.
How simple can a man be!
Mind you hapo kala shavu WB.
 
Sivihitaji vitenge mkuu Daudi mwana wa Yese, yapo mengi ambayo hayaandikwi jukwaani lakini watu wanayafahamu kwa kina. Masalia ya mwisho mwisho ya JK ndiyo haya yanaondolewa, upo uhusiano kati ya ZZK na hao wawili niliowataja.
akili za kitoto hizi eti yapo mengi ambayo hayaandikwi, haya sasa wewe leo yaandike tuyaone hapa na muache porojo za kusadikika.
 
Sasa tusubiri ripoti ijayo ya ukaguzi...
 
Sio kwamba eti hakuona haja ya kupiga danadana agizo la rais ni amri ya juu kabisa huwezi ukaiwekea zengwe.
 
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno , acheni Ku Mungufy watu
Mnakumbuka kilichotokea baada ya kumuita lowassa mtakatifu aliye shushwa na Mungu?
Upo nje ya Mada Mkuu.
Habari ya Lowasa inahusiana nini na habari ya Asadi ?
Aliyemwita Lowasa Mtakatifu ni nani ?
Mbona unaleta hoja tofauti na mada inayozungumziwa hapa?
Tatizo nini Mkuu.
 
Upo nje ya Mada Mkuu.
Habari ya Lowasa inahusiana nini na habari ya Asadi ?
Aliyemwita Lowasa Mtakatifu ni nani ?
Mbona unaleta hoja tofauti na mada inayozungumziwa hapa?
Tatizo nini Mkuu.
Siku zote mfano siyo neno lililopo ktk
Sentensi
 
Back
Top Bottom