Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju


bwana hajatwaa ametwaa muuaji
 
Aliyepigwa risasi ni Professor Athuman Liviga
 
His name is Prof. Athumani Livigha from the Faculty of Arts & Social Sciences, Department of Political Science.
 
Ni UTOTO kuhusisha Mauaji na CCM,Siasa za BEI RAHISI , Duniani kote Kunakotokea Mauaji ya Kihalifu ni CCM??? Je Maskini, Albino wanaouawa ni CCM??? AKILI NDOGO

Kama hujui kwamba wana CCM kwa uroho wao wa madaraka wanahusika moja kwa moja na mauaji ya albino, then una matatizo.

Tiba
 
Wanafunzi hawana hasira naye? Labda majambazi ya kutumwa hayo...
 
Mm naujua ukweli. Chadema ndio wamemuua ili wasingizie serikali. Kwani mmesahau walikuwa wanamtumia sana kwenye siasa zao???
 
stress za ndoa. miezi kadhaa alitalikiana na mkewe.
 
Mungu amlaze mahala pema..... nakumbuka alinitesa sana kwenye ps flani hivi.
 
Another Professor has been short Dead in his Home Bunju.

Can someone help me here, what is all behind killings of UDSM proffessors?"
Moderator. Saidia short = shot
 
Last edited by a moderator:
His name is Prof. Athumani Livigha from the Faculty of Arts & Social Sciences, Department of Political Science.

Now it is not Faculty, it's College, na hiyo College wameigawanya zimekuwa mbili, College of Humanity (COHU), and College of Social Science (COSS), Department of Political Science and Public administration inaangukia COSS, RIP Prof.
 
Another Professor has been short Dead in his Home Bunju.

Can someone help me here, what is all behind killings of UDSM proffessors?"

Poleni sana wanajumuiya ya UDASA na poleni sana wanafunzi waliokuwa wakisubiria kufundishwa na profesa hivi kwanini wasomi wetu wasiishi katika nyumba zao hapo chuoni kama hazitoshi jengeni zingine inasikitisha kumpotesa proffesa na pengo kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…