Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Unatolea mfano wa corona? Kwani walionunua kwa Cash waliingiza chochote ku cover operation na maintenace cost?

Tafuta a stronger reason sio corona

Then leasing inakua costly ila payments are spread out over a long time so inapunguza burden kwenye net working capital/liquidity
Unaweza ukawa sahihi kabisa. Sasa ili kutatua tatizo sasa tunapaswa kuuza hizo ndege kisha tukazikope, si ndio?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Asante sana mkuu kwa kuleta madini humu ndani yamkini haya mapopoma yatajifunza kitu maana nilipowaambia huyo assad umeunajisi uprofesa, na kutuonyesha kuwa ni duni kuliko hata std7 maana Msukuma na Kishimba wanamawazo mazuri mala 1M ukilinganisha na huyo profesa maji mafupi!
Ni mtu asiyejielewa! Anaridhika kupokea misaada tu bila kujali masharti...what a shame😡!
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Muulize prof msambichaka ndiye anayemjua mdini yule alivyo mpuuzi. Anatamba kwa vile kuna mtu wa dini yake
 
Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Mpuuzi huyo hana uwezo wa kuona hayo! Huo ukweli Smbao Magu aliusema wazi wala haukumbuki! Mfia taifa lake alitaka Tz ipate ndege zake kwa bei chee ili kupunguza mzigo wa madeni kwa watz! Yy anafungua mdomo na kuanza kubwabwaja tu! Nawapa pole waliofundishwa naye chuoni!
Pathetic of a professor 😂😠!
 
Huyu profesa mandevu ana dharau na kiburi sana.Anafikiri kuwa profesa ndo kujua kila kitu kuliko watu wengine. Hawa ndo wasomi wasio na faida katika nchi zao.
 
Trillion 1.5 ziko wap
Yaani billion 1500 jamaa kaiba na bado kafa
 
Ukiajiri bila ya kuwa na mapato utawalipa nini hao vijana? Au unafikiri pesa ya kununua ndege ingetosha kuwalipa hao vijana miaka yote? Lazima uwekeze kwanza ili uwe na mapato ya kuwalipa hao vijana unaowasema lasivyo utawalipa mara moja then unakaribisha migomo ya hao waajiriwa na kuleta vurugu tupu.
Sawa nimekuelewa mkuu. Sisemei kuwajaza ofisi za wilaya, mashirika ya umma. Jenga mazingira ya wao kujiajiri au kuajiliwa sekta binafsi.
 
Haya maneno au matamko yanayotolewa na watu tena waliosoma sana yanasikitisha. Nilijaribu kuelewa dhana au maana ya kusema ni mtu mjinga tu ndiye anaweza kununua ndege kwa pesa taslimu!
Binafsi ninawachukia wanasiasa kwa sababu wanatumia maneno kutulaghai kwa maslahi yao binafsi. Kwangu mtu kununua kitu kwa fedha taslimu ni ishara kuwa anao uwezo huo. Na anayekopa ni ishara kuwa hana uwezo, na hili siyo kwa ndege tu, leo hii kunw mtu ananunua chupa ya mafuta ya kula lita moja na mwingine anakopa kirobo akapikie je ni sahihi tumwite mjinga?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Professor au Maji Marefu
 
Haya maneno au matamko yanayotolewa na watu tena waliosoma sana yanasikitisha. Nilijaribu kuelewa dhana au maana ya kusema ni mtu mjinga tu ndiye anaweza kununua ndege kwa pesa taslimu!
Binafsi ninawachukia wanasiasa kwa sababu wanatumia maneno kutulaghai kwa maslahi yao binafsi. Kwangu mtu kununua kitu kwa fedha taslimu ni ishara kuwa anao uwezo huo. Na anayekopa ni ishara kuwa hana uwezo, na hili siyo kwa ndege tu, leo hii kunw mtu ananunua chupa ya mafuta ya kula lita moja na mwingine anakopa kirobo akapikie je ni sahihi tumwite mjinga?
Cheki sasa akili nyingine hii, unalinganisha ndege za matrilion vs mafuta ya kula lita 1?

Akili za kimaskini ni noma sana.
 
Usitupe hasara nyingine tumechoka
IMG-20210409-WA0055.jpg
IMG-20210409-WA0000.jpg
IMG-20210408-WA0130.jpg
 
Pole sana hakimu usiyehakimu kazi kuhukumu werevu na wataalam na matajiri walipekodi au wasilipe, hawajalipa poleni sana.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Professor uchwara huyo, miongoni mwa watu waliosetiwa na kikundi cha uhujumu uchumi kutoka Msoga
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Umepotea njia, acha kuandika insha za darasa la 7. Tupe takwimu kama Prof Asaad alivyofanya, Je makampuni makubwa duniani kama vile Delta Airlines (850 planes), Southwest Airline ( 679) fleets), China Airline, Flight Emirates, KLM, nk walinunua cash % mkopo y%. Then uje hapa utopolo wako kuhoji speech ya Prof.
 
Back
Top Bottom