Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah...Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiuun
dah...Innaa lillahi wainnaa ilayhi raajiuun
daaah wewe kajamaa kumbe ni Ngwini?? vp michongo lakini? maa ngwini mlivo wengi ni soo siku hizi kwenye soko la ajiraR.I.P Livigha nakumbuka
unanipigia kitu PS: Local Government in Tanzania Yombo LT 3. daah pole
wanafamilia na wana Udsm wote.
Rihana kama una uhakika tutajie na walomuua... La sivyo...
Daaaa eti msomi mtu kapigwa risasi unaanza kuingizia mambo ya siasaaa wehu sanaaa nyieeeee mbna watu wengi kitaa wanauliwa na watu wasio julikana hamsemi ni njama ya chama fulani so mtu maarufu yeyote akiuawa ni njma ya kisiasa uwiiii kwa mwendo huu hatuendi kabisa yule nae alikuwa binadamu huwezi jua alikuwa ana ishi vipi......nashangaa sana kuona mtu msomi wa miaka hii unatekwa na upuuziii wa siasa hebu hiyo waachie wale wasio jitambua kama akina slaa,mbatia,nape,kinana,msigwa,mnyika co ww katika hili uanze kusema ni chama fulaniiiii utachekwaaa sanaaa
R I P ndugu yetu mwalimu wetu umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika kamweee.....bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libarikiweee.......tulikupenda lakin mungu kakupenda zaidi ...sote tupo njia moja umetangulia nasi tupo njiani kuja
REST IN PEACE
Yaani utajiwe "waliomuua" kutokana tu na idadi ya vipande????!!!
stress za ndoa. miezi kadhaa alitalikiana na mkewe.
Dah! Kweli CCM ni janga la kitaifa, wamechoma makanisa, wamemuwa Dr.Mvungi, wamempiga Dr.Ulimboka, wameuwa Albino ili washinde uchaguzi, wamesababisha ajali kwa kuendekeza rushwa kwa matarafiki wao, wameharibu elimu ya nchi trough BRN.. Na sasa wameamua kumuuwa Profesa ambaye ni hazina ya Taifa sasa sijui nani atapona huko mbele.
stress za ndoa. miezi kadhaa alitalikiana na mkewe.
Haa R.I.P Professor ooh nakumbuka kutumia material yake mengi /article zake yingi wakati nasoma. what happened jamani Tanzania mauaji yamezidi!
Mungu amlaze mahala pema..... nakumbuka alinitesa sana kwenye ps flani hivi.
stress za ndoa. miezi kadhaa alitalikiana na mkewe.
Political Science and Public Administration ... Alikuwa bingwa wa Local GovernmentAlikuwa udsm department gan?
Personal thinking zisituburuze sana aliyesema ni CCM namwacha Lakini tujiulize wasomi wetu kwann wanuawa hasa maprof wa Sheria na Siasa why?
Kwani kajiua?? Halafu Liviga nimjuaye sidhani kama ni mtu wa kushikwa na stress eti kisa ni mwanamke.....no way ....
Mods rekebisheni title pia jina lake ni Athumani Liviga