Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaa eti msomi mtu kapigwa risasi unaanza kuingizia mambo ya siasaaa wehu sanaaa nyieeeee mbna watu wengi kitaa wanauliwa na watu wasio julikana hamsemi ni njama ya chama fulani so mtu maarufu yeyote akiuawa ni njma ya kisiasa uwiiii kwa mwendo huu hatuendi kabisa yule nae alikuwa binadamu huwezi jua alikuwa ana ishi vipi......nashangaa sana kuona mtu msomi wa miaka hii unatekwa na upuuziii wa siasa hebu hiyo waachie wale wasio jitambua kama akina slaa,mbatia,nape,kinana,msigwa,mnyika co ww katika hili uanze kusema ni chama fulaniiiii utachekwaaa sanaaa
R I P ndugu yetu mwalimu wetu umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika kamweee.....bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libarikiweee.......tulikupenda lakin mungu kakupenda zaidi ...sote tupo njia moja umetangulia nasi tupo njiani kuja
REST IN PEACE
Daah!kwa usalama wangu na familia yangu,itabidi elimu yangu iishie hapa hapa.
Nilitaka niendelee zaidi lakini watu wanakufa tuu!
Sijui kwa nini!
Wauwawe tu sioni mchango wao kwa taifa angalia prf shivji mwandosya kapuya kwanini usiwaue wanazalilisha uprof.
Siwezi kubishana na ww ambae wazi wazi unaonekana ni mshabiki wa siasa hata kwenye upenzi wa siasa haupo wala uwana chama haupoo so... endelea mawazo yako.kwenye msiba ulete mambo yako ya kisiasa kila sehemu sawa kwa mkeo pia ukapeleke mambo ya siasa sawa kote we apply siasa maana ndo chakula chako
Labda alipinga katiba inayopendekezwa na kutaka serikali 3
Siwezi kubishana na ww ambae wazi wazi unaonekana ni mshabiki wa siasa hata kwenye upenzi wa siasa haupo wala uwana chama haupoo so... endelea mawazo yako.kwenye msiba ulete mambo yako ya kisiasa kila sehemu sawa kwa mkeo pia ukapeleke mambo ya siasa sawa kote we apply siasa maana ndo chakula chako
Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!huyo professor ni rafiki ya kaka yangu alikuwa ana baa pale kwake lakini ana historia ya ugomvi na familia yake alishawahi tishia kuuwa mke wake kwa risasi wakaachana akaoa binti kwa hiyo kuna likelihood ya kuwa amejimaliza
Mungu amlaze mahala pema..... nakumbuka alinitesa sana kwenye ps flani hivi.
Bunju ni mahari mkuu,na siyo nje wala ndan.
Very possible hasa kwa mwanafunzi anayesomeshwa na mwajiri kwa masharti ukifail unafukuzwa kazi, ( especially Phd level )
fuata nyayo za prof Juma Kapuya
Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!
Kama ni suicide; kwa mujibu wa habari ni kuwa kakutwa na "vipande" vya risasi sio "kipande" mtu anayejipiga risasi ni aghalabu kujipiga risasi zaid ya moja!