Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnamsahau haraka hivi Mbowe jamani!Pensheni za wazee wote wenye miaka 60+ na million 50 kila kijiji mmeshatoa?
nana anasababisha umaskini ni Nape au CCM, ndio maana tunasema kuwa nyie mmeshindwa kuleta maendeleo kwa Watz xo go outUna ushahidi wa haya? Fala kama mwigulu jimbo lake ambalo halina maendeleo yoyote wanini? Zitto ni mavi alishawekwa maliwato hawezi rudishwa tumboni napegwa nnauye ana nini zaidi ya kubwata ushafika mtama jimbo baya na lakimaskini kuliko yote?
Zimetoka lini mtumwa wa magufuli labda sina kumbukumbu sahihi?Mbona mnamsahau haraka hivi Mbowe jamani!
Sio "nana" ni nani chadema lini imeshika dola mpaka ilete maendeleo? Au unatoka usingizini?nana anasababisha umaskini ni Nape au CCM, ndio maana tunasema kuwa nyie mmeshindwa kuleta maendeleo kwa Watz xo go out
Membe for President 2020.Tena kwa huyu jamaa atakutana na mateso ya Pilato
Wamewambelezaje dada?Kete za upinzani zimekwisha ndiyo maana wanambembeleza nape, mwigulu na Zitto
Mbn mnamwacha mwenyekiti wa chama chenu haraka hivyo, peoples power iko wp? Au mmeiacha siku hizi?Zimetoka lini mtumwa wa magufuli labda sina kumbukumbu sahihi?
Tunza maneno yangu ata atakachoulizwa na atakacho waambia ni tofauti, hakika hamtakaa mjue nini kinaendelea.
Kwani CCM huwa mnafanyaga nini mpaka mtegemee akina shonza, waitara, mkumbo, slaa, kutoka upinzani??Huyu profesa ameshindwa kuisadia cdm Leo ndo anaibuka eti, naona dalili za cdm kutegemea mgombea kutoka ccm tena. Sasa cdm wanafanyaga nn sasa sijui
Unaulizwa bamia zimeiva? unajibu kapata kura tano.😕😕😕Mbn mnamwacha mwenyekiti wa chama chenu haraka hivyo, peoples power iko wp? Au mmeiacha siku hizi?
Magu keshaona hko CCM wafia Chama wpo vichwa maji tu ndomana Inabidi aokote hkuKwani CCM huwa mnafanyaga nini mpaka mtegemee akina shonza, waitara, mkumbo, slaa, kutoka upinzani??
yaaani nyie viumbe mliozaliwa nchi hii ni waajabu haijapata tokea.Hakuna kitu, Membe ataenda na ataonywa ata nyamaza ni mtu ambaye kwa nyazifa zake hawezi kufanya chochote maana anaweza kujitia matatani fasta.
tutajie kwako na mumeo afu tutajie m'bunge wako na maendeleo yakoUna ushahidi wa haya? Fala kama mwigulu jimbo lake ambalo halina maendeleo yoyote wanini? Zitto ni mavi alishawekwa maliwato hawezi rudishwa tumboni napegwa nnauye ana nini zaidi ya kubwata ushafika mtama jimbo baya na lakimaskini kuliko yote?
Ntake radhi mara moja mimi ni ME ala!😕😕😕😬😬tutajie kwako na mumeo afu tutajie m'bunge wako na maendeleo yako
hovyooooo!! mbona umeongea kama muke ya mutuNtake radhi mara moja mimi ni ME ala!😕😕😕😬😬
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huyu profesa ameshindwa kuisadia cdm Leo ndo anaibuka eti, naona dalili za cdm kutegemea mgombea kutoka ccm tena. Sasa cdm wanafanyaga nn sasa sijui
Pumbavu mbwa koko wewehovyooooo!! mbona umeongea kama muke ya mutu