Huyu Assad anawaza kimaskini, kwahiyo ukikopa ndo unapunguziwa bei ya ndege. Yaan sijui anafikiria kwa kutumia nini? Tangu lini mkopo ukawa cheap? Magu alikuwa anawajua wanafki kama assad ndo maana hakutaka kufanya nao kazi. Tanzania ilikuwa ni kama pori lenye wanyama wakali kama assad, hawa walipaswa kupotezwa kabisa. Magu kaondoka kaacha projects za kibabe, sasa tuone hao wanaoongoza kwa maneno na siyo vitendo kama watazikamilisha. JPM alichokifanya yuko sahihi asilimia mia, katka uongozi wa nchi zetu za kiafrika output ndio kila kitu, haijarishi umetumia njia zipi kupata tangible thing. JPM ni output siyo maneno maneno yenu.