Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Mtu pumbavu muache na upumbavu wake,hilo ni kundi pigaji na walioshika hatamu baadhi yao,sasa wanasaidiana kuhadaa wananchi kua HAYATI Dr JPM hakua mtu mwema ilihali tuliona kwa macho yetu

Jitu linajiita eti proffesor...bure kabisa
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?


Watanzania tumeuzwa. Naomba tuwe macho sana na haywa watu wanafiki wanaofanya kila wanaloweza tena bila haya kulazimisha kumfuta Rais Maguguli kwenye picha,muda mfupi baada ya kufariki kwake. Wakati Nyerere alipofariki, watu wote walioonesha uwendawazimu wa kushangilia kifo chake walichukuliwa hatua, na hata hivi karibuni, watu wakimsema vibaya kwa namna isiyo staha, wanatiwa hatiani. Inakuwaje kwa Rais Magufuli kianza kunangwa hadharani na watu tena wa ngazi za juu?

Kuna nini walichonacho hawa watu ambacho wanadhani wakikileta bila kumuondoa Magufuli kwenye picha kitakwama? Wana agenda gani ovu hawa watu ambao miaka yote na awamu nyingi wamekuwepo kwenye mifumo lakini hawakuwahi kuwa bora kuliko Magufuli? Wanapata wapi audacity ya kukandia juhudi za Rais wetu ambazo hata dunia nzima inaziadmire?

Kama ni taiza kuuzwa, ndugu zangu tumeuzwa. Sasa ni wakati wa kukataa uongozi wowote unaosimama na kuwadhalilish aviongozi bila staha. Leo hii wanachokpanda hawa watu, watakuja kuona matokeo yake pale ambapo, watadharaulika, kufedhaheshwa na wasiweze kuongoza mtu.

INASIKITISHA SANA. MAMA SAMIA PLEASE DO SOMETHING TO STOP THESE MALICIOUS, EVIL MINDED IDIOTS FROM DESTROYING OUR NATION.

I understand kwamba no one is perfect, na kuonyesha difference kati ya mtu mwenye ufahamu, na asiye, kati ya kiongozi makini na miburura, na kati ya mtu anayejali taifa na mijaza tumbo, ni namna ya kudeal na weaknesses za predecessor wako. TUMECHOKA, UJINGA HATUTAKI, WE NEED A GREAT NATION. TUSONGE MBELE KWA MAZURI BADALA YA KUFANYA TAIFA KIGOGO CHA KAHAWA. PERIOD!
 
Hakuna rais alieongeza na kusogeza huduma za jamii kama Magufuli. Hebu hesabu katika miaka mitano amejenga zahanati ngapi, vituo vya afya vingapi, hospitali za wilaya ngapi, hospitali za mikoa ngapi, sekondari ngapi, n.k. Juu yake ongeza ukarabati wa shule, zahanati, vituoa vya afya, na hospitali. Hakuna aliemfikia, na hii ndiyo inayowaogopesha CHADEMA.
Porojo zilezile mmekaririshwa km misukule ni kuabudu hamjui serikali ya jiwe ilijaa ulaghai na takwimu za uongo
 
Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Nawee acha kujitia kichwa maji hizo ndege mmeanza kununua mwaka gani na je kipindi hicho korona ilikuwepo...???
 
Mnalishwa matangopori na nyie mnaenda tu kizombi zombi kama mmekatwa vichwa.
 
Nawee acha kujitia kichwa maji hizo ndege mmeanza kununua mwaka gani na je kipindi hicho korona ilikuwepo...???
Kama ulikimbia umande, rudi darasani kajifunze biashara... shirika lianza kufufulia 2017. Sasa kama unadhan kwa vile ndege zinaruka ndo tunapatz fajda ya haraka haraka hivyo sahau... huwezi lala masikini na kuamka tajiri hata siku moja...
 
Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi
Kama hayo ni ukweli kwa mujibu wa bandiko lako basi naye ni Mang'aa tu
 
Back
Top Bottom