Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Huyo Ni mchumia tumbo tu mshamba kama washamba wengine.
Shwainny
 
Hayo maeneo mengi na wap huko... mzee kajenga shule na ameboresha ngapi, vituo vya afya, zahanat na hospitali ngap zimejengwa...? Maendeleo sio hivo tu kila siku watu huongezeka. Hivyo ukiona serikali inanunua ndege au kufanya shughuli nyngne za kimaendeleo, kwanza jua inatengeneza ajira pili inaongeza wigo wa ukusanyaji kodi....

ni sawa naww nyumban kwako useme mm nataka ntumie hela yangu yote kusomesha watoto na matibabu ukasahau kuna siku zitaisha inabidi utafute nyingine. Watanzania lazima ifike mahali tuwe na jicho la kuona mbali. Mipango ya muda mfupi na muda mrefu ni muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Hata marekani inarusha vyombo kwenda kufanya tafiti sayari za mbali lakini kuna watu wake hawana makazi wanalala mtaani. Chaguo ni lako, chukua au acha.
Kwani magufuli alitumia pesa zake binafsi tokea mfukoni mwake? Pesa za walipa kodi siyo Hisani za CCM
 
Huyo Ni mchumia tumbo tu mshamba kama washamba wengine.
Shwainny
Wachumia Tumbo ni wale wanaoutetea uovu uonevu mateso manyanyaso ya magufuli kwa wapinzani wafanyabiashara na wengineo , huwezi kutetea vitendo vya kishetani kuwabambikia kesi kesi za utakatishaji fedha uhujumu uchumi wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu alafu uwe na uhalali wa kumpinga profesa Assad
 
Watatulia tu watumwa hawa.

Magu ameacha misingi imara kwa wananchi kuelewa kwamba tunauwezo wakufanya mamboyetu wenyewe sasa hawa wabeba makoti watasubiri sana.

Wanaambiwa mashirika ya ndege duniani kwote yamerecord hasara kubwa kutokana na maradhi ya korona wenyewe wana kaza shingozao ATCL tu, utadhani ATCL ipo sayari nyingine.
Sehemu zingine Duniani hawanunui Ndege kienyeji kwa cash pasipo kuishirikisha Bunge kutangaza tenda, magufuli kaacha kumbukumbu ya ufisadi kwenye ununuzi wa Ndege siyo zaidi ya hapo
 
Kifo hakiepukiki mkuu "Freiston" tumuombee mama Samia apambane kumalizia kazi nzuri walizo anzisha pamoja.
Mama Samia achukue mazuri pekee ndiyo ayaendeleze huku akitokomeza ufisadi ndani yake ili yaweza kukamilika haraka
 
Hilo zee limekaa kaa kama nguruwe silipemdi hata kuliona. Anasali hdi sigida wakati ni mnafiq mkubwa. Alikuwa wapi kulalamika wakati anaemchukia akiwa hai. Analalamika sasa huku akijua anaemlalamikia hataweza kumjibu kitu. Hasa watu tumeshawajua na walidhani watafanikiwa kumbe ndiyo wamejizika wenyewe akiwemo ma Zitto na timu yake ya Mbowe Lema Lissu na yule jambazi Lema. Tuko imara sana kulinda Nchi yetu. Na hao wanaodhani Magufuli kaondoka wanajidanganya. Bado yupo tunaishi nae mioyoni mwetu. Hatutakubali kuturudisha kwenye ufisadi kwa njia yoyote tena.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hiki hakiwezi kuwa kigezo cha kumzuia profesa Assad kusema mabaya ya marehemu magufuli kwani kipindi magufuli akiwa hai aliwaziba watu midomo kwa kutumia vyombo vya dola na hakuna aliyethubutu kumkosoa na hata waliomkosoa walifungwa jela kwa kubambikiwa kesi mbalimbali, acha kuuliza maswali ya kijinga jinga kuwa alikuwa wapi kipindi magufuli akiwa hai wakati unajua magufuli alikuwa Dikiteta hakuruhusu kukosolewa
 
Sehemu zingine Duniani hawanunui Ndege kienyeji kwa cash pasipo kuishirikisha Bunge kutangaza tenda, magufuli kaacha kumbukumbu ya ufisadi kwenye ununuzi wa Ndege siyo zaidi ya hapo
Mfano nchi gani?
 
Sehemu zingine Duniani hawanunui Ndege kienyeji kwa cash pasipo kuishirikisha Bunge kutangaza tenda, magufuli kaacha kumbukumbu ya ufisadi kwenye ununuzi wa Ndege siyo zaidi ya hapo
CAG ameonyesha hasara inayo tokana na uendeshaji wa shirika na sio manunuzi, acheni kuropoka.
 
Mama Samia achukue mazuri pekee ndiyo ayaendeleze huku akitokomeza ufisadi ndani yake ili yaweza kukamilika haraka
Wenzako wanaona kilakitu nikibaya angalau wewe umeona mazuri ambayo yanapaswa kuendelezwa.

Ufisadi hauishi kirahisi ila tanzania na dunia inajua jinsi Magu alivyo pambana na wabadhilifu wa malizauma na alikuwa mkali kwelikweli, kama wewe hukuona basi malaika wako ameona.
 
Kwa Shirika la ATCL kununua ndege kwa fedha Taslimu, sioni tatizo bali naona wamejipunguzia mzigo. Hivi ripoti inasema kuwa shirika limeingiza hasara na bado lina madeni ya nyuma, kuchukua ndege kwa mkopo ama kulipia kidogo kidogo ingeishia kuongeza deni na kushindwa moja kwa moja.
 
Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Msameheni Prof, njaa haijawahi kuruhusu ubongo kufikiri. "Hapa Kazi tu" inaendelea, tunasubili ndege 3 tushalipia kabisa
 
Hapa hatuzungumzi individual company, tunazungumzia serikali yenye wajibu wa kutoa huduma kwa jamiii.Hivi mindege inaweza ikawa kipaumbele cha cash huku huduma za jamii ni mbovu, unakopa za kutoa huduma kwa jamii unatumia cash kununua mindege mibovu ambayo ni irrelevant ktk matumiz na uhitaji.

Unanunua lindege la abiria miatano kupanda huku unaua uchumi na unataka matajri waishi km mashetani nani atapanda hyo mindege?Ukweli usemwe hata mwenyew alijua hyo mindege ni hasara ndio maana alimua kuficha tender za manunuzi kuhamishia Ikulu.Kama alikua na nia njema alikua anaficha ninini kwenye manunuzi ya ndege hata wananchi kushindwa kujua kupitia wabunge?Huu ulikua mchongo wa jiwe kuwageuza watanzania mandondocha kwa kufanya mavitu yanayoonekana machoni lakini ni hasara tupu.
Hakuna rais alieongeza na kusogeza huduma za jamii kama Magufuli. Hebu hesabu katika miaka mitano amejenga zahanati ngapi, vituo vya afya vingapi, hospitali za wilaya ngapi, hospitali za mikoa ngapi, sekondari ngapi, n.k. Juu yake ongeza ukarabati wa shule, zahanati, vituoa vya afya, na hospitali. Hakuna aliemfikia, na hii ndiyo inayowaogopesha CHADEMA.
 
Si uzome link hiyo, sasa kama kusoma hujui nikusaidieje?

Hivi ku lease ni kununua?
lease
/liːs/
Learn to pronounce
noun
a contract by which one party conveys land, property, services, etc. to another for a specified time, usually in return for a periodic payment.
"a six-month lease on a shop"
 
Hivi ku lease ni kununua?
lease
/liːs/
Learn to pronounce
noun
a contract by which one party conveys land, property, services, etc. to another for a specified time, usually in return for a periodic payment.
"a six-month lease on a shop"
Ku lease sio kununua, ni kuchukua kitu cha mtu unakitumia kwa muda flani huku ukumlipa gharama za kutumia hicho kitu chake na wakati mwingine kuna riba iko.

Kiswahili rahisi ni mkopo. Kiti chochote chenye riba juu yake ni mkopo.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Huyo Pro. Assad ni mpumbavu sana, anatuletea mambo ya chuki zake binafsi za kutenguliwa kutoka madarakani kutulisha sumu ya kuichukia Serikali ila uzuri tumekwishamshitukia na vibaraka wenzie woote wanao-retire imprest
 
Kwa wewe mtu mmoja kumuondoa haimpunguzii credit zake.

Hamshambulii marehemu anashambulia utendaji wa marehemu na iwe angalizo kwa watu wajao na waliopo.

Kuwa kiongozi si kuwa ndio unajua kila kitu na wenzio ni magarasa tu.

Hebu pita vizuri, nami nilikua nakukubali ila kwa chuki yako hii kama ya kidini nadhani nimekudharau.
Mbona hakumshambulia kipindi angali hai? Huo ndo unafiki wa Assad tunaoupinga. Unamshambulia mtu ambaye hawezi kujitetea, huo si ni uendawazimu
 
Back
Top Bottom