Hawa MaCAG wote waungwana sana.
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
******
Prof. Assad:
"Hii ni taasisi na makabidhiano ya taasisi yanaenda kwa maandishi, kwa hiyo makabidhiano kwa maandishi yatafanyika Dodoma kwa sababu ndiyo kule makao makuu yetu yalipo"
"Kazi ya CAG ni kusaini ripoti lakini ripoti unachukua wajibu wa kazi ya watu wengi sana, ambao waliifanya maeneo mbalimbali hapa Tanzania, kwa hiyo nukta yangu ni kuwatazama vizuri sana watu hawa"
"Kama kuna yeyote nilimkosea kwenye utendaji wetu wa kazi basi anisamehe na mimi kuna kuna mambo alinikosea nimemsamehe."
"Baada ya hapa mimi nitafanya kazi ya kulima kwa sababu miezi 2 iliyopita nilianza kuwekeza kwenye kulima, wakinihitaji watu wa Mjini nitakuja, kuhusu changamoto ni nyingi nimepitia mnataka niseme hapa nitatia ukakasi hakuna haja ya kutia ukakasi."
"Nimepokea ofisi hii kutoka kwa Uttoh miaka mitano iliyopita naamini sikufanya uharibifu wowote mimi naamini mabadiliko yanaweza kutokea, lakini yatokee kwenye namna ilivyopangwa vizuri."
CAG Kichere :
"Kama kutakuwa na mabadiliko yatafanyika kwa umakini mkubwa ili tusiharibu mfumo wa utendaji kazi."
"Nimefanya kazi TRA najua ugumu wa kukusanya mapato, nimekuja kulinda mapato, tena nitalinda kwa wivu mkubwa sana, sitakuwa na simile kwa watu wanaotumia mapato ya Serikali vibaya."
"Kama kulikuwa na mahusiano hafifu nitaimarisha mahusiano kati ya Ofisi ya CAG na Bunge."
Hazikutoshi! Kasome uelewe, amestaafu kwa vipi?CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Kiaz weeeAssad kaiharibu na kuivunjia heshima sana hiyo ofisi.
Zitto kamuharibu huyu mzee..akalime sasa Unguja.
Viva Magufuril
Nna wasi wasi na iq yako...lazma itakua below normalMtanyooka tu! Leo amekabidhi ofisi sasa mpeni kazi hapo kwenye Saccos yenu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kampiga kijembe ticha wake kama vile we ulizinguana na bunge ndo maana ukaishia mitano...mi ntaweka sawa contract ziwe renewed.Kweli tumejaaliwa kwa vijembe!!!
Akili kubwa
Naona huyu Kawe Alumni amekuja kwa kasi sana yeye na mwenzie yule jina limenitoka kila uzi wapo ila kumkumbusha tu walikuwepo wenzake wengi tu wakiwemo msemaji ukweli, lizaboni, cocochannel, lakini sasa hivi pumzi zao zimekataKawe Alumni
Mada hii inahusu kukabidhi ofisi tu mkuu .
Assad kaiharibu na kuivunjia heshima sana hiyo ofisi.
Zitto kamuharibu huyu mzee..akalime sasa Unguja.
Viva Magufuril
Hapa tunaelimishana ,ningetaka kujua toka kwako kukabidhi ofisi na dini ya mkabidhi ofisi vina uhusiàno gàni?Jifunze kuona mambo kwa jicho la tatu pia
Duniani likiwa linang'aa
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
******
Prof. Assad:
"Hii ni taasisi na makabidhiano ya taasisi yanaenda kwa maandishi, kwa hiyo makabidhiano kwa maandishi yatafanyika Dodoma kwa sababu ndiyo kule makao makuu yetu yalipo"
"Kazi ya CAG ni kusaini ripoti lakini ripoti unachukua wajibu wa kazi ya watu wengi sana, ambao waliifanya maeneo mbalimbali hapa Tanzania, kwa hiyo nukta yangu ni kuwatazama vizuri sana watu hawa"
"Kama kuna yeyote nilimkosea kwenye utendaji wetu wa kazi basi anisamehe na mimi kuna kuna mambo alinikosea nimemsamehe."
"Baada ya hapa mimi nitafanya kazi ya kulima kwa sababu miezi 2 iliyopita nilianza kuwekeza kwenye kulima, wakinihitaji watu wa Mjini nitakuja, kuhusu changamoto ni nyingi nimepitia mnataka niseme hapa nitatia ukakasi hakuna haja ya kutia ukakasi."
"Nimepokea ofisi hii kutoka kwa Uttoh miaka mitano iliyopita naamini sikufanya uharibifu wowote mimi naamini mabadiliko yanaweza kutokea, lakini yatokee kwenye namna ilivyopangwa vizuri."
CAG Kichere :
"Kama kutakuwa na mabadiliko yatafanyika kwa umakini mkubwa ili tusiharibu mfumo wa utendaji kazi."
"Nimefanya kazi TRA najua ugumu wa kukusanya mapato, nimekuja kulinda mapato, tena nitalinda kwa wivu mkubwa sana, sitakuwa na simile kwa watu wanaotumia mapato ya Serikali vibaya."
"Kama kulikuwa na mahusiano hafifu nitaimarisha mahusiano kati ya Ofisi ya CAG na Bunge."