Now it is not Faculty, it's College, na hiyo College wameigawanya zimekuwa mbili, College of Humanity (COHU), and College of Social Science (COSS), Department of Political Science and Public administration inaangukia COSS, RIP Prof.
aliwahi kujihusisha na siasa kwa namna moja ama nyingine?!.tuanzie hapo kwanza.
RIP prof.
pamoja na kutamkwa 'liviga' we umeamua kumpachika jina lakoKwa Mjibu wa radio one nipashe aliyewahi kuwa profesa wa chuo kikuu cha Dar es Salaam profesa Athumani Mavige ameuawa na watu wasiojurikana nyumbani kwake Bunju police wamenukuliwa kuwa alikua anaishi peke yake na hivo hakuna ajuaye kauawa vipi na kuawa jana usiku na kuwa kwa mujibu wa police kakutwa na vipande vya risasi
Ila na hii tabia ya maprof. kuishi singo sijajua kama ukiwa prof. automatically unapata ka laana kakuwa singo, ama ni kujua haki zaidi ya faragha kutokana na uprof. any way R.I.P Prof.Habari wakuu,
Kwa Mjibu wa radio one nipashe aliyewahi kuwa profesa wa chuo kikuu cha Dar es Salaam profesa Athumani Mavige ameuawa na watu wasiojulikana nyumbani kwake Bunju, polisi wamenukuliwa kuwa alikua anaishi peke yake na hivo hakuna ajuaye kauawa vipi na kauawa jana usiku na kuwa kwa mujibu wa polisi kakutwa na vipande vya risasi,
Another Professor has been short Dead in his Home Bunju.
Can someone help me here, what is all behind killings of UDSM proffessors?"
msomi mkombozi wa jamii anapigwa risasi, kwanini!!
Ila na hii tabia ya maprof. kuishi singo sijajua kama ukiwa prof. automatically unapata ka laana kakuwa singo, ama ni kujua haki zaidi ya faragha kutokana na uprof. any way R.I.P Prof.
You mean he has been shot by 'stress'?
sijui na mimi nitakufaje!! maana...............!!
rip prof.
sijui na mimi nitakufaje!! maana...............!!
rip prof.
Bunju ni mahari mkuu,na siyo nje wala ndan.