Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Wanafanya kitu kinachoitwa "Debt Rescheduling" and this is acceptable in the event of a Force Majeure.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Hakimu mfawidhi, Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Hivi kwanini ununue cash hali riba ya mkopo ulaya inacheza jirani na sifuri?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi....
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo anapomwita Professor wa fani yoyote muongo, mwenye akili yeyote ataelewa kwa nini kila masikini mwenye kesi Mahakamani analia kwa kutopewa haki.

Professor alikuwa na maana ndege za abiria hazinunuliwi cash kama Udaga au maandazi ambapo mtu anakwenda kwa muuzaji na pesa yake na kununua kiasi anachohitaji, ndege unatoa order ambayo inaweza kumchukia miaka ndo waanze kushughulikia.

Ndege, bila kutoa malipo yoyote, unatoa order inayoweza kuchukua miaka ili utengenezewe aina unayotaka na zamu ya order ikifika, utaombwa uthibitishe ili waanze kutengeneza na pia ujiandae kulipa.
 
dhamira ya serekali ilikuwa nzuri hilo halina ubishi ila approach yake ni mbovu na lazima ikanwe isikae ijirudie tena. kununua hayo mandege bila kufata utaratibu ni mbaya zaidi kuliko kutokununua kabisa...
Hujui biashara ilivyo ndo maana huelewi unachokisema. Hakuna biashara ya kulala masikini na kuamka tajiri
 
Mkuu, mimi kukataa alichokisema Professa haina maana kua nilikua ama namshabikia Hayati Magufuli.

Tusipende kujumuisha vitu, generalisation syndrome ni ugonjwa wa akili.
Ni kweli wewe hujawahi kumshabikia magufuli kama watu huwa wanafuatilia post za humu kwa umakini, kwa lengo la kuelewa na kujenga. Shida imekuja namna ulivyomkosoa Assad watu hawajakuelewa na wamekuchanganya kwenye kundi la Mataga 😀
 
Hatutaki output zenu kwa gharama ya maisha ya watu, Tafuteni nchi yenu nyingine mfanye output kwa gharama za wananchi, siku hao wananchi wakiisha mtajua hizo output zitamfaidisha nani.

Tena unasema kabisa akina Assad walipaswa kupotezwa kabisa, Shame on you! Btw, Wapotezaji mmefikia wapi katika output zenu? 😀 Atake asitake....... Nchi yangu ni afadhali mtu apotee sio pesa ipotee. !!!!!
 
Wanafanya kitu kinachoitwa "Debt Rescheduling" and this is acceptable in the event of a Force Majeure.
Sasa shida zote hizo za nini wakati hela ipo. Tununue tu. Sisi ni nchi tajiri na sio masikini tuanze kukopa kopa kila siku.
 
Hy assad nae hana maana mbona kipindi yupo serekarini Tanzania bd ilikuwa masikinii
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi....
Ita waandishi zungumza mbele yao ujinga wako huu
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Hakuna shirika linanunua Ndege kwa cash kote wanakopa isipokuwa Tanzania kulikuwa na wizi mkubwa magufuli na kikundi chake wakapiga 10% cha juu kwa cash kwani Bei halisi ya Ndege ni tofauti na bei waliyoitangaza na ndiyo maana magufuli hakutaka CAG asogee kwenye ununuzi wa Ndege kwa sababu alijua ataumbuka haraka
 
Na kuhusu "compensation credits provided by Boeing to settle estimated damages" unaizungumziaje?
Southwest disclosed that it received $428 million in initial compensation from Boeing.
Hiyo ni compensation kuwa ndege ziliagizwa tangu mwaka jana lakini boeing hawakudeliver hawakudeliver muda wote kutokana na matatizo yaliyokuwapo.

Hata sisi tuliwahi kupata compensation ya dola elfu kadhaa walipochelewesha ile dreamliner kwa siku sijui nne- sina uhakika. Ni kwa sababu wanakuwa wameshalipwa ndiyo maana wanalazimika kulipa comnsation hiyo
 
Ununuzi wa Ndege umejaa ufisadi mkubwa na mojawapo wa dalali ni Bashite na wengine ni waziri wa uchukuzi kipindi kile
 
Unajua cash weka basi mfumo na utaratibu ulioutumia kununua hizo ndege Kwa cash
Kwa nn unauficha?
Walinunua kwa cash ili wapige chao 10% kwa cash na ndiyo chanzo cha Doto kuwa tajiri mkubwa mpaka sasa
 
Ununuzi wa Ndege za Tanzania kwa cash lengo lake ilikuwa kupiga kuiba Yaani ufisadi ndiyo maana ununuzi wake una utata hauna baraka za bunge wala wananchi, kuna 10% kila idara na hata bei halisi ya Ndege ni tofauti na cash waliyodai kulipia, kuna udanganyifu mwingi kwenye hayo manunuzi
 
Usikariri, gari ikiwa inarudi nyuma unatakiwa udandie mbele, na ikiwa ianenda mbele dandia nyuma... Ukikariri kudandia ni nyuma tu siku utakutana nayo inarudi nyuma ufe..

Wakati akiwa huko, kuna pahala panaposema yeye ndo kaiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…