Wanafanya kitu kinachoitwa "Debt Rescheduling" and this is acceptable in the event of a Force Majeure.Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Hii bado itakua clean sheet hawapati ata mojaBado profesa Assad 3-0 Lumumba .
endeleeni labda mtasawazisha
Hakimu mfawidhi, Za kuambiwa changanya na za kwako.Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Hivi kwanini ununue cash hali riba ya mkopo ulaya inacheza jirani na sifuri?Umeshawahi kuishi nje au unaropoka tu.
Kuanzia simu,gari,nyumba na n.k kasoro msosi asilimia 90 ni kulipa kodogo kidogo ndio maana unashangaa dada yako wa ulaya kuona kakutupia picha whatsapp hana miliki ndinga kali kumbe kulipa kidogo kidogo tena kwa mkopo
Dunia nzima kwa nchi zilizo endelea hakuna cash na wanaogopa ni kosa
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo anapomwita Professor wa fani yoyote muongo, mwenye akili yeyote ataelewa kwa nini kila masikini mwenye kesi Mahakamani analia kwa kutopewa haki.Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi....
Hujui biashara ilivyo ndo maana huelewi unachokisema. Hakuna biashara ya kulala masikini na kuamka tajiridhamira ya serekali ilikuwa nzuri hilo halina ubishi ila approach yake ni mbovu na lazima ikanwe isikae ijirudie tena. kununua hayo mandege bila kufata utaratibu ni mbaya zaidi kuliko kutokununua kabisa...
Ni kweli wewe hujawahi kumshabikia magufuli kama watu huwa wanafuatilia post za humu kwa umakini, kwa lengo la kuelewa na kujenga. Shida imekuja namna ulivyomkosoa Assad watu hawajakuelewa na wamekuchanganya kwenye kundi la Mataga 😀Mkuu, mimi kukataa alichokisema Professa haina maana kua nilikua ama namshabikia Hayati Magufuli.
Tusipende kujumuisha vitu, generalisation syndrome ni ugonjwa wa akili.
Mimi nimemsikia akisema mjingamtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash,
Hatutaki output zenu kwa gharama ya maisha ya watu, Tafuteni nchi yenu nyingine mfanye output kwa gharama za wananchi, siku hao wananchi wakiisha mtajua hizo output zitamfaidisha nani.Huyu Assad anawaza kimaskini, kwahiyo ukikopa ndo unapunguziwa bei ya ndege. Yaan sijui anafikiria kwa kutumia nini? Tangu lini mkopo ukawa cheap? Magu alikuwa anawajua wanafki kama assad ndo maana hakutaka kufanya nao kazi. Tanzania ilikuwa ni kama pori lenye wanyama wakali kama assad, hawa walipaswa kupotezwa kabisa. Magu kaondoka kaacha projects za kibabe, sasa tuone hao wanaoongoza kwa maneno na siyo vitendo kama watazikamilisha. JPM alichokifanya yuko sahihi asilimia mia, katka uongozi wa nchi zetu za kiafrika output ndio kila kitu, haijarishi umetumia njia zipi kupata tangible thing. JPM ni output siyo maneno maneno yenu.
Sasa shida zote hizo za nini wakati hela ipo. Tununue tu. Sisi ni nchi tajiri na sio masikini tuanze kukopa kopa kila siku.Wanafanya kitu kinachoitwa "Debt Rescheduling" and this is acceptable in the event of a Force Majeure.
Ita waandishi zungumza mbele yao ujinga wako huuNimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi....
Hakuna shirika linanunua Ndege kwa cash kote wanakopa isipokuwa Tanzania kulikuwa na wizi mkubwa magufuli na kikundi chake wakapiga 10% cha juu kwa cash kwani Bei halisi ya Ndege ni tofauti na bei waliyoitangaza na ndiyo maana magufuli hakutaka CAG asogee kwenye ununuzi wa Ndege kwa sababu alijua ataumbuka harakaNimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Hii inahusiana vipi na ufisadi mkubwa kwenye ununuzi wa Ndege?Hy assad nae hana maana mbona kipindi yupo serekarini Tanzania bd ilikuwa masikinii
Hiyo ni compensation kuwa ndege ziliagizwa tangu mwaka jana lakini boeing hawakudeliver hawakudeliver muda wote kutokana na matatizo yaliyokuwapo.Na kuhusu "compensation credits provided by Boeing to settle estimated damages" unaizungumziaje?
Southwest disclosed that it received $428 million in initial compensation from Boeing.
Ununuzi wa Ndege umejaa ufisadi mkubwa na mojawapo wa dalali ni Bashite na wengine ni waziri wa uchukuzi kipindi kileWalioko subuleni kwa baba yako,pumbafu ww.Ni lini bunge lilipitisha budget ya kununua mindege,ambayo haikufuata utaratibu wa manunuzi?Nyie ni mazombie yake,endeleeni kuabudu huo mzimu wenu maana hata muubiriwe vipi sio riziki kwakua aliwapa ulaji mmefutuka mithili ya mighulube ya Mbeya
Walinunua kwa cash ili wapige chao 10% kwa cash na ndiyo chanzo cha Doto kuwa tajiri mkubwa mpaka sasaUnajua cash weka basi mfumo na utaratibu ulioutumia kununua hizo ndege Kwa cash
Kwa nn unauficha?
Nakuchakata tu kitu yangu hiiiiChora 7 mama watoto wangu. Mkia huo unanimaliza
Ununuzi wa Ndege za Tanzania kwa cash lengo lake ilikuwa kupiga kuiba Yaani ufisadi ndiyo maana ununuzi wake una utata hauna baraka za bunge wala wananchi, kuna 10% kila idara na hata bei halisi ya Ndege ni tofauti na cash waliyodai kulipia, kuna udanganyifu mwingi kwenye hayo manunuziNadhani concept ya kununua ndege kwa mkopo vs kununua kwa cash wewe huijui ama hujaielewa.
Issue iko hivi.
1. Ununuzi wa ndege za kibiashara (airline) ni jambo la gharama na uwekezaji wa kibiashara. Hivyo badala ya kwenda kukopa benki pesa taslimu (cash) ili ukawalipe wauza ndege kwa cash, wao wauzaji wanabeba dhamana ya kibenki kwa kukupa ndege kwa mkopo. Hii ni njia bora, rahisi na cheaper zaidi kuliko kukopa benki...
Usikariri, gari ikiwa inarudi nyuma unatakiwa udandie mbele, na ikiwa ianenda mbele dandia nyuma... Ukikariri kudandia ni nyuma tu siku utakutana nayo inarudi nyuma ufe..Usidandie gari kwa mbele , nimekuambia kulikuwa na upigaji Je hujui kuwa aliwahi kiwa mjumbe pale NSSF (as it then was)? Ujenzi wa majengo ya ovyo ovyo ambayo hayawezi kurudisha ghalama haraka , hivyo poteza pesa za wafanyakazi. Yeye Assad wakati wa tenure yake alifanya nini? The guy has no clean hands , akae kimya , aache siasa , Kama ni kadi yake ya CUF basi aendeleze tujue. Aache kushutumu marehemu ambaye hawezi kuja kujitetea Sasa hivi.