Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 172
First try to differentiate between shot and short. Then kindly please elaborate your statement....who is this prof...when did this happen or put down your source for others to make a follow up.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaa eti msomi mtu kapigwa risasi unaanza kuingizia mambo ya siasaaa wehu sanaaa nyieeeee mbna watu wengi kitaa wanauliwa na watu wasio julikana hamsemi ni njama ya chama fulani so mtu maarufu yeyote akiuawa ni njma ya kisiasa uwiiii kwa mwendo huu hatuendi kabisa yule nae alikuwa binadamu huwezi jua alikuwa ana ishi vipi......nashangaa sana kuona mtu msomi wa miaka hii unatekwa na upuuziii wa siasa hebu hiyo waachie wale wasio jitambua kama akina slaa,mbatia,nape,kinana,msigwa,mnyika co ww katika hili uanze kusema ni chama fulaniiiii utachekwaaa sanaaa
R I P ndugu yetu mwalimu wetu umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika kamweee.....bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libarikiweee.......tulikupenda lakin mungu kakupenda zaidi ...sote tupo njia moja umetangulia nasi tupo njiani kuja
REST IN PEACE
Ni UTOTO kuhusisha Mauaji na CCM,Siasa za BEI RAHISI , Duniani kote Kunakotokea Mauaji ya Kihalifu ni CCM??? Je Maskini, Albino wanaouawa ni CCM??? AKILI NDOGO
stress za ndoa. miezi kadhaa alitalikiana na mkewe.
His name is Prof. Athumani Livigha from the Faculty of Arts & Social Sciences, Department of Political Science.
Another Professor has been short Dead in his Home Bunju.
Can someone help me here, what is all behind killings of UDSM proffessors?"