Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju

Profesa Athuman Mavige auawa kwa risasi Bunju

Atakuwa Athuman Liviga sio Mavige. Hilo jina sijawahi lisikia hebu fanyeni uchunguzi. Kama ni Liviga ama Prof yoyote yule ni big blow kwa intellectuals. Liviga mpenzi alikuwa mpenzi mkubwa wa Arsenal. Na mambo yetu yale. Mmwera piwa
 
Daaaa eti msomi mtu kapigwa risasi unaanza kuingizia mambo ya siasaaa wehu sanaaa nyieeeee mbna watu wengi kitaa wanauliwa na watu wasio julikana hamsemi ni njama ya chama fulani so mtu maarufu yeyote akiuawa ni njma ya kisiasa uwiiii kwa mwendo huu hatuendi kabisa yule nae alikuwa binadamu huwezi jua alikuwa ana ishi vipi......nashangaa sana kuona mtu msomi wa miaka hii unatekwa na upuuziii wa siasa hebu hiyo waachie wale wasio jitambua kama akina slaa,mbatia,nape,kinana,msigwa,mnyika co ww katika hili uanze kusema ni chama fulaniiiii utachekwaaa sanaaa

R I P ndugu yetu mwalimu wetu umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika kamweee.....bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libarikiweee.......tulikupenda lakin mungu kakupenda zaidi ...sote tupo njia moja umetangulia nasi tupo njiani kuja

REST IN PEACE

Wewe hunusi hata harufu ya sasa?
!!! Kwa nini afe wa political science and public admn? Kwa nini asife hata wa engineering? Kwa nini hasa kada hizo na kada za sheria kama yule alie tangulia mhadhiri alielambwa mapanga? Broaden your reasoning capacity. Kwa nn wa udsm tu? Chuo chenye maprofesa ni hicho tu? HAPANA!!👀👀
 
The strait Tree never last in the forest...Some bloodf**** are behind this. Rest in piece U will be remembered for good!
 
Daah!kwa usalama wangu na familia yangu,itabidi elimu yangu iishie hapa hapa.
Nilitaka niendelee zaidi lakini watu wanakufa tuu!
Sijui kwa nini!

Wasiokuwa wasomi hawafi! We toroka shule uje ulilie Serikali.
 
Wauwawe tu sioni mchango wao kwa taifa angalia prf shivji mwandosya kapuya kwanini usiwaue wanazalilisha uprof.

Wewe jamaa naona kwa kiasi flan una point ila hii sio njia sahihi ya kuwaadhibu au kuwalaumu. Mungu awalaze mahala pema peponi. Namkumbuka sana Dr Mvungi mpaka leo. Nilishangaa sana Taifa masikini kama hili lililoingia gharama kusomesha watu wake kipindi kile sasa halioni thamani yao tena?!!!😳😳😳. Wanadhalilishwa, wanaonewa, wanakandamizwa hatimae wanapotezwa kabisa. RIP Dr Mvungi na wengine wote
 
Kuna professor mmoja wa chuo kikuu alimpiga mkewe hadi yule mwanamke baadae alikuja kufa simkumbuki jina lake huyo proffessor . Mi nafikiri ukiwa prof. tena mwanaume unapatana na ka laaana fulani haswa unapomuona mkeo, maana wengi maisha ya kifamilia/kindoa yanawashinda saana. Hivi ni maprof. wa hapa Tanzania tu au ni dunia nzima?
 
Siwezi kubishana na ww ambae wazi wazi unaonekana ni mshabiki wa siasa hata kwenye upenzi wa siasa haupo wala uwana chama haupoo so... endelea mawazo yako.kwenye msiba ulete mambo yako ya kisiasa kila sehemu sawa kwa mkeo pia ukapeleke mambo ya siasa sawa kote we apply siasa maana ndo chakula chako

Achana naye huyo! Wengine ni vibendera tu vifuata upepo
 
Siwezi kubishana na ww ambae wazi wazi unaonekana ni mshabiki wa siasa hata kwenye upenzi wa siasa haupo wala uwana chama haupoo so... endelea mawazo yako.kwenye msiba ulete mambo yako ya kisiasa kila sehemu sawa kwa mkeo pia ukapeleke mambo ya siasa sawa kote we apply siasa maana ndo chakula chako

Achana naye huyo! Wengine ni vibendera tu vifuata upepo
 
huyo professor ni rafiki ya kaka yangu alikuwa ana baa pale kwake lakini ana historia ya ugomvi na familia yake alishawahi tishia kuuwa mke wake kwa risasi wakaachana akaoa binti kwa hiyo kuna likelihood ya kuwa amejimaliza
Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!
 
Very possible hasa kwa mwanafunzi anayesomeshwa na mwajiri kwa masharti ukifail unafukuzwa kazi, ( especially Phd level )

Hiyo hatari sana.....wape tahadhari lecturers hasa kama hakuna sababu ya kumshikilia mwanafunzi achana naye akafilie mbali usiwe target
 
angepigwa kapuya ningefurahi sn! Maana huyu jamaa hanamchango wowote!
 
Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!

Rihana kama una uhakika tutajie na walomuua... La sivyo...


Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!
 
Back
Top Bottom